Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] mkuu umenikumbusha Jamaa aliehisi Mdogo wangu wa kike ni Mwarabu na wakaenda kufanya manuva ili asibaguliwe na apendwe yaani kwa kile walichokufanya waarabu Walikuwa hawapingi hata Bure wangempa, matokeo wakajua mwenzangu namie siyo Mwarabu[emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321] walitoka nduko Hadi leo sijawahi kuwaona yaaani hamu ya kuowa iliwaisha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wenzetu wanahesshimika Sana.
 
Hakuna nchi iliyomaliza shida zake zote ndipo ikajenga nyumba za ibada,hata nchi tajiri kuna watu wana shida bado.
 
Mwarabu asili yake ni mtu mweusi. Ni pale waarabu wa asili, weusi walipooana na watumwa weupe wa kizungu, kutoka mashariki ya ulaya, ndio kukapatika machotara wa kiarabu weupe.
Mzungu hamuiti mwarabu white, anamhesabu ni black, kutokana na asili yake, hakuwa white .
 
Naunga mkono hoja.
 
Hiyo ni Bukoba KZ, Tanzania ambapo 99.9% ya Wakazi na Waislamu wa KZ ni Black people, wako wapi kwenye hiyo picha ukiondoa Bakwata na Serikali ? Hapo siyo Omani au Saudia, ni Tanzania, KZ!

Mwarabu sio white,ni black. Asili ya muarabu ni weusi, ni pale walipooana na wazungu watumwa wa mashariki ya ulaya, ndio kukapatikana hiyo rangi unayoiona.

Ndio ukakuta zipo nchi za kiarabu kama Saudi arabia(maana yake mwarabu mweusi), Sudan(maana yake kwa kiarabu, weusi wengi).
 
Umesema kweli tatizo letu kubwa ni inferiority complex ! Utajiona kama unabaguliwa kumbe wewe hujiamini tu !!
 
Tuma picha tuone hiyo ya mtume na mtu mweusi. Tunajua wewe ni mwarabu koko hivyo hiyo picha umeifurahia. Ukitoa msaada usijioneshe sa hao kwa nini wamejilundika pichani wao tu, tenda wema nenda zako sa hawa wametenda na kujionesha kuwa sisi ndo waleta msaada.
 
Katika race iliyopotea ni waarabu,waarabu asili yao ni weusi, walipooana na watumwa wa wa kizungu, wa mashariki, ndio kukapatikana hiyo rangi. Mwarabu wa asili sio mweupe. Ndio ukaona zipo nchi Zina majina ya Saudi Arabia(mwarabu mweusi), Sudani (weusi wengi). Na wapo waarabu weusi, na wengi wapo Kwenye kisiwa cha Scotra(Yemen), hawa wamebaki na uasili wao.
 

Unadanganya, Waarabu ni race na wako kama milioni 300 hivi, Sudani ni Land of the blacks na iliitwa hivyo na Waarabu waliofika hapo sababu ya watu wanaoishi hapo ni weusi.

Usichanganye machotara wamanga na Wapemba vs Waarabu!

Waarabu wenyewe wapo na race wako Syria, Irak, Emirate na Saudia wanaishi Arabian Penisula, wana lugha yao!

Jumla ya Waarabu kama race ni kama milioni 300 Duniani!

Wengi hawa Waarabu wa kuapia wa Tanzania siyo Waarabu na wakienda Syria au Saudia hawakubaliki kama Waarabu!
 
Huyo mwenye ndevu nyingi wanafanana sana na viongozi wa Taleban walioko Afghanistan ana undugu nao nini?
Wewe YEHODAYA acha maneno tusije kusomea ile habari ukageuka jogoo tukutagune wakati wa Idd bure [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mtu mweusi tu huyo hata akiwa mburundi. Hawa waarabu walitutawala ovyo sana na hawakutuachia hata shule [emoji16]
Mwarabu asili yake ni mweusi sio mweupe.Ni pale waarabu weusi wa asili,walipooana na wanawake watumwa wa mashariki,wa kizungu,ndio kukapatikana hiyo rangi
Ndio ukaona kuna nchi bado zina majina Arabuni kama Saudi Arabia(mwarabu mweusi),Sudani(weusi wengi).Na wapo waarabu weusi wa asili,na wengi wapo katika kisiwa kinaitwa scotra(Yemen).
 
Mwarabu ni black,mzungu hamhesabu muarabu ni white.Asili ya muarabu ni mweusi,ni pale walipooana na watumwa wa kizungu,waliotoka mashariki ya ulaya,ndio wakapatikana machotara weupe.Mwarabu asili yake ni mweusi.

Unadanganya tena, Pure Arab ni white in color, wanaishi Syria, Emirate, Saudia na hata Irak na Kuwait, usichanganye pure Arab na Wapemba na wamanga hawa Wabongo, hawa mnaowaita Waarabu wakienda Saudia ni third class na hawakubaliwi kama Waarabu!
 
Waarabu wajinga sana, wanachowafanyia wadada zetu wa kibongo wanapokubaliwa kimapenzi 😁😁 kama wana asili ya kiafrica mbona wanabagua sana hasa mtu mweusi kumuoa mwarabu pure?!
 
Wewe ndio hujui kitu,hutasikia mzungu hata siku moja kumuita mwarabu white.Mzungu amemuweka muarabu Kwenye kundi la blacks.
Tumia akili,ikiwa Sudani ilikuwa nchi ya weusi,angalia rangi za waarabu wa Sudan,sio kama hiyo ubayosema weupe,waarabu wa Sudan sio weupe.
Ikiwa wasema Sudan,imeitwa nchi ya weusi,ni kwasababu ya waafrika weusi.
Tukija Saudia Arabia(mwarabu mweusi),haiko Afrika,mbona imeitwa jina la mwarabu,mweusi
 
Unadanganya tena, Pure Arab ni white in color, wanaishi Syria, Emirate, Saudia na hata Irak na Kuwait, usichanganye pure Arab na Wapemba na wamanga hawa Wabongo, hawa mnaowaita Waarabu wakienda Saudia ni third class na hawakubaliwi kama Waarabu!
Wanakubalika,na wapo wengi tu,nchi za kiarabu,usidanganye watu,wapo hata waliowahi kutawalakuwa wafalme,na nafasi za juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…