Waishio milimani Jijini Mwanza watakiwa kuondoka kupisha mwekezaji

Waishio milimani Jijini Mwanza watakiwa kuondoka kupisha mwekezaji

We bwege popoma leo umeongea madini ya ukweli hao watu wanapaswa kuondolewa haraka bila kupoteza muda, waache milima ipumue na mandhari ya mji ionekane.
Subirini nyie viazi sie wenye akili tuwasaidie kuondoa umaskini maana umewashinda kitambo..

😄😄 Cha ajabu kuna mburula wenzako wanapinga wanatamani muendelee kuishi humu kwenye mabanda yenu 👇
 

Attachments

  • IMG-20220509-WA0008.jpg
    IMG-20220509-WA0008.jpg
    44.5 KB · Views: 4
Sasa baba kawaulize wale wa milimani kama wanapenda kuishi vile na kawaulize wachague kuhamishwa wakapewe fidia na maeneo mazuri na kubakia milomani...

Umeona Mwekezaji wa Mwanza anataka kujenga real estates Ili hao wabakoshwe?

Mpumbavu ni wewe hata huelewi unachoongea..

Uwekezaji ulifanyika magomeni ni tofauti na unaotaka kufanyika hapo Mwanzo..
Kwa akili hizi ipo siku utakuja na hoja ya cocobeach apewe muwekezaji .

Kwa akili zako za kipumbavu kila sehemu nzuri ni lazima wananchi wa kawaida wafukuzwe
 
Kwa akili hizi ipo siku utakuja na hoja ya cocobeach apewe muwekezaji .

Kwa akili zako za kipumbavu kila sehemu nzuri ni lazima wananchi wa kawaida wafukuzwe
Sio nitakuja,pale ni eneo prime na wawekezaji watapewa..

Kwenda kwako kuogelea kunanufaishaje Taifa?
 
Hii post ipo kishabiki sana kumchonisha mama na kuutukuza mzimu wa chattle! Ina maana hao wawekezaji wamepewa maeneo yote ya miliman? Isamilo area tu jiji haliwez kuwafidia wakaz wa pale! Na huo uwekezaji wa b 150 tu? Hitimisho ni kwamba hii post ni ya kipumbavu sana ever seen
Ata mimi nimeona hizo bil 150 haziwezi kutosha fidia ata kwa wakazi wa igogo tu hapo itatubidi tutumie nguvu watake wasitake wataama ata kwa milioni tano kila nyumba, wakibisha kupokea nikuwahamisha ata bila senti, wamevuruga mji kwa miaka mingi sasa wametosha.
 
Tatizo hili la makazi duni ni karibia mji yote ya TZ. Unakuta mjini kati kabisa kuna vijumba vilijengwa wakati wa utawala wa mjerumani hadi leo vipo na wenye navyo hivyo vijumba vya tope ni hoe hae na hawana mpango wowote wa kuendeleza makazi yao kwa muijibu wa sheria na kanuni za mipango mji na makazi mjini.

Matokeo yake miji yetu mingi imedumaaa hasa maeneo ya kati ya hiyo miji (CBD) miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru. Serikali inabidi utunge/iboreshe sheria za mipango miji na kazi hasa kwenye CBDs iwape wenye nyumba za ajabu ajabu na ambao hawawezi kujenga maghorofa kipindi cha kuanzia miaka 15 hadi 30 (Kulingana na kasi ya ukuaji wa miji) ya kuuza na kuhama maeneo yao ili hayo maeneo/viwanja zijengwe nyumba za kisasa hususani maghorofa.

Bila kufanya hivyo miji yetu mingi itaendelea kuw vijiji vilivyochangamka. Tukiendekeza ujamaa na kuchekeana na kuoneana aibu nchi hii itabaki hapo hapo hata baada ya miaka 200 ya uhuru kwenye suala la makazi.
 
