Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
Usiseme kwamba jamii yetu haistarabika si kweli Bali utamaduni wetu hauruhusu watu kufanya kazi za Aibu zinazokuvua utu wako hatakama unapata kipato cha namna gani.
Hao wazungu huko ulaya unakosema mkuu si kwamba wamestaarabika hapana bali wamekubali kuwa jamii isiyo na mwiko kwenye kufanya vitu vya aibu ndio maana kwao ushoga na kukaa uchi na kuzurula mitaani nusu uchi kwao ni kawaida.
Tusihalalishe ujinga wao kuwa eti ndio ustarabu mkuu
Marekani porn move zinatambulika kisheria vipi ni kazi ya aibu au sio!?Mkuu kama kazi inaambulika na mwajiriwa anachangia kodi ya Taifa na pia anachangia mifuko ya jamii unawezaje kuiita kazi ya aibu?
Bar wanakwenda walevi kwenda kulewa Sasa kama unajua kuwa unaenda kuhudumia walevi usitegemee kwenda kupata ustarabu kutoka kwao.Wanaowavua utu wahudumu wa bar ni wanajamii. Kazi ya uhudumu wa bar haina tatizo lolote, tatizo liko kwenye jamii.
Kuna zile type za ndugu, ukifanya kazi flani watakuwekea vikao na kusema unawadhalilisha. Ila iache hiyo kazi uwategemee kama utaona kuna mtu atakaekusaidiaMkuu kama kazi inaambulika na mwajiriwa anachangia kodi ya Taifa na pia anachangia mifuko ya jamii unawezaje kuiita kazi ya aibu?
Hiyo ni michezo ya mameneja na makauntaKwenye kupiga hapo umewaongelea wanavyopiga wateja ila hela nyingi wanazipata kwa kuwapiga wenye bar..
Njia yao kubwa ni kuingiza vinywaji vyao wenyewe counter hasa hizi pombe kali., akiuza 10 bhasi 6 za mwenye bar, 4 zake. Hapo bado hajachezesha kwenye hesabu za crate hasa kwenye kuchukua stock na bado hela za hivi vikao bubu na kuhudumia masherehe kwa zile bar zenye kumbi
Watu wengi wanadhani barmaids wanapenda tu bar kubwa ili waniuze ila huu ndio ukweli halisi, kukiwa na movement kubwa ya watu side hustle ya kuwapiga wenye bar inawaingizia pesa ndefu, bar isiyo na movement ngumu kuiba
Wengi wao ni wezi wa vyakula vya wateja,ukiagiza kuku mzima mchunguze utakuta paja moja hamna,wameficha.Ni kazi inayoonekana dhalili mbele ya jamii.. Lakini ni kazi inayoendesha maisha ya mhusika kwa kujitosheleza karibia kia kitu kuanzia
Mavazi
Malazi
Kusomesha
Kuhudumia wazazi na ndugu
Kufungua biashara
Kujenga
Kununua vitu vya thamani
Kuhonga
Kujihudumia nknk
Wahudumu wengi wa bar wametokea
Vijijini na kwenda sehemu za mijini kusaka maisha hasa majiji makubwa
Wengi kiasili wamekatishwa masomo kwa kukosa karo ama kupewa ujauzito
Wengine wameachika ama kukimbia manyanyaso ya ndoa
Wengine ni yatima
Wengine ni watoto wa kambo
Na wengine wametokea kwenye uhudumu wa nyumbani (beki 3)
Kimsingi mhudumu wa bar haishi kwa mshahara bali maslahi na ndio maana wengi baada ya kuwa wazoefu huchagua bar kubwa kubwa ama zenye wateja wengi.. Wengi wao huwa na chuki iliyofichama juu ya wanaume ama wanawake walio kwenye ndoa. . Na wengi wao huwa hawana mapenzi ya kweli kulingana na past history kwenye mapenzi na mahusiano
Wengi huishi kwa target za siku za wiki na mwezi.. Anahakikisha kwa siku husika anatimiza lengo kwa namna yoyote ile. Je wanapate pesa?
