The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Subirini nyie viazi sie wenye akili tuwasaidie kuondoa umaskini maana umewashinda kitambo..We bwege popoma leo umeongea madini ya ukweli hao watu wanapaswa kuondolewa haraka bila kupoteza muda, waache milima ipumue na mandhari ya mji ionekane.
Kwa akili hizi ipo siku utakuja na hoja ya cocobeach apewe muwekezaji .Sasa baba kawaulize wale wa milimani kama wanapenda kuishi vile na kawaulize wachague kuhamishwa wakapewe fidia na maeneo mazuri na kubakia milomani...
Umeona Mwekezaji wa Mwanza anataka kujenga real estates Ili hao wabakoshwe?
Mpumbavu ni wewe hata huelewi unachoongea..
Uwekezaji ulifanyika magomeni ni tofauti na unaotaka kufanyika hapo Mwanzo..
Sio nitakuja,pale ni eneo prime na wawekezaji watapewa..Kwa akili hizi ipo siku utakuja na hoja ya cocobeach apewe muwekezaji .
Kwa akili zako za kipumbavu kila sehemu nzuri ni lazima wananchi wa kawaida wafukuzwe
Ata mimi nimeona hizo bil 150 haziwezi kutosha fidia ata kwa wakazi wa igogo tu hapo itatubidi tutumie nguvu watake wasitake wataama ata kwa milioni tano kila nyumba, wakibisha kupokea nikuwahamisha ata bila senti, wamevuruga mji kwa miaka mingi sasa wametosha.Hii post ipo kishabiki sana kumchonisha mama na kuutukuza mzimu wa chattle! Ina maana hao wawekezaji wamepewa maeneo yote ya miliman? Isamilo area tu jiji haliwez kuwafidia wakaz wa pale! Na huo uwekezaji wa b 150 tu? Hitimisho ni kwamba hii post ni ya kipumbavu sana ever seen
Tatizo hili la makazi duni ni karibia mji yote ya TZ. Unakuta mjini kati kabisa kuna vijumba vilijengwa wakati wa utawala wa mjerumani hadi leo vipo na wenye navyo hivyo vijumba vya tope ni hoe hae na hawana mpango wowote wa kuendeleza makazi yao kwa muijibu wa sheria na kanuni za mipango mji na makazi mjini.
Matokeo yake miji yetu mingi imedumaaa hasa maeneo ya kati ya hiyo miji (CBD) miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru. Serikali inabidi utunge/iboreshe sheria za mipango miji na kazi hasa kwenye CBDs iwape wenye nyumba za ajabu ajabu na ambao hawawezi kujenga maghorofa kipindi cha kuanzia miaka 15 hadi 30 (Kulingana na kasi ya ukuaji wa miji) ya kuuza na kuhama maeneo yao ili hayo maeneo/viwanja zijengwe nyumba za kisasa hususani maghorofa.
Bila kufanya hivyo miji yetu mingi itaendelea kuw vijiji vilivyochangamka. Tukiendekeza ujamaa na kuchekeana na kuoneana aibu nchi hii itabaki hapo hapo hata baada ya miaka 200 ya uhuru kwenye suala la makazi.
Hakuna nguvu yoyote hapa mwanza hapa ni diplomasia wakileta ubishi tutaumia nguvu, acheni kupotosha watu.Tembelea dar es salaam eneo la posta, kariakoo, ilala,upanga nk. Hakuna aliyefukuzwa ndani ya miaka 60 toka tupate uhuru. Watu wanafikia bei wanauziwa kwa mikataba mbalimbali. Kama ulikuwepo miaka 20 iliyopita unaweza kupotea kwa namna ujenzi mpya wa magorofa ulivyoshamiri. MUDA NI MSEMAKWELI. Haitachukua miaka 200 kama unavyodhania. HAKUNA NGUVU ILIYOTUMIKA KULETA HAYA MAENDELEO YA JIJI LA DAR. Kwanini miji mingine itumike nguvu?
Kwa ajili ya kumtetea hangaya uko tayari kusimama na the Rocky CitySasa hizo ni nyumba au takataka? Walitakiwa waondolewe kitambo tuu maana wanachafua Mji..
Hao watu wa milimani Nina uhakika watakuwa wa kwanza kuitikia mwito maana watapewa maeneo mazuri yaliyopimwa na Fidia juu..
Nyanzaga Kule Sengerema wamehama kupisha Mwekezaji wa mgodi mkubwa dhahabu sembuse hao maskini wa huko milimani?
Hangaya yuko kwa ajili ya kuwaondolea umaskini uliokithiri huko kwenye Kanda ya Ziwa maana mtu wenu aloshindwa.Kwa ajili ya kumtetea hangaya uko tayari kusimama na the Rocky City
Makete ni mabilionea [emoji38][emoji38][emoji38][emoji2962][emoji2962]Hangaya yuko kwa ajili ya kuwaondolea umaskini uliokithiri huko kwenye Kanda ya Ziwa maana mtu wenu aloshindwa.
Hilo sio swali ni majibu πMakete ni mabilionea [emoji38][emoji38][emoji38][emoji2962][emoji2962]
Na kweli, maana mkataa kwao ni mtumwa, komaa nako ivoivo ingawa ni matakoni mwa Tanzania.Hilo sio swali ni majibu [emoji116]
Kichwa I kumejaa mvi,matakoni full supu ππNa kweli, maana mkataa kwao ni mtumwa, komaa nako ivoivo ingawa ni matakoni mwa Tanzania.
Mbona unaandika kama umechomekewa ubo! Utakuwa umechomekewa kweli [emoji23][emoji23][emoji23]Kichwa I kumejaa mvi,matakoni full supu [emoji3][emoji3]
Niko humu nachomeka sukuma gang mmja πMbona unaandika kama umechomekewa ubo! Utakuwa umechomekewa kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe kwenye hako kageto ndo wasukuma walikulainisha ukawachukia mpaka leo[emoji38][emoji38] pole sana mbena, wasukuma sio watu wa mchezomchezo, wanakula sangara na sato.Niko humu nachomeka sukuma gang mmja [emoji116]