Waimbaji kumi bora wa nyimbo za injili kuwahi kutokea hapa Tanzania mpaka sasa

Waimbaji kumi bora wa nyimbo za injili kuwahi kutokea hapa Tanzania mpaka sasa

Wewe ni nani kuhukumu..hujui uwepo wa haya makanisa ndio ueneaji mkubwa wa injili.

Au ulitaka waje kusali kwako ndio uone wako sawa.?

#MaendeleoHayanaChama
Sio KILA kanisa ni la MUNGU mengi ni mahekalu ya shetani
 
Sio KILA kanisa ni la MUNGU mengi ni mahekalu ya shetani
Unathibitishaje haya uyasemayo?

Hujui hata maandiko yamesema acheni ngano na magugu yakue pamoja..yatapepetwa wakati wa mavuno.

Chamsingi injili isonge mbele..awajuaye wale wa kweli ni kristo mwenyewe.

As long as injili inahubiriwa kwenye hayo makanisa hiyo ndio furaha yangu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Vigezo vilivyotumika:

1. Nyimbo zinazoendana na neno la Mungu
2. Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo
3. Kuwa na malezi ya kiroho na kanisa analohudhuria kama mshirika
4. Muendelezo wa ukuaji wa huduma, ujuzi na ubora wa kazi.

Kumbuka, hatulinganishi karama bali namna karama ilivyotumiwa kwa ustadi.

Twende pamoja sasa:

1. Abihudi Misholi
2. Fanuel Sedekia
3. Christina Shusho
4. Ambwene Mwasongwe
5. John Lisu
6. Paul Clement
7. Joel Lwaga
8. Upendo Nkone
9. Martha Mwaipaja
10. Ipyana Kibona

Ambao hawakuingia lakini ni wazuri pia hawa hapa:

Christopher Mwahangila, Ephraim Mwansasu, Beatrice Mwaipaja, Walter Chilambo, Paul Mwangosi, Boaz Danken, Safari Paul, Upendo Kilahiro, Jennifer Mgendi, Edson Mwasabwite, Gwamaka Mwakalinga, Beatrice Muhone, Faustin Munishi, Rehema Simfukwe

Kuna wale maarufu sana ambao hawakuingia kwa kushindwa kukidhi baadhi ya vigezo hapo juu kama Rose Muhando, Bahati Bukuku, Bonny Mwaitege, Goodluck Gozbert, Angel Benard, Flora Mbasha, Neema Mwaipopo
Hapa nchini hakuna mwimbaji wa injiri anayefikia viwango vya Rose Mhando, hakuna! hakuna! hakuna!
 
Unathibitishaje haya uyasemayo?

Hujui hata maandiko yamesema acheni ngano na magugu yakue pamoja..yatapepetwa wakati wa mavuno.

Chamsingi injili isonge mbele..awajuaye wale wa kweli ni kristo mwenyewe.

As long as injili inahubiriwa kwenye hayo makanisa hiyo ndio furaha yangu.

#MaendeleoHayanaChama
Kupitia maandiko magugu yanaonekana,bora watu waambiwe ukweli waamue wenyewe kutembea na ngano au magugu.
Injili zingine za shetani kupitia maandiko mfano
1.Daudi alicheza hadi akabaki uchi, 2.Mungu anaangalia roho
3.Mafuta, chumvi,maji,upako,hizi ni hirizi toka lini Yesu akachanganywa na visaidizi hivi vya kipepo.Au tangu lini shetani akayaogopa mafuta aliyowapa watumishi wake?
Haya ni mafundisho ya kuzimu kupitia mawakala wao makanisani.
 
Kuna kwaya fulani miaka ya 2002 inatokea mkoa wa tanga sijui inaitwaje ile naitafuta kweli.
Ni kwaya ya KKKT, kwenye kasha la kanda walijipanga mstari halafu wa mbele wamechuchumaa.

moja ya kipande cha wimbo kinasema
Bwana yesu anasemaaa yeye yu ndani ya babaa
sisi tuwe ndani yake ili tupate uzima.

Naomba msaada kwa anayeijua hiyo kanda maana kipindi hicho nilikuwa bado sijui kusoma.
Jamani wekeni msaada hapa 😊
 
Kuna nyimbo hizi mbili nazitafuta
1.kuwalaani wana waisreali balaam nani aliimba hiyo nyimbo

2.na yapili sijui nani aliimba wanacheza ofisini wamekaa kwenye meza kubwa jamaa anaimba vizuri sana

Naombeni msaada
Ngoja wataalamu wanakuja.. jaribu kucheki pia youtube.
 
Hiyo List 1-10 wanasali kanisani kwako nini? Itakuwa wote mnasali kanisa moja Nyinyi
Mimi sina kanisa. Kwenye list nzima ninayefahamiana naye ni mmoja tu. Pia hakuna hata mmoja hapo anayesali kanisa moja na mwenzake.
 
Vigezo vilivyotumika:

1. Nyimbo zinazoendana na neno la Mungu
2. Kuwepo kwenye imani thabiti ndani ya Kristo
3. Kuwa na malezi ya kiroho na kanisa analohudhuria kama mshirika
4. Muendelezo wa ukuaji wa huduma, ujuzi na ubora wa kazi.

Kumbuka, hatulinganishi karama bali namna karama ilivyotumiwa kwa ustadi.

Twende pamoja sasa:

1. Abihudi Misholi
2. Fanuel Sedekia
3. Christina Shusho
4. Ambwene Mwasongwe
5. John Lisu
6. Paul Clement
7. Joel Lwaga
8. Upendo Nkone
9. Martha Mwaipaja
10. Ipyana Kibona

Ambao hawakuingia lakini ni wazuri pia hawa hapa:

Christopher Mwahangila, Ephraim Mwansasu, Beatrice Mwaipaja, Walter Chilambo, Paul Mwangosi, Boaz Danken, Safari Paul, Upendo Kilahiro, Jennifer Mgendi, Edson Mwasabwite, Gwamaka Mwakalinga, Beatrice Muhone, Faustin Munishi, Rehema Simfukwe

Kuna wale maarufu sana ambao hawakuingia kwa kushindwa kukidhi baadhi ya vigezo hapo juu kama Rose Muhando, Bahati Bukuku, Bonny Mwaitege, Goodluck Gozbert, Angel Benard, Flora Mbasha, Neema Mwaipopo
Joel Lwaga bado sana.

Alibebwa na wasanii wa kike wa bongo muvi lakini wa kawaida sana
 
Yaani eti unamtoa Bahati Bukuku na Rose Muhando kwenye first list unamweka Paul Clement.

Ua not a serious Christian.
Kwamba Paul Clement sio serious christian? Rose na Bahati wana vipaji, hakuna anayepinga lakini vigezo vilivyotumika vimewaweka kando kwa sasa. Miaka ijayo wanaweza kirudi watakaporejea kwenye misingi walikoanzia.
 
Back
Top Bottom