Wahuni wa Kinshasa Julai 17 1997- Desemba 25 2024


Hii habari imeniuma sana. DRC Inavyoenda enda. Na waarabu wale wa Geita na Nzega wanavyojipata asubuhi na mapema


View: https://www.youtube.com/watch?v=jOvTZQK05EU
 
FRED RWIGYEMA wengine wanamtuhuumu PK, though kuna taarifa zingine zinasema kati ya makamanda wenzie wawili ndio walimpiga risasi baada ya kujibizana kuhusu tactics za vita walizotakiwa kuzifuata. only God knows.

General James Kabarege. Wnamtuhumu PK sababu pamoja na yote, huyu has remained a loyal friend. Na ndio alimtuma kuvuna DRC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…