1. Kuchomekea bili (sometimes hili hufanywa kwa ushirikiano na kaunta)
2. Kuongeza bei ya vinywaji(sometimes hili hufanywa kwa ushirikiano na matron au manager)
3. Offer.. Hapa ndio wanapapenda mno...na hupendelea kuhudumia meza za wanaume tupu na wenye macho juu juu.. Wengi ukimpa offer atahakikisha anachukua kinywaji cha bei juu na ukimuuliza mbona hanywi anakwambia atakunywa baadae maana muda huo hawaruhusiwi
4. Kinywaji ulichonunua wewe mnaweza kukinunua meza tatu tofauti bila kujua na wengine huzuga kunywa kumbe ndani maji.. Kinywaji husika anaweza kukata pesa yake kwenye bili ama akakiuza kwa mteja mwingine
Wahudumu wengi huwa hawana bajeti ya chakula jioni na usiku.. Kama sio offer basi atachonga na mtu wa jikoni na kupunguziwa chakula cha wateja hasa zile bar zenye nyama choma na kitimoto.. Akikosa kabisa hukopa na kulipa wakati wa kufunga
Wahudumu wengi hawapendi ngono bali hufanya hivyo kwa nia ya kuingiza kipato ama kutimiza hesabu.. Na mwanaume mbele ya barmaid ni sawa na umbwa tuu... Wengi hupendelea kupumzika siku ya Jumatatu au Jumanne.. Hizi ni siku zisizo na hela na hata kugawa uroda huwa ni siku hizo kwa sehemu kubwa
Kuanzia Jumanne mpaka Alhamisi wanahakikisha wanatengeneza kati ya elfu 20 mpaka 50 kulingana na bar.. Na kuanzia Ijumaa wanahakikisha wanaingiza 50 mpaka laki+ pia kulingana na bar Mshahara wa barmaid kwa sehemu kubwa hauzidi laki moja.. Lakini kwenye mishe zake hiyo ni pesa ya siku mbili mpaka 6 kulingana na bar
Wahudumu wengi hawaipendi siku ya Jumapili maana ni siku ya vikao na wababa wengi hutoka na wake zao ama familia. Siku bora kwao ni Alhamisi, Ijumaa na Jumamosi. Wateja wanaowapendelea sana ni wale wa saa 12 jioni mpaka saa tatu usiku hawa kwa sehemu kubwa ni wafanyakazi na wana pesa.
Wahudumu wa bar nao huwa na hisia za upendo wa kweli hivyo hata awe malaya vipi Lakini ana mtu wake mmoja anayempenda na kumheshimu sana.. Wengi ni vimada wa wenye ndoa zao na wamepangishiwa vyumba na kuhudumiwa kila kitu.. !
Madhila yao
Pamoja kuwa na njia lukuki haramu na halali za kuwaingizia kipato kikubwa lakini pia wanakutana na changamoto nyingi baadhi zikiwa
Kupewa mimba na kukimbiwa
Kuambukizwa magonjwa ya zinaa
Kuambikizwa ukimwi
Kubakwa
Kudhalilishwa kingono
Kuachiwa nuksi
Kupigwa
Kuibiwa
Kufumaniwa
Kurogwa nknk
Wengi waliopitia haya hujikuta wanakuwa sugu na mabanditu ya kutupwa
Anaweza akala na kunywa vyako kisha akakumbia
Anaweza kukuchomesha mahindi
Anaweza kukuibia usiku
Anaweza kukuitia wahuni
Unaweza kukuroga
Anaweza kwa makusudi kabisa kukuambukiza magonjwa mabaya nk
Hayo ni machache kati ya mengi kwenye ulimwengu wa wahudumu wa bar. Nyege zako ni mtaji kwao. Cheza kwa step! Makinika unapoenda bar. Kuna wengi kati yetu pombe hukumbilia chini na wengi wameharibu kazi, kipato, future, biashara kwa sababu ya wahudumu wa bar!
😀😀Wengi wao ni wezi wa vyakula vya wateja,ukiagiza kuku mzima mchunguze utakuta paja moja hamna,wameficha.