Mkuu!
Umeongea ukweli mno!
Tatizo hili la makazi duni ni karibia mji yote ya TZ. Unakuta mjini kati kabisa kuna vijumba vilijengwa wakati wa utawala wa mjerumani hadi leo vipo na wenye navyo hivyo vijumba vya tope ni hoe hae na hawana mpango wowote wa kuendeleza makazi yao kwa muijibu wa sheria na kanuni za mipango mji na makazi mjini.

Matokeo yake miji yetu mingi imedumaaa hasa maeneo ya kati ya hiyo miji (CBD) miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru. Serikali inabidi utunge/iboreshe sheria za mipango miji na kazi hasa kwenye CBDs iwape wenye nyumba za ajabu ajabu na ambao hawawezi kujenga maghorofa kipindi cha kuanzia miaka 15 hadi 30 (Kulingana na kasi ya ukuaji wa miji) ya kuuza na kuhama maeneo yao ili hayo maeneo/viwanja zijengwe nyumba za kisasa hususani maghorofa.

Bila kufanya hivyo miji yetu mingi itaendelea kuw vijiji vilivyochangamka. Tukiendekeza ujamaa na kuchekeana na kuoneana aibu nchi hii itabaki hapo hapo hata baada ya miaka 200 ya uhuru kwenye suala la makazi.
 
Tembelea dar es salaam eneo la posta, kariakoo, ilala,upanga nk. Hakuna aliyefukuzwa ndani ya miaka 60 toka tupate uhuru. Watu wanafikia bei wanauziwa kwa mikataba mbalimbali. Kama ulikuwepo miaka 20 iliyopita unaweza kupotea kwa namna ujenzi mpya wa magorofa ulivyoshamiri. MUDA NI MSEMAKWELI. Haitachukua miaka 200 kama unavyodhania. HAKUNA NGUVU ILIYOTUMIKA KULETA HAYA MAENDELEO YA JIJI LA DAR. Kwanini miji mingine itumike nguvu?
 
Na huko Geita mjiandae 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220615-145524.png
    Screenshot_20220615-145524.png
    142.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220615-145631.png
    Screenshot_20220615-145631.png
    135.3 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220615-145749.png
    Screenshot_20220615-145749.png
    86.3 KB · Views: 7
Tembelea dar es salaam eneo la posta, kariakoo, ilala,upanga nk. Hakuna aliyefukuzwa ndani ya miaka 60 toka tupate uhuru. Watu wanafikia bei wanauziwa kwa mikataba mbalimbali. Kama ulikuwepo miaka 20 iliyopita unaweza kupotea kwa namna ujenzi mpya wa magorofa ulivyoshamiri. MUDA NI MSEMAKWELI. Haitachukua miaka 200 kama unavyodhania. HAKUNA NGUVU ILIYOTUMIKA KULETA HAYA MAENDELEO YA JIJI LA DAR. Kwanini miji mingine itumike nguvu?
Hakuna nguvu yoyote hapa mwanza hapa ni diplomasia wakileta ubishi tutaumia nguvu, acheni kupotosha watu.
 
Sasa hizo ni nyumba au takataka? Walitakiwa waondolewe kitambo tuu maana wanachafua Mji..

Hao watu wa milimani Nina uhakika watakuwa wa kwanza kuitikia mwito maana watapewa maeneo mazuri yaliyopimwa na Fidia juu..

Nyanzaga Kule Sengerema wamehama kupisha Mwekezaji wa mgodi mkubwa dhahabu sembuse hao maskini wa huko milimani?
Kwa ajili ya kumtetea hangaya uko tayari kusimama na the Rocky City
 
ujenzi wa kwny milima ulipaswa kupgwa marufuku tangu zamani.yaani taifa lenye ardhi km za eneo 945,2000 yanini watu waruhusiwe kujenga kwny ncha za milima au majabari kama kenge..shimo la choo atachimbaje
 
Back
Top Bottom