Nani alisema hayo maneno???"Yeyote anayedhani kwamba Allah hatamnusuru (mtume muhammad) katika dunia na akhera basi na afunge kamba kwenye dari kisha ajinyonge, halafu atazame je mbinu yake hiyo itaondoa hayo yaliyomkasirisha?"
Qur'an 22:15
Mzee unatambaza bakoraaaaUkishaamini unamjua Mungu tu huwezi kukwepa unafiki.
Kwa sababu hapohapo utajifanya unapenda watu, hapohapo utakuwa unawahukumu wasiokubaliana nawe.
Unafiki tayari.
Haki gani, haki dhidi ya naniWewe uliyezaliwa katikati ya hizo dini uache nongwa ,,,Mimi Ni muislamu na nipo katka Haki ,,,sihitaji kuzisemea imani za Michongo hutaki ubatili njoo ktk uislamu utapata imani ya moyo
Jihad ni Uhuni?Siku ukijua huo uhuni wa kujilipua mabomu na ushirikina wa kusoma ahlu badri hauhusiani na mafundisho ya kiislamu hata nukta utaona haya sana kwa uliyowahi kuyazungumza.
Nimeweka source hapo chini mkuu.Nani alisema hayo maneno???
Narudia tena siku ukijua huo uhuni wa kujilipua hauhusiani na uislamu hata chembe utaona haya sana.Jihad ni Uhuni?
Hao unaowaita wahuni huwa wanajilipua kumtetea Alah na Dini yake... Wanaita Jihad.
Leo hii wewe mmatumbi unaita Jihad Uhuni?
Nimekuuliza swali, Jibu Acha kukwepa swali.Narudia tena siku ukijua huo uhuni wa kujilipua hauhusiani na uislamu hata chembe utaona haya sana.
Nakusaidia tafsiri ya Jihad (according to Oxford Lang dictionary).Narudia tena siku ukijua huo uhuni wa kujilipua hauhusiani na uislamu hata chembe utaona haya sana.
Jihad na kujilipua wapi na wapi? yaani ni kama uniulize hapa simbachawene ni mbegu ya alizeti? sasa unataka nijibu nini mkuu na umeamua kujizima data mwenyewe.Nimekuuliza swali, Jibu Acha kukwepa swali.
Nimekuuliza, JIHAD NI UHUNI?
tafsiri iko sahihi, mtu anaweza kupigana na nafsi yake maana inaamrisha mambo machafu na mabaya, pia huweza kufanya jihad kwa mali yake akachangia dini iende mbele na pia huweza kufanya jihad ya vita sasa na hii ina masharti mengi na kuhitajia kusoma sana bali ina hatua zake na ni hatua ya mwisho kabisa na inahitaji amri ya kiongozi, sio huo upumbavu wa hao vijana wa alshabaab, boko haram, ISIS, alqaedah na wengineo hawa ni wahuni tu na ukichunguza kuna mkono wa US kuvitumia vikundi hivyo kuvuruga amani ya maeneo husika na kuutukanisha uislamu.Nakusaidia tafsiri ya Jihad (according to Oxford Lang dictionary).
Hii hapa[emoji116]
Jihad: "a struggle or fight against the enemies of Islam"
Swali la 2 kwako: How do you fight the enemies of Islam? (Mnapigana vipi na maadui wa dini ya Islam?)
Karibu kwa majibu.
secondly, kwa sasa nguvu ya silaha na uwezo ni ndogo so tuko katika zama za kufanya subra na kuwasomesha watu wetu na vizazi vyetu waijue dini yao na waitumie kwenye maisha yao ya kila siku mpaka uislamu utakaposhika hatamu tena kwa mara nyingine.Nakusaidia tafsiri ya Jihad (according to Oxford Lang dictionary).
Hii hapa[emoji116]
Jihad: "a struggle or fight against the enemies of Islam"
Swali la 2 kwako: How do you fight the enemies of Islam? (Mnapigana vipi na maadui wa dini ya Islam?)
Karibu kwa majibu.
Twende taratibu, umesema Jihad sio Kujilipua.Jihad na kujilipua wapi na wapi? yaani ni kama uniulize hapa simbachawene ni mbegu ya alizeti? sasa unataka nijibu nini mkuu na umeamua kujizima data mwenyewe.
Okay mkuu nimekujibu kwenye quote ya pili hapo angalia.Twende taratibu, umesema Jihad sio Kujilipua.
Sasa swali langu kwako ni hili: JIHAD NI NINI?
Kwa maelezo yako unasema:tafsiri iko sahihi, mtu anaweza kupigana na nafsi yake maana inaamrisha mambo machafu na mabaya, pia huweza kufanya jihad kwa mali yake akachangia dini iende mbele na pia huweza kufanya jihad ya vita sasa na hii ina masharti mengi na kuhitajia kusoma sana bali ina hatua zake na ni hatua ya mwisho kabisa na inahitaji amri ya kiongozi, sio huo upumbavu wa hao vijana wa alshabaab, boko haram, ISIS, alqaedah na wengineo hawa ni wahuni tu na ukichunguza kuna mkono wa US kuvitumia vikundi hivyo kuvuruga amani ya maeneo husika na kuutukanisha uislamu.
