The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Tuonyeshe huo moto wa kuzimuFamilia yake inamsaidia nini na moto wa huko kuzimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuonyeshe huo moto wa kuzimuFamilia yake inamsaidia nini na moto wa huko kuzimu?
Wapi wanakouza? Umewahi sikia wapi Mwekezaji akiuziwa eneo? Hakuna sheria ya kuuza ardhi Tanzania bali kukodisha kwa miaka 33,66,99Mbona zanzibar hawauzi ila wanakodisha maeneo kwa wageni?
Waliojaza mausaa kwenye vichwa vyao watakwambia Nchininauzwa..Nimekaa maeneo ya mabatini hakika kama kuna namna ya kupaboreha heri paboreshwe.nipachafu mno,wapika gongo wanatiririsha Matinga (mabaki ya gongo) hovyo,hakuna vyoo vya kudumu,mvua ikinyesha wanatiririsha vinyesi kwenda mto kenge,kaa yale sio makazi jamani japo niliishi pale kwa miaka mingi ila paboreshwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watahamishiwa Handeni, eneo ambalo limetengwa na serikali kama kimbilio la wakosefu.
Kwa hili uko sahihiUtu gani? Hizo ni nyumba auntakataka? Kuwaacha kwenye Hali hiyo ya umaskini ndio utu? Acha upumbavu...
Maziwa, miti mirefu, kokoto na mabatini yoteBuzuruga mlima upi?
Ila kuna watu wanapenda kujitafutia laana za bure kabisa, Sasa Mzee Kama yule unamteka wa nini!??Ni wahuni walimkamata
Ila kuna watu wanapenda kujitafutia laana za bure kabisa, Sasa Mzee Kama yule unamteka wa nini!??
Tumechelewa. Usalama wa nchi utakuwaje?Hii mambo ya kuuza nchi vipande vipande tunapata hasara, kama vipi tuuze jumla kila mtu apewe chake asepe.
Lakini hiyo familia ya Brazil itajenga kwenye milima yote ya Mwanza Mabatini, Kirumba, Igogo, Mahina mpaka Ibanda huko?
Wakazi WA haya maeneo mhame , Kigoto , Mabatini , Kitangiri , Capripoint , Iseni , Kilimahewa , Kirumba , Ghana , Bugando ,Bugarika ,Igogo NKHii mambo ya kuuza nchi vipande vipande tunapata hasara, kama vipi tuuze jumla kila mtu apewe chake asepe.
Lakini hiyo familia ya Brazil itajenga kwenye milima yote ya Mwanza Mabatini, Kirumba, Igogo, Mahina mpaka Ibanda huko?
Hapa ndo dharau zilipo sasa,mkuu wasaidie hata wawili uwape zile nyumba zako za maana.Utu gani? Hizo ni nyumba auntakataka? Kuwaacha kwenye Hali hiyo ya umaskini ndio utu? Acha upumbavu...
Ndio maana watahamishwa Ili kusaidiwaHapa ndo dharau zilipo sasa,mkuu wasaidie hata wawili uwape zile nyumba zako za maana.
Usalama umefanyaje sasa?Tumechelewa. Usalama wa nchi utakuwaje?
Kanda ya Ziwa imezidi,ndio kuna Mikoa inaongoza kwa umaskini huko .
Sasa wanataka wawasaidie mnabisha.
Wale waliomlaumu JPM kwa kuvunja nyumba za Kimara kupisha ujenzi wa barabara za kisasa ndio hawa watakalaumu hatua hii ya serikali ya sasa.Sasa hizo ni nyumba au takataka? Walitakiwa waondolewe kitambo tuu maana wanachafua Mji..
Hao watu wa milimani Nina uhakika watakuwa wa kwanza kuitikia mwito maana watapewa maeneo mazuri yaliyopimwa na Fidia juu..
Nyanzaga Kule Sengerema wamehama kupisha Mwekezaji wa mgodi mkubwa dhahabu sembuse hao maskini wa huko milimani?