Au nyama imepunguzwa
Ni wizi wa ajabu ajabu
Ila ni kazi ya kudharaulika
Inategemea sehemu na Sehemu...Wengi wao ni wezi wa vyakula vya wateja,ukiagiza kuku mzima mchunguze utakuta paja moja hamna,wameficha.
Au nyama imepunguzwa
Ni wizi wa ajabu ajabu
Ila ni kazi ya kudharaulika
Hiyo ni network kabisa kila mtu anashiriki ila manager anaweza kuingizwa kama sio mnoko. Kwenye bar nyingi tu wahudumu wenyewe huwa wanajua kuwa siku akiingia mtu flani kwa kaunta bhasi lazma wapige hela maana michongo inakuwepoHiyo ni mimecho ya mameneja na makaunta
Mambo ya Bar magumu...Hiyo ni network kabisa kila mtu anashiriki ila manager anaweza kuingizwa kama sio mnoko. Kwenye bar nyingi tu wahudumu wenyewe huwa wanajua kuwa siku akiingia mtu flani kwa kaunta bhasi lazma wapige hela maana michongo inakuwepo
Bar wanakwenda walevi kwenda kulewa Sasa kama unajua kuwa unaenda kuhudumia walevi usitegemee kwenda kupata ustarabu kutoka kwao.
Jamii Haina tatizo ila hiyo kazi ndio yenye tatizo kwasababu ya matendo yao wenyewe kabla na baada ya kulewa.
Kama mtu akilewa anaweza kuvua nguo zake mwenyewe je Kuna ajabu gani akimshika mhudumu kalio? Kama umekubali kuwa mhudumu maana yake umekubali na udhalilishaji unaofanyika hapo bar unao kuvua utu wako Sasa jamii Ina shida gani hapo??
Kesho anaenda kufanya usafi anaambiwa samahani nyumba haipangishwi kufatilia kumbe kuna mdada muhudumu wa samaki samaki aliongezea dau akaichukua kwa 150k[emoji23]Haha umenikumbusha mbali sana nakumbuka muhudumu wa samaki samaki morogoro alimpindua dau sista Angu kodi ya nyumba.
Sista alipata nyumba kali maeneo ya kihonda kwa 120 akakubaliana na dalali fresh na mwenye nyumba akakubali .
Kesho anaenda kufanya usafi anaambiwa samahani nyumba haipangishwi kufatilia kumbe kuna mdada muhudumu wa samaki samaki aliongezea dau akaichukua kwa 150k
Mshana Jr,Hawa watu ni kuwa nao makini Sana wamehalibu Sana maisha ya watu wengi .Vitu mhimu kuhusu Hawa watu ,ukitaka huduma yake nenda nae mala moja tu na ukate mawasiliano nae sio watu wa kuzoea .Shida yao wanatumia Sana madawa ili akunase na hutachomoka yaliwahi kunikuta hivo naongea kwa uzoefu na staki mwingine apate shida nilizozipata Mimi lakini badae nilifanikiwa kujitoa ila kwa binder Sana unakua kama kipofu.Ni kazi inayoonekana dhalili mbele ya jamii.. Lakini ni kazi inayoendesha maisha ya mhusika kwa kujitosheleza karibia kia kitu kuanzia
Mavazi, Malazi, Kusomesha, Kuhudumia wazazi na ndugu Kufungua biashara, Kujenga, Kununua vitu vya thamani, Kuhonga
Kujihudumia nknk, Wahudumu wengi wa bar wametokea, Vijijini na kwenda sehemu za mijini kusaka maisha hasa majiji makubwa
Wengi kiasili wamekatishwa masomo kwa kukosa karo ama kupewa ujauzito.
Wengine wameachika ama kukimbia manyanyaso ya ndoa, Wengine ni yatima, Wengine ni watoto wa kambo Na wengine wametokea kwenye uhudumu wa nyumbani (beki 3). Kimsingi mhudumu wa bar haishi kwa mshahara bali maslahi na ndio maana wengi baada ya kuwa wazoefu huchagua bar kubwa kubwa ama zenye wateja wengi.
