Waislam hizi sheria mbona hamzifuati tena, au kuna agano jipya?

Waislam hizi sheria mbona hamzifuati tena, au kuna agano jipya?

1. kukata kucha siku ya alhamisi

2.kutokula kwa kutumia kijiko

3.kutokula ukiwa umekaa kwenyekiti.

4. kutokula kwa mkristo a.k.a kafiri kwa hofu ya kulishwa kwa vyombo vilivotumiwa kwa kupika nguruwe au nyamafu.

5. kutokwenda nyumbani au kuongea na mtoto wako aliyeamua kubadili dini.

6. kutanguliza mguu wa kushoto na kusoma dua kila unapoingia na kutoka chooni, hapa nimewaza tumbo la kuharisha sidhani kama litakupa hiyo chance ya kufanya nayo,

7. kufuga mbwa kama mlinzi, huku ikijulikana kabisa kwamba alikula mkono wa mtume, kwa maelezo ya mwalimu wa madrassa,

ongeza na zakwako unazozifahamu
.
 
Kuweka picha sebuleni ya mdudu sii mdudu, mnyama sii mnyama basi ni dude la ajabu lenye mwili wa farasi kichwa Cha mwanamke.
Buraq
 

Attachments

  • 29673797262_7baa39fbf7_z.jpg
    29673797262_7baa39fbf7_z.jpg
    65.3 KB · Views: 2
najua mkuu..actually ni wewe huwezi kujua kamwe!
Sio kwamba wewe hujui.
Ila maana ya hiyo sentensi ya Lugha ya Kiarabu niliyo inukuu ni.
"Huwezi kujua"
Sio kwamba wewe hujui. ni tafsiri ya hilo neno kwa Lugha ya Kiswahili.
 
1. Kukata kucha siku ya Alhamisi.

2. Kutokula kwa kutumia kijiko.

3. Kutokula ukiwa umekaa kwenyekiti.

4. Kutokula kwa mkristo a.k.a kafiri kwa hofu ya kulishwa kwa vyombo vilivotumiwa kwa kupika nguruwe au nyamafu.

5. Kutokwenda nyumbani au kuongea na mtoto wako aliyeamua kubadili dini.

6. Kutanguliza mguu wa kushoto na kusoma dua kila unapoingia na kutoka chooni, hapa nimewaza tumbo la kuharisha sidhani kama litakupa hiyo chance ya kufanya nayo.

7. Kufuga mbwa kama mlinzi, huku ikijulikana kabisa kwamba alikula mkono wa mtume, kwa maelezo ya mwalimu wa madrassa.

Ongeza na zakwako unazozifahamu.
Kutokuangalia TV.
 
1. Kukata kucha siku ya Alhamisi.

2. Kutokula kwa kutumia kijiko.

3. Kutokula ukiwa umekaa kwenyekiti.

4. Kutokula kwa mkristo a.k.a kafiri kwa hofu ya kulishwa kwa vyombo vilivotumiwa kwa kupika nguruwe au nyamafu.

5. Kutokwenda nyumbani au kuongea na mtoto wako aliyeamua kubadili dini.

6. Kutanguliza mguu wa kushoto na kusoma dua kila unapoingia na kutoka chooni, hapa nimewaza tumbo la kuharisha sidhani kama litakupa hiyo chance ya kufanya nayo.

