Waislam hawakushiriki kwenye biashara ya utumwa na vita kuu za dunia


Mbona unaanza kwa kupopoma kwa kujitetea kabla hujavurumishwa? Unadhani utazuia watu wasikunyuke? La hasha utagongwa tuu!
 
 
UJINGA MWINGI.

MATAIFA YA ULAYA YANAPIGANA, UNAITA VITA KUU YA DUNIA.

PATHETIC
 
Nje ya sifa za elimu, What is your point related to the topic?
 
Nimefurahi umejibu vizuri Cha kwanza inabid tutofautishe uislamu na Uarabu kwanza hapo tutakuwa sawa...
Si kila muarabu ni Muislam na sio kila mu islam ni muarabu...
Ni sawa na kuufannanisha ukristo na Uzungu...
 
Hata Muislamu kama akikaidi Sharia za M/Mungu naye ni kafiri tu neno kafiri ni mkufuru wa Amri za M/Mungu halina Race wala Jinsi
Kwahiyo na wewe ni kafiri kwasababu unatumia mtandao wa kafiri kutoa maoni yako?
 
Pamoja na hayo yote waislamu ndio wanakimbilia nchi za Ulaya na Magharibi. Hakuna muislamu anayekimbilia nchi za Uarabuni kutafuta maisha. Angalia hata nchi ulaya watuwanatoka Syria,Iran,Iraq,Palestina nk. Hata Dj Khaled ni Mpalestina by origin. Wazazi wake wangekimbilia Saudia asingekuwa hapo alipo.
 
Kwahiyo na wewe ni kafiri kwasababu unatumia mtandao wa kafiri kutoa maoni yako?
Siwezi kuwa kafiri kwa sababu hakuna sehemu nimempinga Mungu.....
Narudia tena kafiri ni yule anayepinga maagizo ya Mungu kwenye Vitabu vyake..
Hakuna sehemu Mungu alisema nisitumie Hivi vitu..
Ila aliwahi kuniambia kwamba kanihalalishia vitu vyote pamoja na vitu vya Alkitaba
 
Uislamu ni uarabu kwa sababu kuanzia mavazi ni asili ya Uarabuni. Na hata ukiangalia dini yenu inafundishwa kwa kiarabu. Na ukifuatilia historian uislamu una matabaka. Hata ukienda uarabuni kuna familia na koo zina matabaka juu ya wengine.
 
Mbona haya maagizo umeyapinga?
Sura 9:5 says, “Slay the infidels wherever you find them ... and lie in wait for them ... and establish every stratagem (of war against them).
 

The only point umeshika ni nyumba za ibada tu kutumika? That all
Well bado hujui kitu, kasome upya
 
Mbona haya maagizo umeyapinga?
Sura 9:5 says, “Slay the infidels wherever you find them ... and lie in wait for them ... and establish every stratagem (of war against them).
Mkuu ingekuwa vyema ungeanza kutoka verse 3 ukamaliza mpaka verse 7..
Utaelewa the moral of the story cuz islam doesnt preach killing insteady christian does...

QURAN 5:32..

whoever kills a soul unless for a soul or for corruption [done] in the land (Court law) it is as if he had slain mankind entirely. And whoever saves one - it is as if he had saved mankind entirely.

But christian even Jesus Preach Killing...Mathew 10:34



Na hakutishia tu pia akitoa amrii..Luke 19:26-27

In 27 ..Alisema yoyote ambaye ni adui yangu mleteni mbele yangu na mumuue nikiona


NA SIO YESU WA BIBLIA TU ALIPREACH KILLING HATA MUNGU WA MUSA KWENYE BIBLIA NDO KATILI KWELI KWWLI....

Number 31:17-18

"Now therefore kill every male among the little ones, and kill every woman that hath known man by lying with him.But all the women children, that have not known a man by lying with him, keep alive for yourselves."

Mungu anamwambia musa aue Maboyfriend wa watu achukue mademu zao halafu wawe wake 😅😅😅

Dont throw stone Brother we Both not Right
 
Kuna marekebisho kidogo ottoman empire ilishiriki vita ya kwanza ya dunia ikachapika kolon lake ndohiyo Israel na Palestine
 
Malaria ilipanda kochwani unakua kichaa hii imethibitishwa na madaktari wa akili
 
Huoni kitabu cha Robert C Davis kama kilileta chuki za kidini miaka hiyo kinatoka au hujui historia yake?
Unakumbuka watu wangapi walifariki?
Unakumbuka kuzuka kwa Makundi ya kigaidi ya kikristo kulipa kisasi?
Kitabu nilichokupa usome kinaelezea ukweli kuhusu biashara ya utumwa katika pwani ya medetranian na kinajibu swali la mdau kuhusu waarabu na uislamu na biashara ya utumwa.
NB: TUSITOKE NJE YA MADA HUSIKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…