Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Nyie mnaruhusiwa na mnahaki hiyo. Ila hawa ambao babu zao waliingia kwenye dini ili wapate ajira kwa muarabu au misheni, harafu wakawarithisha baba zao, kisha leo wanajidai wanaijua sana na kuipigania ni wapumbavu sana. Wanatakiwa kukaa kimya.Kwa sisi tuliotafuta kwa mapenzi yetu dini na imani ya kweli kwa kusoma imani tofauti tofauti mpaka tukaja ku settle na moja tunaruhusiwa kushupaza shingo?
Umri gani?Kama umri huo bado hujajua maana ya Sayansi kwa kukariri kila kinachotumia akili kimetokana na Sayansi basi we ni hasara na utazidi kuwa hasara tupu duniani hadi kifo chako kikiwadia [emoji28]
Ukisoma kwa akili timamu jamaa Yuko sahihi af Hana upande ila ukisoma akili umeziacha kwa astazi utaona jamaa anawaingiliaUmemjibu vizuri Sana yeye ana dini yake lkn anaanza kuchukia ya wenzake hiyo Ni nongwa inayoishi Karibu na uchawi ...ukafiri utabaki kuwa mbaya tu ...hutaki njoo kwenye haki
Sifàhamu , ila kama mtu anaona sawa kuniita hivyo nitamuacha na mtizamo wake huo.Mimi nikikuita wewe mshenzi nitakuwa nimekosea?
Islam is perfectWaislam wao wanajiona wapo sahihi kwa asilimia 100
Sio kwa mtazamo, kwa fact. Wewe ni mshenzi kwa fact, kwa njia inayoweza kuoneshwa kwamba ipo zaidi ya mtazamo tu.Sifàhamu , ila kama mtu anaona sawa kuniita hivyo nitamuacha na mtizamo wake huo.
Kabisa kikweli kweli.Si mshenzi tu, bali pia unajivunia kuwa mshenzi.
Huu ndio Uislamu unaoujua wewe.Nyie ndio mnaozungumziwa na mleta mada.
Hapa ume-prove hoja yake.
Uislam huu huu wa kulipuana mabomu a.k.a jihad na kusomeana Albadili ndio wa haki au ni uislam upi huo?
Kwa nini unachagua mengine na mengine unaacha?Huu ndio Uislamu unaoujua wewe.
Ila Uislamu ninao uzungumzia mimi ni huu wa kuswali, kutoa zaka, kufunga Ramadhani, na kwenda kuhiji Makkah.
Why shouldn't I be proud of my religion?Kwa nini unachagua mengine na mengine unaacha?
Yote hayo ni ya kwenu, na hayo ni sehemu ya mafundisho yenu. Be proud of your religion.
Haki ipi,ya kuua wasio waislam au ya kuleta machafuko duniani, Kila sehem hamna amani ni nyieHilo la walokole nawaachia wenyewe.
Ila sisi waislamu tupo katika haqi(kweli) sasa kwa nini tusijiamini? na nini kingine baada ya haqi isipokuwa batili?
Au ulitaka tusemaje?
Haqi(kweli) haichangamani na batili.
Ungeweka hata na aya moja inayoruhusu waislamu kuuwa wasiokuwa waislamuHaki ipi,ya kuua wasio waislam au ya kuleta machafuko duniani, Kila sehem hamna amani ni nyie
Haki ipi wakat mmepotea, haki ya kuua non Muslim au ya kufanya UGAID n achuki zilizowajaa, nyie upendo zero hata wenyew Kwa wenyew hampendanndo maana machafuko huko kwenuHilo la walokole nawaachia wenyewe.
Ila sisi waislamu tupo katika haqi(kweli) sasa kwa nini tusijiamini? na nini kingine baada ya haqi isipokuwa batili?
Au ulitaka tusemaje?
Haqi(kweli) haichangamani na batili.
Pole princessHaki ipi wakat mmepotea, haki ya kuua non Muslim au ya kufanya UGAID n achuki zilizowajaa, nyie upendo zero hata wenyew Kwa wenyew hampendanndo maana machafuko huko kwenu