Waislamu na walokole punguze kidogo unafiki

Nimekutandika DISLIKE ya nguvu sana ili ujue kuwa mimi ni mlokole halisi
 
Wewe Ni mtu wa batili na mwenye kukuamini ameangamia ,,,hivyo endelea kuamini ukafiri wako
 
Wewe Ni mtu wa batili na mwenye kukuamini ameangamia ,,,hivyo endelea kuamini ukafiri wako
Nimekutaka uthibitishe Mungu yupo.

Umeshindwa. Huwezi.

Kwa sababu huyo Mungu hayupo.

Hapo wewe ndiye batili. Unaamini Mungu wa ubatili ambaye huwezi kuthibitisha yupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
E bhana tayari wafia dini wanateseka huku baada ya kuwashushia kinyundo kwenye mshono [emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ukishaamini unamjua Mungu tu huwezi kukwepa unafiki.

Kwa sababu hapohapo utajifanya unapenda watu, hapohapo utakuwa unawahukumu wasiokubaliana nawe.

Unafiki tayari.
Wanasayansi ndiyo wanafki wakubwa kupindukia[emoji35]

Wanadai Mtu akikaa baada ya siku 7 bila kula basi anakufa ilihali Mcha Mungu anagonga hadi siku 13 bila kula wala kunywa maji akiwa kwenye maombi ya kufunga na wala hafi [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Usijihesabie haki buna unakosea mkuu
YESU alikuwa anayapatia sana hayo manafki [emoji38][emoji116]

YOHANA 8:7-9.

[7]Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.

[8]Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika nchi.

[9]Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hata hii JF unayotumia imetengenezwa na Wanasayansi, ingekuwa vizuri ungeachana nayo kwanza utengeneze yako ya dini, halafu uende kuwasema unafiki huko.

Vinginevyo wewe nawe utakuwa mnafiki kwa style ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".
 
Binafsi namwomba sana M/Mungu niwe na UTU mambo sijui ya dini tupilia uko,siwezi kujiona bora kisa ni dini fulani wakati hiyo dini imeletwa na Wazungu au Waarabu,mi si mtumwa wa watu
 
ukijalibu kuchunguza kwa umakin weng walio enda shule hawait wenzao makafil Wala mashetan wanabak kusali2 kwenye din zao sasa Hawa wenzetu ambao hawajtambui[emoji1787][emoji1787] wanajihc baba zao walio waambukiza udin walikua sahihi kuliko wengne
 
No, usinifanye nijione sipo katika haki kama unavyojiona wewe.

Sasa kama sioni kuwa Uislamu ni dini ya haqi hivyo kuna haja gani ya kuendelea kuwa muislamu.

Nimejiridhisha kuwa Uislamu ni dini ya haqi ndio maana naufuata kwa kufa na kupona.
Nyie ndio mnaozungumziwa na mleta mada.
Hapa ume-prove hoja yake.

Uislam huu huu wa kulipuana mabomu a.k.a jihad na kusomeana Albadili ndio wa haki au ni uislam upi huo?
 
"Yeyote anayedhani kwamba Allah hatamnusuru (mtume muhammad) katika dunia na akhera basi na afunge kamba kwenye dari kisha ajinyonge, halafu atazame je mbinu yake hiyo itaondoa hayo yaliyomkasirisha?"

Qur'an 22:15
 
Nyie ndio mnaozungumziwa na mleta mada.
Hapa ume-prove hoja yake.

Uislam huu huu wa kulipuana mabomu a.k.a jihad na kusomeana Albadili ndio wa haki au ni uislam upi huo?
Siku ukijua huo uhuni wa kujilipua mabomu na ushirikina wa kusoma ahlu badri hauhusiani na mafundisho ya kiislamu hata nukta utaona haya sana kwa uliyowahi kuyazungumza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…