Wengi wao huwa na chuki iliyofichama juu ya wanaume ama wanawake walio kwenye ndoa. . Na wengi wao huwa hawana mapenzi ya kweli kulingana na past history kwenye mapenzi na mahusiano. Wengi huishi kwa target za siku za wiki na mwezi.. Anahakikisha kwa siku husika anatimiza lengo kwa namna yoyote ile. Je wanapate pesa?
1. Kuchomekea bili (sometimes hili hufanywa kwa ushirikiano na kaunta)
2. Kuongeza bei ya vinywaji(sometimes hili hufanywa kwa ushirikiano na matron au manager)
3. Offer.. Hapa ndio wanapapenda mno...na hupendelea kuhudumia meza za wanaume tupu na wenye macho juu juu.. Wengi ukimpa offer atahakikisha anachukua kinywaji cha bei juu na ukimuuliza mbona hanywi anakwambia atakunywa baadae maana muda huo hawaruhusiwi
4. Kinywaji ulichonunua wewe mnaweza kukinunua meza tatu tofauti bila kujua na wengine huzuga kunywa kumbe ndani maji.. Kinywaji husika anaweza kukata pesa yake kwenye bili ama akakiuza kwa mteja mwingine
Wahudumu wengi huwa hawana bajeti ya chakula jioni na usiku.. Kama sio offer basi atachonga na mtu wa jikoni na kupunguziwa chakula cha wateja hasa zile bar zenye nyama choma na kitimoto.. Akikosa kabisa hukopa na kulipa wakati wa kufunga
Wahudumu wengi hawapendi ngono bali hufanya hivyo kwa nia ya kuingiza kipato ama kutimiza hesabu.. Na mwanaume mbele ya barmaid ni sawa na umbwa tuu... Wengi hupendelea kupumzika siku ya Jumatatu au Jumanne.. Hizi ni siku zisizo na hela na hata kugawa uroda huwa ni siku hizo kwa sehemu kubwa
Kuanzia Jumanne mpaka Alhamisi wanahakikisha wanatengeneza kati ya elfu 20 mpaka 50 kulingana na bar.. Na kuanzia Ijumaa wanahakikisha wanaingiza 50 mpaka laki+ pia kulingana na bar Mshahara wa barmaid kwa sehemu kubwa hauzidi laki moja.. Lakini kwenye mishe zake hiyo ni pesa ya siku mbili mpaka 6 kulingana na bar
Wahudumu wengi hawaipendi siku ya Jumapili maana ni siku ya vikao na wababa wengi hutoka na wake zao ama familia. Siku bora kwao ni Alhamisi, Ijumaa na Jumamosi. Wateja wanaowapendelea sana ni wale wa saa 12 jioni mpaka saa tatu usiku hawa kwa sehemu kubwa ni wafanyakazi na wana pesa.
Wahudumu wa bar nao huwa na hisia za upendo wa kweli hivyo hata awe malaya vipi Lakini ana mtu wake mmoja anayempenda na kumheshimu sana.. Wengi ni vimada wa wenye ndoa zao na wamepangishiwa vyumba na kuhudumiwa kila kitu.. !
Madhila yao
Pamoja kuwa na njia lukuki haramu na halali za kuwaingizia kipato kikubwa lakini pia wanakutana na changamoto nyingi baadhi zikiwa
Kupewa mimba na kukimbiwa
Kuambukizwa magonjwa ya zinaa
Kuambikizwa ukimwi
Kubakwa
Kudhalilishwa kingono
Kuachiwa nuksi
Kupigwa
Kuibiwa
Kufumaniwa
Kurogwa nknk
Wengi waliopitia haya hujikuta wanakuwa sugu na mabanditu ya kutupwa, Anaweza akala na kunywa vyako kisha akakumbia
Anaweza kukuchomesha mahindi, Anaweza kukuibia usiku, Anaweza kukuitia wahuni, Unaweza kukuroga
Anaweza kwa makusudi kabisa kukuambukiza magonjwa mabaya nk
Hayo ni machache kati ya mengi kwenye ulimwengu wa wahudumu wa bar. Nyege zako ni mtaji kwao. Cheza kwa step! Makinika unapoenda bar. Kuna wengi kati yetu pombe hukumbilia chini na wengi wameharibu kazi, kipato, future, biashara kwa sababu ya wahudumu wa bar!