Jiulize silaha wanapata wapi? mwisho kwenye uislamu hairuhusiwi kujitoa uhai, na vigezo vya vita vikitimia hairuhusiwi kuua wanawake, watoto wala kukata miti na kuharibu visivyohusika na vita.
Unapoleta mada jaribu kutenganisha "personal interests from the general one" .Hellow
Mimi huwa na chukizwa sana na baadhi ya watu ambao wanapenda sana kujiona bora kuliko wengine especial waislamu na walokole
Waislam wao wanajiona wapo sahihi kwa asilimia 100 na wengine ni watenda dhambi hua nachukizwa sana
Unakuta mtu anasema huyo ni najisi mala amelaaniwa nani anajua au ana huwakika na hayo?
Na walokole mnakuta mtu akitenda dhambi mnasema mumtenge kanisan yaani afukuzwe nilikuwaga na sali katika kikundi cha sara akatokea dada anatongoza wanaume vibaya mno wakawa wanasema tumtemge asije hapa anatuambukiza laana zake
Mimi nilipinga nikasema hakuna mkamilifu ni rehema tu zinatifanya tunafika madhabahuni lakini kama ingekuwa tunaonyeshwa matendo yetu kila siku tusinge fika hapoa tunge chinjana
Nikaja kugundua watu hao wanaonyoshea wenzao vidole ni wabaya sana yaani wana mambo machafu sana
Kiufupii acheni unafiki kuna mtu muna muattack vibaya sans
Kwa sisi tuliotafuta kwa mapenzi yetu dini na imani ya kweli kwa kusoma imani tofauti tofauti mpaka tukaja ku settle na moja tunaruhusiwa kushupaza shingo?Mtu amejikuta tu kazaliwa kwenye uislamu au kwenye ulokole. Lakini anashupaza shingo kutetea dini yake. Mtu huyo angezaliwa upande wa pili angeshupaza hivyo hivyo. Wapumbavu wakubwa.
Mbona unajikoroga mkuu wangu, kweli nimesema nafsi na mali tu? kuhusu nafsi yenyewe ni adui wa mtu kama inamuamrisha mambo yasiyo sahihi na kuizuia ni jitihada kubwa inahitajika, kuhusu vita japo umeruka ila nimeeleza pale juu.Kwa maelezo yako unasema:
1. Jihad ni kupigana na Nafsi yako
2. Jihad kuchangia dini iende mbele
Unajichanganya sana... Kwahiyo Nafsi yako wewe ni Adui wa Uislam? Kwa hiyo maadui wa dini yenu ni nyie wenyewe?
Tuje hapa: [emoji116]
Mtu akimtukana Alah na kuzuia Dini ya Alah isiendelee mbele AU mtu akiwa ni kikwazo kwa Uislam duniani, Je Mtu huyo/Watu hao wanakuwa NI MAADUI WA UISLAM au SIO MAADUI WA UISLAM?
[emoji115] naomba jibu la hili swali
Good. Umesema ATAKUWA ADUI.Mbona unajikoroga mkuu wangu, kweli nimesema nafsi na mali tu? kuhusu nafsi yenyewe ni adui wa mtu kama inamuamrisha mambo yasiyo sahihi na kuizuia ni jitihada kubwa inahitajika, kuhusu vita japo umeruka ila nimeeleza pale juu.
Ama swali lako mtu akifanya hayo uliyotaja hapo ni adui wa uislamu na waislamu pia maana heshima ya dini yetu ni kitu tumekitanguliza mbele kuliko nafsi zetu na watu wetu so atakuwa adui hakuna lugha nyingine.
Kama umri huo bado hujajua maana ya Sayansi kwa kukariri kila kinachotumia akili kimetokana na Sayansi basi we ni hasara na utazidi kuwa hasara tupu duniani hadi kifo chako kikiwadia [emoji28]Mkuu hata hii JF unayotumia imetengenezwa na Wanasayansi, ingekuwa vizuri ungeachana nayo kwanza utengeneze yako ya dini, halafu uende kuwasema unafiki huko.
Vinginevyo wewe nawe utakuwa mnafiki kwa style ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".
Mbaya zaidi dini zenyewe wameletewa sio za kwao[emoji3][emoji3]Hellow
Mimi huwa na chukizwa sana na baadhi ya watu ambao wanapenda sana kujiona bora kuliko wengine especial waislamu na walokole
Waislam wao wanajiona wapo sahihi kwa asilimia 100 na wengine ni watenda dhambi hua nachukizwa sana
Unakuta mtu anasema huyo ni najisi mala amelaaniwa nani anajua au ana huwakika na hayo?
Na walokole mnakuta mtu akitenda dhambi mnasema mumtenge kanisan yaani afukuzwe nilikuwaga na sali katika kikundi cha sara akatokea dada anatongoza wanaume vibaya mno wakawa wanasema tumtemge asije hapa anatuambukiza laana zake
Mimi nilipinga nikasema hakuna mkamilifu ni rehema tu zinatifanya tunafika madhabahuni lakini kama ingekuwa tunaonyeshwa matendo yetu kila siku tusinge fika hapoa tunge chinjana
Nikaja kugundua watu hao wanaonyoshea wenzao vidole ni wabaya sana yaani wana mambo machafu sana
Kiufupii acheni unafiki kuna mtu muna muattack vibaya sans