Waigizaji Tanzania mnamuona Lupita Nyong'o

Udanganyifu wa umri wa celeb wa bongo bado ni janga la taifa,miaka yao huwa inachange kutokana na matukio.Wema kazaliwa kati ya mwaka 1985-1986.
 
heee nimependa huwo msuko wa nywele wa wema lol......
heaven on earth uje unisuke na mie lol

sent from my blackberry 9320 using jamiiforums
ahahaaa mambo ya maweaving hayo! Jamani shepu ya wema ule mpododo wa ukweli hv ni mchina ama real?
 
Reactions: amu
Wema kila siku yupo 22 ..au ni yale ya miaka 1000 ni kama siku moja kwake? Amekuwa mungu?
Sijui chibu ana mingapi mana nasikia wema kamzidi miaka 4


Lupita angekua bongo movie tungesikia ana miaka 19.
Wadada mashavu yanachambua kunde ila kujifanya watoto.
Mi naona kudanganya umri hata hakusaidii kitu maana sura itakuumbua tu.
 
Inasemekana daimondo anashindana na Punda halafu chukua na harakati za sembe kupakia mzigo na kupakua uje ujumlishe na kupigwa mbupu kama dawa kweli sura na viungo vitaacha kuwa tepe tepe??!!!
 
Reactions: amu
Watanzania kwa majungu nawapa phd! Puuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
Mi nilidhan wako pamojaa Mareka picha ya pamojaa lol,afadhali hata wolper analipa kiasi Wema ashachinaa,hapo Lupita anaonekana mdogo wao wakubwaa
 
Wema manywelr ya bandia yanamsaidia mbona hapo mbaya hivyo lol
 
Nilijua kapiga nao picha nimetoka mbio duh
 
ahahaaa mambo ya maweaving hayo! Jamani shepu ya wema ule mpododo wa ukweli hv ni mchina ama real?

Mchina kila kitu chake feki lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 

Hata kama wakweli matendo yao ndio yanawazeesha mapema,wanalambana muno na wanaume wataacha kuchakaa mapema hata wakiwa na umri mdogo?
 
Wameshughulika sana na mzee wa kazi na dawa, mara wema,mara joketi na kadhalika huyu ni mmoja wengine wengi
 
Tatizo la bongo kujikoboaaaa....wanawake wanazeeka haraka na lishe duni, afya mgogoro na kujikoroboaa kwa mavipodozi makalimakali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…