Balvejmumt
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,224
- 2,938
Mbona Mimi niliyesikiliza na kuona kichoonyeshwa au kuzungumzwa na Magoti sijaona alipo idhihaki na kuitusi dini yeyote Bali katumia upole na busara ya hali ya juu?
Naomba nikuulize maswali machache tu'
Hivi unaonaje watoto wako wanaokwenda shule uwaachishe shule wakasome hicho unachokitetea?
Mimi naona Africa tunachangamoto sana,
Walioleta dini Wana wanapambana na tunayoiita elimu Dunia ili wajikomboe wao na vizazi vyao...
Tafuta nchi ilizoshika dini nje ya Africa wananchi wao Wana maendeleo kiasi gani?
Dini inanafasi yake katika kumtafuta Mungu na kumjua vyema lakini sidhani kama kuna sehemu katika vitabu vya Imani kapiga marufuku elimu dunia....
MSHIKE SANA ELIMU NA USIMUACHE AENDE ZAKE
Naomba nikuulize maswali machache tu'
Hivi unaonaje watoto wako wanaokwenda shule uwaachishe shule wakasome hicho unachokitetea?
Mimi naona Africa tunachangamoto sana,
Walioleta dini Wana wanapambana na tunayoiita elimu Dunia ili wajikomboe wao na vizazi vyao...
Tafuta nchi ilizoshika dini nje ya Africa wananchi wao Wana maendeleo kiasi gani?
Dini inanafasi yake katika kumtafuta Mungu na kumjua vyema lakini sidhani kama kuna sehemu katika vitabu vya Imani kapiga marufuku elimu dunia....
MSHIKE SANA ELIMU NA USIMUACHE AENDE ZAKE