Wahubiri wangu wa mfano Tanzania

Alikujibuje huyo mwamba? Tuwekee jibu na sisi tunufaike.
 
Wakusanya sadaka tu
 
Mwakasege ni msanii tu na amewashika wengi wasiojielewa
 
Badala utoe majibu uliyopewa umeona ni vema kuandika maelezo marefu kuliko majibu mafupi uliyopewa na sisi tukanufaika?

Hao Gold Smaglers wana kupotosha kwa maneno na lugha fasaha.
 
3 &4 ndotop kwenye list yangu kwa hapa tanzania ila nimejipa homework ya kuwapitia mafundisho yao hao waliobaki nami nipate kitu
 
hiyo ilikuokoa roho yako? knowing the origin of God, si ungesoma tu Biblia, hadi ukasikie kwa nabii, Mungu si amesema yeye ni NIKO AMBAYE NIKO, yaani NI ALFA NA OMEGA, MWANZO NA MWISHO, ulihitaji nini sasa zaidi ya haya? au alikujibuje?

kwa kukusaidia, kuna cults za kikristo zimeibuka siku hizi, wanajifanya wanakutabiria maisha yako, nabii anasimama anaanza kueleza maisha yako, ndugu zako n.k, na wewe unaitikia sema nabii. mambo kama haya sio mageni, waganga wa kienyeji wamekuwa wakifanya tangu enzi, hauhitaji mtu akutabirie ulivyo ili ujue ni mtu wa Mungu, unahitaji ukutane na mguso wa Mungu moyoni mwako akubadilishe moyo wako mazima. mtu akitabiri kwamba mimi naitwa sulemani, natoka arusha, nina mke anaitwa sara, nina watoto fulani na fulani, kwenye wokovu wangu inanisaidia nini? au mimi kujua yeye ni mtu wa Mungu inanisaidia nini? kitakachonisaidia ni pale yeye atakaposimama mbele yangu kama chombo/instrument/zana ya Mungu,Mungu akamtumia, haongei yeye ila Mungu aliyepo ndani yake anaongea maneno ya uzima, sio ya uaguzi. hao wote wanaoagua, kuanzia huyo wa malawi mwenye kijana wake kule makongo juu, wale walioko south africa, wale wa zimbabwe, nigeria na wengine wooote, ni manabii wa uongo, na wanajitahidi sana kuuaminisha umma kwamba wao ni watu wa Mungu kwa kutumia miujiza bila kujua kwamba miujiza sio kipimo cha utauwa, hata shetani ana miujiza. watu kama hawa wamejaa DSM, arusha, mbeya everywhere.
 
Japo mie sio mfuasi wao, ila Hukumu ni ya Mungu peke yake ,

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
umwonapo mtu mbaya anafanya ubaya usimuonye, siku ya mwisho damu yake itadaiwa. haujui hata maana ya mstari huo unaosema usihukumu usije kuhukumiwa wewe. watu kama wewe ndio mnaishi tu mkisubiria siku ya mwisho ifike, unatakiwa kumjua Mungu uponye roho yako.
 
Pastor Joel Senny, Infinity Glory Church, Arusha. Unaweza kufuatilia mafundisho yake YouTube na Facebook
 
πŸ™πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…