Waislam hizi sheria mbona hamzifuati tena, au kuna agano jipya?

Waislam hizi sheria mbona hamzifuati tena, au kuna agano jipya?

1. Kukata kucha siku ya Alhamisi.

2. Kutokula kwa kutumia kijiko.

3. Kutokula ukiwa umekaa kwenyekiti.

4. Kutokula kwa mkristo a.k.a kafiri kwa hofu ya kulishwa kwa vyombo vilivotumiwa kwa kupika nguruwe au nyamafu.

5. Kutokwenda nyumbani au kuongea na mtoto wako aliyeamua kubadili dini.

6. Kutanguliza mguu wa kushoto na kusoma dua kila unapoingia na kutoka chooni, hapa nimewaza tumbo la kuharisha sidhani kama litakupa hiyo chance ya kufanya nayo.

7. Kufuga mbwa kama mlinzi, huku ikijulikana kabisa kwamba alikula mkono wa mtume, kwa maelezo ya mwalimu wa madrassa.

Ongeza na zakwako unazozifahamu.
Kwani wewe mkiristo unalipwa kutanga uisilamu humo?
 
Hili ni jukwaa la Dini
Na hapa nchini Dini kubwa ni mbili tu.

Unaweza kutembelea majukwaa mengine kama hapa unakwazika.
Mbona jukwaa ni la habari na hoja mchanganyiko. Hilo jukwaa lako la dini liko wapi?[emoji57]
 
1. Kukata kucha siku ya Alhamisi.

2. Kutokula kwa kutumia kijiko.

3. Kutokula ukiwa umekaa kwenyekiti.

4. Kutokula kwa mkristo a.k.a kafiri kwa hofu ya kulishwa kwa vyombo vilivotumiwa kwa kupika nguruwe au nyamafu.

5. Kutokwenda nyumbani au kuongea na mtoto wako aliyeamua kubadili dini.

6. Kutanguliza mguu wa kushoto na kusoma dua kila unapoingia na kutoka chooni, hapa nimewaza tumbo la kuharisha sidhani kama litakupa hiyo chance ya kufanya nayo.

7. Kufuga mbwa kama mlinzi, huku ikijulikana kabisa kwamba alikula mkono wa mtume, kwa maelezo ya mwalimu wa madrassa.

Ongeza na zakwako unazozifahamu.
Mzee dini sio habari za vijiweni, lete kila moja na dalili zake tujadili
 
Back
Top Bottom