Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

Mleta mada hujawahi kwenda mahoteli makubwa wewe. Ukifika migahawa mikubwa lazma upumzike hata dk 3 au 4 ndio usikilizwe. Unaharaka endapo unabeba msosi ukalie nyumbani.
 
We kiboko...unaacha hata kama umekipenda
 
Nakerwa sana na watu mnaochanganya lugha. Uzi wa kiswahili kwann ucomment kiingereza?
 
Ukiwa na biashara ya mgahawa weka wanaume. Mara nyingi kwenye kuserve. Wanawake waweke mapokezi na vinywaji wachache ambao wako fasta, smart na charming.
 
Fukc you too sweet Wyatt
 
Wateja wengine mnakuwaga na Gubu sana pumbavu zenu.
 
Ukiwa na biashara ya mgahawa weka wanaume. Mara nyingi kwenye kuserve. Wanawake waweke mapokezi na vinywaji wachache ambao wako fasta, smart na charming.

ufalme wa mteja na wenyewe una mipaka yake. Inahitaji kiwango kikubwa sana cha uvumilivu kwa mfanyabiashara au mtoa huduma kumvumilia mteja asiye na nidhamu na asiyetambua mipaka yake.
 
Wengi wenu hamwendi kula chakula bali mnavizia kula mademu wahudumu
 
Najipongeza kwa kukufanya kwenye comment yako yenye matusi utumie kiswahili sehemu kubwa. Ninaposema uandike kiswahili sio kwamba sijui vizuri kiingereza.... mama yako ni shahidi mzuri wa hili.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] kudadadekki
 
Ninl juhudi zako binafsi za kuwa masikini
 
Uchangamkiwe wewe Nenda Uchangamkiwe na mzazi wako
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]

Saint Anne
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]asee
 
Wewe ni mgeni ndo maana Sisi tunaokula mara kwa mara hatuna shida na namba za wahudumu tunazo na mmoja wapo huwa ndo ametokea hapa kunifanyia usafi geto na kunitengea chai.Shukrani sana Shishi food kwa wahudumu hawa😋
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…