Sio KILA kanisa ni la MUNGU mengi ni mahekalu ya shetaniWewe ni nani kuhukumu..hujui uwepo wa haya makanisa ndio ueneaji mkubwa wa injili.
Au ulitaka waje kusali kwako ndio uone wako sawa.?
#MaendeleoHayanaChama
Unathibitishaje haya uyasemayo?Sio KILA kanisa ni la MUNGU mengi ni mahekalu ya shetani
Hapa nchini hakuna mwimbaji wa injiri anayefikia viwango vya Rose Mhando, hakuna! hakuna! hakuna!Vigezo vilivyotumika:
1. Nyimbo zinazoendana na neno la Mungu
2. Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo
3. Kuwa na malezi ya kiroho na kanisa analohudhuria kama mshirika
4. Muendelezo wa ukuaji wa huduma, ujuzi na ubora wa kazi.
Kumbuka, hatulinganishi karama bali namna karama ilivyotumiwa kwa ustadi.
Twende pamoja sasa:
1. Abihudi Misholi
2. Fanuel Sedekia
3. Christina Shusho
4. Ambwene Mwasongwe
5. John Lisu
6. Paul Clement
7. Joel Lwaga
8. Upendo Nkone
9. Martha Mwaipaja
10. Ipyana Kibona
Ambao hawakuingia lakini ni wazuri pia hawa hapa:
Christopher Mwahangila, Ephraim Mwansasu, Beatrice Mwaipaja, Walter Chilambo, Paul Mwangosi, Boaz Danken, Safari Paul, Upendo Kilahiro, Jennifer Mgendi, Edson Mwasabwite, Gwamaka Mwakalinga, Beatrice Muhone, Faustin Munishi, Rehema Simfukwe
Kuna wale maarufu sana ambao hawakuingia kwa kushindwa kukidhi baadhi ya vigezo hapo juu kama Rose Muhando, Bahati Bukuku, Bonny Mwaitege, Goodluck Gozbert, Angel Benard, Flora Mbasha, Neema Mwaipopo
Kupitia maandiko magugu yanaonekana,bora watu waambiwe ukweli waamue wenyewe kutembea na ngano au magugu.Unathibitishaje haya uyasemayo?
Hujui hata maandiko yamesema acheni ngano na magugu yakue pamoja..yatapepetwa wakati wa mavuno.
Chamsingi injili isonge mbele..awajuaye wale wa kweli ni kristo mwenyewe.
As long as injili inahubiriwa kwenye hayo makanisa hiyo ndio furaha yangu.
#MaendeleoHayanaChama
Tukiwaweka ma-legend wale ambao kwa uwazi kabisa wameyaacha maadili ya ukristo basi miaka ijayo hatutakuwa na ukristo tena.Kama unataka wale ambao hawajawahi kuvurugwa na mapito?
Hapo sawa!
Jamani wekeni msaada hapa 😊Kuna kwaya fulani miaka ya 2002 inatokea mkoa wa tanga sijui inaitwaje ile naitafuta kweli.
Ni kwaya ya KKKT, kwenye kasha la kanda walijipanga mstari halafu wa mbele wamechuchumaa.
moja ya kipande cha wimbo kinasema
Bwana yesu anasemaaa yeye yu ndani ya babaa
sisi tuwe ndani yake ili tupate uzima.
Naomba msaada kwa anayeijua hiyo kanda maana kipindi hicho nilikuwa bado sijui kusoma.
Hicho hakikuwa kigezo kilichotumika.Unamwacha Rose Muhando aliyesainiwa hadi na Sony Music
Kuna vigezo pale juu umevisoma?Semeni yote ILA hapo kwenye 10 bora mwekeni bahati bukuku
Ngoja wataalamu wanakuja.. jaribu kucheki pia youtube.Kuna nyimbo hizi mbili nazitafuta
1.kuwalaani wana waisreali balaam nani aliimba hiyo nyimbo
2.na yapili sijui nani aliimba wanacheza ofisini wamekaa kwenye meza kubwa jamaa anaimba vizuri sana
Naombeni msaada
Ingia youtube ucheki.. umeacha kwenda kanisani siku hizi?😅
Wanayo neema kubwa katika uimbaji.Naona wanyakyusa wamejazana
Mimi sina kanisa. Kwenye list nzima ninayefahamiana naye ni mmoja tu. Pia hakuna hata mmoja hapo anayesali kanisa moja na mwenzake.Hiyo List 1-10 wanasali kanisani kwako nini? Itakuwa wote mnasali kanisa moja Nyinyi
Joel Lwaga bado sana.Vigezo vilivyotumika:
1. Nyimbo zinazoendana na neno la Mungu
2. Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo
3. Kuwa na malezi ya kiroho na kanisa analohudhuria kama mshirika
4. Muendelezo wa ukuaji wa huduma, ujuzi na ubora wa kazi.
Kumbuka, hatulinganishi karama bali namna karama ilivyotumiwa kwa ustadi.
Twende pamoja sasa:
1. Abihudi Misholi
2. Fanuel Sedekia
3. Christina Shusho
4. Ambwene Mwasongwe
5. John Lisu
6. Paul Clement
7. Joel Lwaga
8. Upendo Nkone
9. Martha Mwaipaja
10. Ipyana Kibona
Ambao hawakuingia lakini ni wazuri pia hawa hapa:
Christopher Mwahangila, Ephraim Mwansasu, Beatrice Mwaipaja, Walter Chilambo, Paul Mwangosi, Boaz Danken, Safari Paul, Upendo Kilahiro, Jennifer Mgendi, Edson Mwasabwite, Gwamaka Mwakalinga, Beatrice Muhone, Faustin Munishi, Rehema Simfukwe
Kuna wale maarufu sana ambao hawakuingia kwa kushindwa kukidhi baadhi ya vigezo hapo juu kama Rose Muhando, Bahati Bukuku, Bonny Mwaitege, Goodluck Gozbert, Angel Benard, Flora Mbasha, Neema Mwaipopo
Ni kweli kabisa, yupo vizuri sana kwenye kuimba na energy. Kuna vigezo vimetumika hapo vimemtoa kwasasa.Umeandika kwa hisia badala ya uhalisia. Hakuna wa kumzidi Rose Mhando hapa Tz na EA
Rose mhando anaimba nyimbo za watu sio zakeUmeandika kwa hisia badala ya uhalisia. Hakuna wa kumzidi Rose Mhando hapa Tz na EA
Anaimba nyimbo za watu sio zakeSio nyimbo, sema ''wimbo''..tena mmoja tu.
Kwamba Paul Clement sio serious christian? Rose na Bahati wana vipaji, hakuna anayepinga lakini vigezo vilivyotumika vimewaweka kando kwa sasa. Miaka ijayo wanaweza kirudi watakaporejea kwenye misingi walikoanzia.Yaani eti unamtoa Bahati Bukuku na Rose Muhando kwenye first list unamweka Paul Clement.
Ua not a serious Christian.
Acha kuhukumu inawezekana kazi zake zimekubomoa haswaaHuyu malaya na mvuta bangi?
Mna vichaa