Kama Mfalme(WE) kajiwakilisha yeye na baraza la wazee(waziri/walio chini yake) - basi tunarudi kwenye wingi(Uumbaji umefanywa na utatu/wingi)Kwanini u assume hiyo "we" ni alishiriakina na huyo unaye assume na si majestic we?
Kwamba mfalme akitumia "we " amejiwakilisha yeye na baraza la wazee? Umesoma ulichokiandika? 🤣🤣🤣🤣🤣Kama Mfalme(WE) kajiwakilisha yeye na baraza la wazee(waziri/walio chini yake) - basi tunarudi kwenye wingi(Uumbaji umefanywa na utatu/wingi)
Lakini ukitumia we , bila uwakilishi wa wanadamu waliochini yako . Basi kuna Mwili mmoja lakini kuna uwakilishi wa roho nyingi
Kama dhima yake ni kuonesha ukuu au ukubwa
Basi ingetumika na baba katika familia , na Mwalimu Mkuu katika Shule.
Unachobisha ni nini ?Kwamba mfalme akitumia "we " amejiwakilisha yeye na baraza la wazee? Umesoma ulichokiandika? 🤣🤣🤣🤣🤣
Ningekuwekea maelezo meengi ya kiarabu ila naona ntakupoteza zaidi inshort mfalme huwa anajitambukisha yeye kama yeye ili kuonesha ukubwa wake sasa ndiyo anatumia majestic "we" haimaanishi hao wazee wapo katika huo utambulishi .
Bro vip umenitoroka sio?Unachobisha ni nini ?
Baraza la wazee katika falme , lilikuwa nikama baraza la mawaziri katika uraisi
Kwa hiyo, ni sawa yeye kutumia wingi , kwa sababu kila swala kubwa lilijadiliwa katika baraza la wazee na amri ya mwisho ilitoka kwa mfalme
Makubwa!!! udini Ni Nini?Achana na udini. Fanya Mambo mengine. Kaoshe hata vyombo fala Wewe
Udini sio huu, kumbuka hizi dini Nikama himaya zinazo taka kujitanua, Huku zikijihami Ili zisipokonywe waamini.Haya maswala ya udini yanataka kuota mizizi hapa mitandaoni na baadae kwenye jamii
Huyu Restless Hustler , amesema yeye hana dini,Udini sio huu, kumbuka hizi dini Nikama himaya zinazo taka kujitanua, Huku zikijihami Ili zisipokonywe waamini.
mtu kaja na hoja yake acha ijibiwe kwa hoja, pengine upande utakao shinda (Hoja zenye mashiko) ukavuna waamini wa upande ulioshindwa.
Either huna elimu na haya mambo au haujui unachokiandika 😂😂 wacha nikupe elimu kidogo hapa, ipo hivi wafalme zamani walikuwa wanachukuliwa kwamba wanatokea kwenye koo zenye uungu ndani yake au wamechaguliwa na Mungu moja kwa moja hivyo mfalme alipokuwa anatumia pronoun "We" au kwa kilatini "pluralis majestatis" ni kumaanisha "God and I " .Unachobisha ni nini ?
Baraza la wazee katika falme , lilikuwa nikama baraza la mawaziri na bunge katika uraisi
Kwa hiyo, ni sawa yeye kutumia wingi , kwa sababu kila swala kubwa lilijadiliwa katika baraza la wazee na amri ya mwisho ilitoka kwa mfalme
Asa sioni elimu hapa,Either huna elimu na haya mambo au haujui unachokiandika 😂😂 wacha nikupe elimu kidogo hapa, ipo hivi wafalme zamani walikuwa wanachukuliwa kwamba wanatokea kwenye koo zenye uungu ndani yake au wamechaguliwa na Mungu moja kwa moja hivyo mfalme alipokuwa anatumia pronoun "We" au kwa kilatini "pluralis majestatis" ni kumaanisha "God and I " .
SASA
Kwanini Allah (the Only King) ametumia neno "we" au kwa kiarabu " ناحن" (nahnu) hii ni kwa sababu anaonesha UTUKUFU NA UKUBWA WAKE maana hakuna Mola ispokuwa yeye ☝️.
🤣🤣🤣 vipi umeishiwa hoja au unafikiria kitu kingine?Asa sioni elimu hapa,
Haya ni makorokocho na manyang'unyang'u
Lete kitu kilichoshiba Boss , sio wafalme wame kutoka
Quran haina errors , thats final ukiona umepata error jua wewe ndiye mwenye makosa kwenywe usomaji wako 😂Asa sioni elimu hapa,
Haya ni makorokocho na manyang'unyang'u
Lete kitu kilichoshiba Boss , sio wafalme wame kutoka
Oops , nani kakuuliza hili swaliQuran haina errors , thats final ukiona umepata error jua wewe ndiye mwenye makosa kwenywe usomaji wako 😂
🤣🤣🤣🤣 typical christian hauna elimu na mambo unayoyaletea uzi ukiletewa hoja na maswali yenye mantiki unakimbia 🤣🤣🤣 leta uzi wa errors za quran maana huu tumeshauletea majibu murua kabisa na bado sijaona ukitete hoja yako popote pale NIPO HAPA NASUBIRI UJE NA NYUZI ZAKO INSHALLAH NITAKUJIBU KWA KADIRI ATAKAVYONIJALIA YULE ALIYEMUUMBA BINADAMU YESU NA KUMFANYA NABII KATI YA WANA WA ISRAEL.Oops , nani kakuuliza hili swali
Unataka tuanze mada ya errors za Quran na mada husika hatujapata jibu
Mi naona uende tu Bro, usinijazie uzi
Tupe angalau yaliyomo ndani ya hicho kitabu cha wahinduKasome bhavishya purana ya wahindi haya mambo utayamanya kirahisi mno
Now unavuka mipaka, just respect yourselfWaislamu wote wana matusi sio wewe tu,
Mdomo na akili unaotukania ndo unatumia kusali?
Ama kweli Allah ni shetani(mungu mwezi)
Yohana 1:1 (KJV)Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "
Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.
Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26
Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?
- Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
- Ikumbukwe Majestic We zinatumika kwa viongozi tu, na kutambua utendaji walio chini , na viongozi hao huwa na baraza ( Mfalme - baraza la wazee , Raisi - mawaziri) - Kwa hiyo ni sawa kutumia wingi, kama uwakilishi
- Ikumbukwe kuna verse Allah ametumia I am na kwanini pale tu , ndipo alitumia wingi?
Nondo Kama hizi tunaelewa watu kama sisi...! Maisha kama haya tunaishi watu kama sisi. Nguo nzuri kama hizi tunavaa watu kama sisi... NK.Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "
Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.
Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26
Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?
- Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
- Ikumbukwe Majestic We zinatumika kwa viongozi tu, na kutambua utendaji walio chini , na viongozi hao huwa na baraza ( Mfalme - baraza la wazee , Raisi - mawaziri) - Kwa hiyo ni sawa kutumia wingi, kama uwakilishi
- Ikumbukwe kuna verse Allah ametumia I am na kwanini pale tu , ndipo alitumia wingi?