Waimbaji kumi bora wa nyimbo za injili kuwahi kutokea hapa Tanzania mpaka sasa

Waimbaji kumi bora wa nyimbo za injili kuwahi kutokea hapa Tanzania mpaka sasa

Inaonekana nyimbo za injili umeanza kuzisikiliza kwanzia miaka ya 2005 kuja juu, waimbaji wengi uliowaweka kwenye top ten wameibuka katika awamu ya pili ya kutawala kwake JK.

Usiniambie kuwa kabla ya waimbaji hawa tena wengi wakiwa under 40, hapakuwahi kutokea waimbaji wa injili Tanzania waliotikisa Africa Mashariki.

Pata muda, sikiliza nyimbo za kina Jangalason na waimbaji wengine wa wakati wake.

Vinginevyo hiyo orodha ingejikita kuanzia mwaka 2015 kuja leo.
Mimi ni mkongwe na mpaka saa hizi ni huyo jangalason ndio ametajwa sana ambaye sikuwa namfahamu. Watajeni hao wengine mnaodhani walikuwepo zamani ili tuwapime zaidi.

Kwa ujumla majina mengi unayaona ya miaka ya 2000s kwasababu miaka ya nyuma waimbaji binafsi walikuwa wachache sana. Kwaya ndio zilitawala ile miaka ya tisini kurudi nyuma.
 
Image ya mtu kwenye public inaweza kuwa fabricated,naweza kupika positive image yangu naweza nikaficha behind the scenes ,
Hakuna mtu Yuko na monopoly ya truth , maadam wote tuko kwenye msururu kwenda kwenye mzani wa haki ,huna authority yoyote wala Askofu wako ya kusema huyu ni mbaya huyu ni mwema ,Watu wanaangalia kipawa Cha Mtu ,MUNGU ananyesha mvua Kwa Watu wote hata wachawi always
Ukisoma vizuri kuanzia mwanzo utafahamu kwamba hakuna hukumu yoyote inayotolewa kwenye mada hii.
 
Siku nyengine Roho wa Mungu atumike kuwajua wale waimbaji wa Gosipeli wa Mungu wa kweli na washetani. Usitumie utaratibu huu wa kikokolokolo kuwa rank.
 
Hivi yeye sio wa dotcom?😂
Inategemea na umri wako brother 😁😁

Rose kwangu ni mkongwe pia maana katoka mwanzoni mwa 2000 ila kizazi hiki kingine kimekuja baada ya 2015 hasa baada ya goodluck Gozbert kuja na sound yake ambayo ni mchanganyo wa gospel na bongo flava
 
Inategemea na umri wako brother 😁😁

Rose kwangu ni mkongwe pia maana katoka mwanzoni mwa 2000 ila kizazi hiki kingine kimekuja baada ya 2015 hasa baada ya goodluck Gozbert kuja na sound yake ambayo ni mchanganyo wa gospel na bongo flava
Kuanzia 2000 wote ni kizazi cha dotcom kwa mawazo yangu. Akina Rose hao ni wa 2000s halafu funga kazi wengi ni hawa wa 2010s ambao ndio facebook na instagram imewakamata kwelikweli.
 
Inaonekana nyimbo za injili umeanza kuzisikiliza kwanzia miaka ya 2005 kuja juu, waimbaji wengi uliowaweka kwenye top ten wameibuka katika awamu ya pili ya kutawala kwake JK.

Usiniambie kuwa kabla ya waimbaji hawa tena wengi wakiwa under 40, hapakuwahi kutokea waimbaji wa injili Tanzania waliotikisa Africa Mashariki.

Pata muda, sikiliza nyimbo za kina Jangalason na waimbaji wengine wa wakati wake.

Vinginevyo hiyo orodha ingejikita kuanzia mwaka 2015 kuja leo.
[emoji419][emoji419][emoji419] kabisa
 
Kuzimu imeingia makanisani siku hizi ni hatari sana kusali sali hovyo kwenye haya makanisa ya mwendokasi.
 
Kuanzia 2000 wote ni kizazi cha dotcom kwa mawazo yangu. Akina Rose hao ni wa 2000s halafu funga kazi wengi ni hawa wa 2010s ambao ndio facebook na instagram imewakamata kwelikweli.
Bhasi bro labda kama wewe ni wale born before computers 😁😁😁

Wengine ni millenials sisi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimejikuta nacheka ulivyomalizia

Me si napenda mziki mzuri.

Screenshot_20220910_110535.jpg
 
Bila Rose Mhando list inakuwa haina maana, Rose Mhando hakuna wa kushindana nae Africa Mashariki, Kwa ufupi ni Zidane wa gospel songs , hakuna Cha vigezo wewe muweke namba 1
Ukitumia kigezo hicho ni kweli hana mpinzani.
 
Back
Top Bottom