Waislam hizi sheria mbona hamzifuati tena, au kuna agano jipya?

Waislam hizi sheria mbona hamzifuati tena, au kuna agano jipya?

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
1. Kukata kucha siku ya Alhamisi.

2. Kutokula kwa kutumia kijiko.

3. Kutokula ukiwa umekaa kwenyekiti.

4. Kutokula kwa mkristo a.k.a kafiri kwa hofu ya kulishwa kwa vyombo vilivotumiwa kwa kupika nguruwe au nyamafu.

5. Kutokwenda nyumbani au kuongea na mtoto wako aliyeamua kubadili dini.

6. Kutanguliza mguu wa kushoto na kusoma dua kila unapoingia na kutoka chooni, hapa nimewaza tumbo la kuharisha sidhani kama litakupa hiyo chance ya kufanya nayo.

7. Kufuga mbwa kama mlinzi, huku ikijulikana kabisa kwamba alikula mkono wa mtume, kwa maelezo ya mwalimu wa madrassa.

Ongeza na zakwako unazozifahamu.
 
1. kukata kucha siku ya alhamisi

2.kutokula kwa kutumia kijiko

3.kutokula ukiwa umekaa kwenyekiti.

4. kutokula kwa mkristo a.k.a kafiri kwa hofu ya kulishwa kwa vyombo vilivotumiwa kwa kupika nguruwe au nyamafu.

5. kutokwenda nyumbani au kuongea na mtoto wako aliyeamua kubadili dini.

6. kutanguliza mguu wa kushoto na kusoma dua kila unapoingia na kutoka chooni, hapa nimewaza tumbo la kuharisha sidhani kama litakupa hiyo chance ya kufanya nayo,

7. kufuga mbwa kama mlinzi, huku ikijulikana kabisa kwamba alikula mkono wa mtume, kwa maelezo ya mwalimu wa madrassa,

ongeza na zakwako unazozifahamu
Haya mambo kweli yalikuwepo kipindi tunakua.
Mleta mada Asante kwa kumbukumbu.
Kuna mabadiriko ktk kitabu au wazee wazamani walitumia kitabu kingine?
 
Hiz dini hizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa hayo mashart sijui sheria zinatofauti gan na masharti ya mganga na walozi? Hivi kwanini ukose uhuru wako sababu ya upuuz unaoitwa dini, tena dini yenyewe ya kuletwa na majambazi yaliyoua na kubaka bibi na babu zetu?.

Yaani mtu aliyekuharibia maisha na anaendelea kukubagua then ndie huyu huyu akupe/kukuonesha njia sahihi ya kumjua Mungu? Kwa upendo gani?

Uislam&ukristo ni dini za uongo za kijinga zilizoletwa kuharibu mindset za wajinga wanaoamini bila kuhoji.

Upuuzi mtupu.
 
1. kukata kucha siku ya alhamisi

2.kutokula kwa kutumia kijiko

3.kutokula ukiwa umekaa kwenyekiti.

4. kutokula kwa mkristo a.k.a kafiri kwa hofu ya kulishwa kwa vyombo vilivotumiwa kwa kupika nguruwe au nyamafu.

5. kutokwenda nyumbani au kuongea na mtoto wako aliyeamua kubadili dini.

6. kutanguliza mguu wa kushoto na kusoma dua kila unapoingia na kutoka chooni, hapa nimewaza tumbo la kuharisha sidhani kama litakupa hiyo chance ya kufanya nayo,

7. kufuga mbwa kama mlinzi, huku ikijulikana kabisa kwamba alikula mkono wa mtume, kwa maelezo ya mwalimu wa madrassa,

ongeza na zakwako unazozifahamu

Yan mbwa kala mkono wa mtume! Aisee we kafili umefika mbali
 
Huenda wanakuiga wewe mwaya, si unaona CCM inakukanda wewe, bibi na babu lakini bado unaiheshimu na mfumo wake unautumia
Hiz dini hizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa hayo mashart sijui sheria zinatofauti gan na masharti ya mganga na walozi? Hivi kwanini ukose uhuru wako sababu ya upuuz unaoitwa dini, tena dini yenyewe ya kuletwa na majambazi yaliyoua na kubaka bibi na babu zetu?.

Yaani mtu aliyekuharibia maisha na anaendelea kukubagua then ndie huyu huyu akupe/kukuonesha njia sahihi ya kumjua Mungu? Kwa upendo gani?

Uislam&ukristo ni dini za uongo za kijinga zilizoletwa kuharibu mindset za wajinga wanaoamini bila kuhoji.

Upuuzi mtupu.
 
Back
Top Bottom