Hoja gani inaonyesha ni mtu wa kushinda kwenye vijiwe vya kahawa kupiga porojo 1.5 t mpaka leo unangangana nayo ili hali report na ufafanuzi wa wazi kabisa kuwa hamna hela iliyoibiwa na ilitolewa na wapinzi wwliokuwa PAC . Sasa kila siku ukilala 1.5t ukiamka 1.5 t sasa tukueleweje ndugu au ww ndo wale wasioambilikaMATAGA jifunzeni kujibu hoja.Sasa unataka niamini ulichoandika ina maana wewe ni official source?
Sent using Jamii Forums mobile app