Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Toa hoja za msingi mkuu shida yenu ndio hiyo mpo cheap sana angalia hata kwenye Maisha yetu ya kawaida mitaani huku Jipe home work Nafasi yenu katika jamii ipoje na ni kwa sababu gani inakua hivyo hebu acheni hizo mambo jamani
 
Ninyi si huwa mnamsifu Bashite anavyofanya Live? Kwanini wengine mnataka wakosolewe nje ya media?
 
Nimeelewa mkuu nampuuza kuanzia Sasa.
 
Kweli wewe msomi na muislam anaye jitambua.
Huyu mdau anauchafua uislam uonekane ni wa kulalamika tu hata kwa mambo yenye kulinda afya ya waislam.
Kulinda uhai wa waislam wenzake.
Wakitokea watu kama wewe miongoni mwenu kutakuwa na maendeleo makubwa kwenye taasisi zenu.
 
Unaongeaga ukweli hapo ndo napokukubali.

Uislam ni dini nzuri ila jinsi waislam wanavyotafsiri sharia zao ndo huwa sielewi kwanini wanajiweka kwenye mlengo wa kuonewa mara nyingi.

Sio watu wa kuchukua hatua, hata kama jambo ni kweli wamekosea wao watasema wameonewa.

Hii kitu binafsi inanikwaza sana wakati waislam ni jeshi kubwa sana, wanaaminishana kuonewa mpaka inakua shida kuhamasishana maendeleo.
 
PAWEPO NA SEMINARI ZA KIISLAMU ZENYE MJUMUIKO WA DINI, ELIMU YA KAWAIDA, NA TABIA NJEMA, SEHEMU SAFI NA NADHIFU, WANAFUNZI WASOME NA WAHIFADHI KURUAN KWA KINA KATIKA HALI SALAMA, WALIMU WAWE NI WALE WALIOTHIBITISHWA NA BAKWATA PEKEE KWA VIBALI MAALUM, INSHALAAH
 
Huo ni mfano kwa wengine wanaoendesha vituo kama hivyo.
Sio Mara ya kwanza nakumbuka kuna msikiti mmoja maeneo ya Ipogolo Iringa kuna Bwana alifurushwa kabisa aondoke Nchini nadhani alikua mkufunzi ja baada ya muda kuna watoto pia waliamriwa kurudi majumbani kwao,Hawa mabwana hawanaga jambo jema hususan wakikusanyana Masikini wanakuwaga na mambo ya kijinga sana
 
Watu kama hao wanatakiwa kujibiwa ili wazidi kufunguka upumbavu wao zaidi ili tuzidi kuwajua na tuwaweke kundi gn
 
Umeongea vyema kabisa, ingawa jasiri unaleta asili hapo kwenye Ikulu na hospital ya ocean road. Mnajaribu sana kuleta story zenu. Kuna mmoja nilimsikia anasema aliyeongoza Tanganyika kupata Uhuru aliitwa Juma Lyus Manyere, ila wakoloni walimuita Julius Nyerere, hili kinaanza kiutaniutani, lakini ikifika 2050 misikitini kote watakuwa wameshafundishwa kwamba Juma Lyiusa Manyere ndiye rais wa kwanza wa Tanzania
 
Dp world
 
Hapo kwenye Mkaa, Magoti utamlaumu bure. Husikii kampeni za nishati Safi kitaifa?
 
Kale kajamaa kanauwezo mdogo sana wa kufikiria Hakuna watoto wa Umri huo acha uongo ww kafiri
 
Dini hizi kwa niliyoyaona kwa nchi za kislam kwenye hivi vituo wanachofanyiwa watoto, eti kufunzwa dini ni zaidi ya utumwa!! Watu wanapigwa balaa, wanashinda kwenye minyororo!! Eti ndio kufunzwa dini!!
 
Dini hizi kwa niliyoyaona kwa nchi za kislam kwenye hivi vituo wanachofanyiwa watoto, eti kufunzwa dini ni zaidi ya utumwa!! Watu wanapigwa balaa, wanashinda kwenye minyororo!! Eti ndio kufunzwa dini!!
Hapa mtaani kwetu kuna Wapemba, sasa wanavyowafundisha Kurani hao watoto wao utadhani n vita Mana kila muda unasikia makofi ya mgongoni tuu paaaaaaaah!
 
Mwalimu alihojiwa na kusema kuwa hakuna mtoto wa miaka 3 hapo msikitini kiluvya na watoto wote wameletwa kwa ridhaa ya wazazi wao.
Sasa hao wazazi c nao wamepitia huko huko kwenye ugaidi wa Kiislamu hvy nao lazima walete watoto wao, yn hii kutokomeza ugaidi inabidi tuanze kwa watoto mpaka kwa wazazi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…