Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Waislam tunakuomba Rais Samia umshauri mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti aache kebehi dhidi ya Waislam

Kuna watu wanaandika ujinga sana inabidi ucheke tuu, soma comments zangu zote ninakemea ugaidi
Pamoja mkuu tupinge sote nilienda singida aisee ni hatari..
watoto kama wako jeshini wengine nilikuwa nikikutana nao kitaa nawadodosa ..
Mkuu sumu walizonaso ni hatari.
 
Acheni story, hakuna kitu kama hicho mkuu. Ramani zote za yale majengo designing zipi na history zote zipo zinasema wazi kuhusiana na hayo. Inawezekana majengo yalikuwepo lakini siyo pale. Kumbuka, Sultani aliwekeza zaidi Bagamoyo huko Dar es salaam ilikuwa ni extension tu
Extension tu!?..nimekuuliza lilikua shamba la minazi au?!..nenda ocean road kakague uone,sidhani hata Kama umewahi fika,lile kanisa pale bandari ulikua msikiti wa wavuvi pale,kumbuka ile bandari Kaanzisha mwarabu,so lazima pawe na msikiti karibu, mjerumani kachukua nchi kajipa eneo lote la ufukweni,maana wanapenda fukwe
 
Ndo hivyo.mojawapo ya taarifa aliyopewa ni hiyo kua kuna sehemu watoto wanalazwa kwakulundikwa kama mawe ndo ikabidi aende mwenyewe akashuhudie.Akili zako ni ndogo ndomaana unawaza mambo ya kiki wakati ilo swala linahihusu jamii na lina faida kwenu wenyewe.Labda useme hampendani kwahiyo ata mtoto wa mwenzako akiwa analala pabovu kwako sio shida.
Angeenda mchana akauliza watoto hulala wapi,asingeoneshwa!?
 
Shame on you mtoa mada umeona mazingira mabovu jinsi walivyorundikwa hao ndugu zako, hujawaza kuwaonea huruma hebu mshukuru aliyewatoa huko huko kambini
 
Mheshimiwa kasema ni watoto....kwani watoto wanapaswa kuwa shule gani???

Hzo tahfidhu ni kichaka cha kuwanyima watoto haki zao (nazijua vzr) ......heri ungenambia taalim...kule angalau wamekuwa kdg.
Hata miaka 14 ni mtoto na kishamaliza elimu ya msingi,Sasa si wote huendelea na masomo,ye alitaka wawe wapi?!
 
Pamoja mkuu tupinge sote nilienda singida aisee ni hatari..
watoto kama wako jeshini wengine nilikuwa nikikutana nao kitaa nawadodosa ..
Mkuu sumu walizonaso ni hatari.
Niliwahi jipenyeza kwenye hizi taaluma aisee kuna sumu mno wanalishwa na wasiokuwa na nia njema... Yaani kwa mtoto asiyekuwa na uwezo wa kupembua mambo anaondoka nazo.
 
Rekebisha mkuu sisi hatuna Chuki na Uislamu tuna Chuki na Ugaidi
Ndio kwakuwa Tunaona maeneo yanayo chipuka Ugaidi na kuharibu Amani ya nchi ni maeneo ya waislam tu. Mkuranga, Kibiti, Kilwa, Tanga. Unguja. Nk
Ni kwanini mnawahifadhi Magaidi ktk maeneo yenu tu ?
Nyie hamuaminiki hata robo katika usalama wa nchi.
Mnatuhalibia nchi kwa aina ya mafundisho yenu.
Misikiti yote ikaguliwe.
 
Niliwahi jipenyeza kwenye hizi taaluma aisee kuna sumu mno wanalishwa na wasiokuwa na nia njema... Yaani kwa mtoto asiyekuwa na uwezo wa kupembua mambo anaondoka nazo.
Hakuna sumu,acha ufataani
 
Kuna Ka historia wamekatengeneza siku hizi wanakazungusha mitandaoni kuhusiana na Ikulu na Ocean road hospital wakiaminishana vilikuwa ni vya Waislam na vilijengwa na wai, wakati lile jengo pale lilikuwa disigned na John Sinclair, na ndiye aliyesimamia ujenzi wake na ujenzi huo ulifanywa Waingereza mwaka 1922 baada ya jengo la awali lilikuwa limejengwa na wajerumani kuharibiwa na majeshi ya Uingereza.
German ndiyo walianza kuijenga Ikulu baada ya kuamua kuhamisha makao kutoka Bagamoyo kwenda Dar es Salaam, walichofanya ni kununua ardhi kutoka kwa Sultan basi na si majengo
Kuna kaislamu flan hv cheupe kifupi nadhan kwa namna moja au nyingine utakuwa unamjua yeye kutwa na cd zake kutangaza mambo kama haya na hua wanaandaa midahalo kabisa, yn mm ndo ningekuwa polisi wa maeneo husika wangekuwa wanakula bakora mpaka ujinga uwatoke wote
 
Hakuna sumu,acha ufataani
Mkuu wengine wanafundisha sahihi..shida inakuja kuna wengine sijui wanakuwa na agenda zao.

Wanafundishwa vizuri baada ta hapo sasa kuna kunakuwa na yale mengengine baada ya masomo sumu zinaanza.
 
Back
Top Bottom