Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Labda ni wale wanaokaa masaa kibao wakisubiri wapate muthungu huku wakiwa na soda masaa mengi huku wakizuia vitiMkuu - Huo ubaguzi umeanza lini hapo Fish Market? Mimi huwa napitapita hapo mara kwa mara kupata moja moto moja baridi, na kusikiliza Muziki wa huyo Mwarabu kila Ijumaa - sijawahi kuona huo Ubaguzi.
HakunaNasubiri kuona video yenye malalamiko ya wanaume wakilalamika kubaguliwa katika mgahawa huo kabla sijatoa comment fulani hivi.
Hebu achaga kutaja mambo ya vijijini huko tunaongelea mambo ya msingi mjiniFish market ndio Soko la samaki kama lile la Mwaloni Kirumba Mwanza?π¬
Hata ubaguzi wa mashoga?Tuupige vita ubaguzi wa aina yeyote,Mkuu Phillipo Bukililo hebu tuwekee hiyo Video tujirdhishe.
Tusiwabague, Mashoga Makhanisi Wasagaji Wapiga punyeto.Hata ubaguzi wa mashoga?
[emoji16][emoji38]Tusiwabague. Mashoga Makhanisi Wasagaji Wapiga punyeto.
Angalia hichi kisa cha Ubaguzi dhidi ya Kibamia kilivyoleta chuki
View attachment 2398685
Bora umelielezea kwa uhakika kabisaTatizo wanaoharibu hizo sehemu ni wale wadangaji wanaoenda saa 11 jioni wanajinunulisha bia moja inafyonzwa hadi usiku huku macho hayatulii kama fundi saa alopoteza nati.
Na sio CTFM tu hata Wavuvi Kempu wapo wengi, sasa wanawaponza wengine wanaoenda kwa lengo hasa la kula raha kwa pesa zao.
Kingine kuna utaratibu wa ku book meza naona hii wengi wameshindwa kuielewa na kuhisi wanabaguliwa pale wanapokaa kwenye meza baada ya muda wanaambiwa wanyanyuke kwa maana meza ina wenyewe.
Inavyoonekana ni kama hao labda walalamikaji ni ' wadangaji' wa pale maeneo na wahudumu wanawajua na kujaribu kimtindo, kuwafrustrate kuwapa huduma (just thinking......Hao walalamikaji nao wamekosa kazi za kufanya
Unamaanisha wanawake wasivyopendana?Akina dada popote pale hata kwenye bar za kawaida wanaleteana vitimbi tu...
Huyu fish market mnamvalia njuga bure tu, inferiority complex ni ugonjwa.
Filipo,ina maana haujui kiswahili?Waambie waache uzuzu wa kuwatetemekea wazungu.Kwa mfano,nikienda mimi na familia yangu naamini nitakayenyanyasika ni mimi mweusi tu.Ila wajue,mlipaji ni mimi.πππMkuu Huliza inategemea na upeo husika.
Wanawake huwa hawapendi kuwahudumia wanawake wenzao, kwa sababu wanawake wengi huwa wanawaonyesha dharau wahudumu, hiyo ni bar zote, huyo fish market wanampigia kelele bure tu.. Angelalamika mwanaume angalau.Unamaanisha wanawake wasivyopendana?
Mkuu huna kitambi bambalaga unaenda kufanyaj si uje huku The BistroBora hapo kidogo, Bambalaga unaweza baguliwa kwa kuzuiliwa kuingia kwa muonekano wako tu.