7. Kufuga mbwa kama mlinzi, huku ikijulikana kabisa kwamba alikula mkono wa mtume, kwa maelezo ya mwalimu wa madrassa.

Ongeza na zakwako unazozifahamu.
8.usiteme mate kibra😂
 
Kutokula kwa kutumia kijiko.
Uislamu unapendekeza kula Kwa kutumia mkono na haujakataza kula kwa kijiko.
Kutokula ukiwa umekaa kwenyekiti
Uislamu unaelekeza mtu ale akiwa amekaa. Kukaa kwenyekiti ni kukaa pia.
4. Uislamu haujakataza watu kula kwa Wakristo na badala yake unahalalosha hilo
{ ٱلۡيَوۡمَ أُحِلَّ لَكُمُ ٱلطَّيِّبَٰتُۖ وَطَعَامُ ٱلَّذِينَ أُوتُواْ ٱلۡكِتَٰبَ حِلّٞ لَّكُمۡ وَطَعَامُكُمۡ حِلّٞ لَّهُمۡۖ وَٱلۡمُحۡصَنَٰتُ مِنَ ٱلۡمُؤۡمِنَٰتِ وَٱلۡمُحۡصَنَٰتُ مِنَ ٱلَّذِينَ أُوتُواْ ٱلۡكِتَٰبَ مِن قَبۡلِكُمۡ إِذَآ ءَاتَيۡتُمُوهُنَّ أُجُورَهُنَّ مُحۡصِنِينَ غَيۡرَ مُسَٰفِحِينَ وَلَا مُتَّخِذِيٓ أَخۡدَانٖۗ وَمَن يَكۡفُرۡ بِٱلۡإِيمَٰنِ فَقَدۡ حَبِطَ عَمَلُهُۥ وَهُوَ فِي ٱلۡأٓخِرَةِ مِنَ ٱلۡخَٰسِرِينَ }
[Surah Al-Māʾidah: 5]

Ali Muhsin Al-Barwani:
Leo mmehalalishiwa kila vilivyo vizuri. Na chakula cha walio pewa Kitabu ni halali kwenu, na chakula chenu ni halali kwao. Na pia wanawake wema miongoni mwa Waumini, na wanawake wema miongoni mwa walio pewa Kitabu kabla yenu, mtakapo wapa mahari yao, mkafunga nao ndoa, bila ya kufanya uhasharati wala kuwaweka kinyumba. Na anaye kataa kuamini bila shaka a'mali yake imepotea, naye katika Akhera atakuwa miongoni mwa wenye khasara.

Sahih International:
This day [all] good foods have been made lawful, and the food of those who were given the Scripture is lawful for you and your food is lawful for them. And [lawful in marriage are] chaste women from among the believers and chaste women from among those who were given the Scripture before you, when you have given them their due compensation, desiring chastity, not unlawful sexual intercourse or taking [secret] lovers. And whoever denies the faith - his work has become worthless, and he, in the Hereafter, will be among the losers.
Kutanguliza mguu wa kushoto na kusoma dua kila unapoingia na kutoka chooni, hapa nimewaza tumbo la kuharisha sidhani kama litakupa hiyo chance ya kufanya nayo.
6. Kutanguliza mguu wa kushoto wakati wa kuingia chooni jambo haliwahi kuwachwa na Waislamu wanaojua
7. Uislamu haujakataza kufuga mbwa kwa ajili ya ulinzi.
 
Sio kwamba wewe hujui.
Ila maana ya hiyo sentensi ya Lugha ya Kiarabu niliyo inukuu ni.
"Huwezi kujua"
Sio kwamba wewe hujui. ni tafsiri ya hilo neno kwa Lugha ya Kiswahili.
shukran mkuu, naelewa ila jamaa aliyeileta nilimuuliza kama ni ayah ama la.
 
1. Kukata kucha siku ya Alhamisi.

2. Kutokula kwa kutumia kijiko.

3. Kutokula ukiwa umekaa kwenyekiti.

4. Kutokula kwa mkristo a.k.a kafiri kwa hofu ya kulishwa kwa vyombo vilivotumiwa kwa kupika nguruwe au nyamafu.

5. Kutokwenda nyumbani au kuongea na mtoto wako aliyeamua kubadili dini.

6. Kutanguliza mguu wa kushoto na kusoma dua kila unapoingia na kutoka chooni, hapa nimewaza tumbo la kuharisha sidhani kama litakupa hiyo chance ya kufanya nayo.

7. Kufuga mbwa kama mlinzi, huku ikijulikana kabisa kwamba alikula mkono wa mtume, kwa maelezo ya mwalimu wa madrassa.

Ongeza na zakwako unazozifahamu.
Nyie wakristo mmekatazwa ushoga lakini kwenye makanisa yenu mnakula kwenye makanisa yenu padri anamkula padri mwenzie
 
We are all in the same race why should oneself see better than another?[emoji17]
 
Back
Top Bottom