katika ibada ni albamu bora zaidi ya gospel music kuwahi kutokea..Uuuuuuu!
Uu uuuuuuu!
Umeweka wimbo kinywani mwanguu,Bwana niimbe sifa zakoo!
Umeniumba Ili nikuabudu,nakuabuduu,nakuabuduuu.........
Wewe uketie juu ya vyote,sifa hizi zifike kitini pako,wimbo huu ukawe manukatooo.....we miss you Sedekia[emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Awe anaimba nyimbo zinazoendana na neno la Mungu..π€£Bahati Bukuku hamjamtendea haki π π π
Sawa mkuu, itakuja na list yake.mleta mada tupe na list ya kwaya kumi bora
π π nampenda yule mama anaimba vizuri, anaimba reality ya maisha, kama neno la mungu halina reality amna neno na huo alio nao ni ubunifu.Awe anaimba nyimbo zinazoendana na neno la Mungu..π€£
Mwenyewe anasema aliwakimbia ccm, yupo kenya huko.Yule Munishi kapotelea wapi?
Neno la Mungu halibadiliki, linadumu milele. Waimbaji wengi maarufu wanaacha misingi na kuimba kufurahisha watu..π π nampenda yule mama anaimba vizuri, anaimba reality ya maisha, kama neno la mungu halina reality amna neno na huo alio nao ni ubunifu.
Sawa msabato.Neno la Mungu halibadiliki, linadumu milele. Waimbaji wengi maarufu wanaacha misingi na kuimba kufurahisha watu..
Kuna msabato atakayeweza kuwakubali waimbaji kama hao kwenye kumi bora?π€£ Labda watajaribu kwa Abiudi, Sedekia na Ambwene ila huko kwingine wataleta maneno mengi.π€£π€£Sawa msabato.
πππ siku hizi wamechange wako kwa fashion zaidi, hawataki kupitwa na vizuriKuna msabato atakayeweza kuwakubali waimbaji kama hao kwenye kumi bora?π€£ Labda watajaribu kwa Abiudi, Sedekia na Ambwene ila huko kwingine wataleta maneno mengi.π€£π€£
Tanga wanaimba qaswida.π€£π€£Mbona sioni hata muimbaji mmoja kutoka Tanga!! Yaani karibia 3/4 ya hiyo list ni Wanyaki kutoka Mbeya!! Hii siyo haki hata kidogo.
Labda wamechange wakiwa mtaani lakini kwenye kusanyiko sheria bado ni kali.. halafu hapo watasema wote hawafai kwasababu hawashiki sabato.ππππ siku hizi wamechange wako kwa fashion zaidi, hawataki kupitwa na vizuri
Na mdumange pia! Hasa sisi Wasambaa wa Lushoto na Korogwe.Tanga wanaimba qaswida.π€£π€£
Hakika...daakatika ibada ni albamu bora zaidi ya gospel music kuwahi kutokea..
Braza ww ni mfatiliaji wa nyimbo za injili wa miaka ganii humjui Jangalasoni.....Sijawahi kumsikia.. ajitahidi sasa na neema ya Mungu imsaidie afikie viwango vya kitaifa.
Kapata knockout kutoka kwenye vigezo.Hakuna kama rose muhando
Nitarud
Huyu jamaa jeniffer mgendi ni mtanzania mkwe wangu yule hana bayaJenifer kazaliwa ocean road na kaolewa hapa Tanzania.