Jina la Tanzania limeanza 1964 sio Tanzania imeanza 1964…siku hizi shule huwa mnajifunza nini ?
kwa hiyo mimi nikisema nimezaliwa Dar es salaam nakuwa Muongo kwa kuwa nimezaliwa kabla ya huu mji kupewa jina la Dar es salaam?
kwa hiyo tukisema wageni walivamia Pwani ya Tanganyika tangu 1490 tunakuwa waongo kwa kuwa wakati huo hili eneo lilikuwa haliitwi Tanganyika?
Muhammad alisema Kati ya watu Allah anawachukia ni watu weusi, bisha nilete ushahidiRACISM.
Bahati mbaya Sana kwenye UISLAM hicho kitu HAKIPO
Yaani kwa Kasi hii ya kuzaana hiyo race itatowekaje? Wewe sema meza kuu huwezi onekana kwa sababu za umaskini wako..
Top ten ya matajiri Bongo hakuna Hata mweusi mmja,sisi tunajua majungu na fitina tuu.
Hahaa! Mbona Mengi amekaa sana top 10 ya matajiri, kutokuwa top 10 haimaanishi ndo tusione mabaya ya kwenye picha. Kwa hyo kwenye hiyo picha tunaonesha utajiri wa watu au uzinduzi wa msikiti ndani ya ardhi yetu? Hapo pichani ni km tumealikwa na waarabu.Yaani kwa Kasi hii ya kuzaana hiyo race itatowekaje? Wewe sema meza kuu huwezi onekana kwa sababu za umaskini wako..
Top ten ya matajiri Bongo hakuna Hata mweusi mmja,sisi tunajua majungu na fitina tuu.
Mi nabisha, leta.Muhammad alisema Kati ya watu Allah anawachukia ni watu weusi, bisha nilete ushahidi
Miji kama Sur na Salalah huko Oman ni miji ya waarabu ambao ni weusi kabisa.Katika race iliyopotea ni waarabu,waarabu asili yao ni weusi,walipooana na watumwa wa wa kizungu,wa mashariki,ndio kukapatikana hiyo rangi.Mwarabu wa asili sio mweupe.Ndio ukaona zipo nchi Zina majina ya Saudi Arabia(mwarabu mweusi),Sudani (weusi wengi).Na wapo waarabu weusi,na wengi wapo Kwenye kisiwa cha Scotra(Yemen),hawa wamebaki na uasili wao.
Ache kudanganya , bilal alikuwa mtumwa wa muhammad , mpaka muhammad anakufa kwa kulishwa sumu, bilali akarudi kwa Alie mnunu anamlilia Sana amuachie huru,Mjinga...
Inabidi tuwasomeshe hawa ndugu zetu historia ya Uislam.
Mtume SAW anaogoza sala nyuma yake kasimama Bilal, mtu mweusi kutoka Ethiopia.
Mpaka 1964 Amerika mtu mweusi alikuwa hawezi kuingia kanisa la watu weupe.
Maskini ya Mungu hawajui historia chuki dhidi ya Uslam zimewatia upofu.
Bilal kanunuliwa akawa mtumwa wa muhammad mpaka muhammad kafaMjinga...
Inabidi tuwasomeshe hawa ndugu zetu historia ya Uislam.
Mtume SAW anaogoza sala nyuma yake kasimama Bilal, mtu mweusi kutoka Ethiopia.
Lete maandiko,acha uongo.Muhammad alisema Kati ya watu Allah anawachukia ni watu weusi, bisha nilete ushahidi
We utakuwa muislam wa sayari nyingine. Waislamu tunaishi nao ktk jamii zetu, wanajiona wao ndo km vile wanaishi kwa Mungu wakati ni wa kuja tu walikuta dini km kristo zilishakuwepo enzi na enzi.Fugo...
Nitasemea Uislam kwa kuwa ndiyo dini yangu.
Mimi babu zangu hawakulazimishwa kunga Uslam na kumumini Mungu Mmoja.
Walingia Uislam kwa khiyari zao wenyewe nan si kwa kuwa ni wajinga.
Sisi Waislam hatuna lugha hiyo yako ya kupiga vita dini.
Uzoefu unaonyesha kuwa wenye fikra hizi ukiwachunguza utawakuta ni Wakristo.
Hawa hujitoa katika Ukristo kwa sababu zao na kuanza kupiga vita dini na wakautia Uislam katika hizo chuki zao.
Kwa kawaida hawa watautukana Ukristo lakini sharti na lazima pia waubughudhi Uislam.
Huyu ndugu yetu atambue kuwa katiba ya Tanzani iko wazi kabisa kuhusu dini.
Ikiwa yeye hakuridhika na Ukristo ambayo ndiyo dini yake hana sababu ya kushambulia ian nyingine.
Wawe kwenye picha ya wafadhili wa msikiti ili iweje. Tafuta pesa acha ujinga, ukiwa na hela unajenga msikiti na picha unapiga mwenyeweHiyo ni Bukoba KZ, Tanzania ambapo 99.9% ya Wakazi na Waislamu wa KZ ni Black people, wako wapi kwenye hiyo picha ukiondoa Bakwata na Serikali ? Hapo siyo Omani au Saudia, ni Tanzania, KZ!
Hujui English, soma vizuri, na kama hujui, tafuta msomi wa kiislamu, akueleweshwe, kupitia kwa lugha ya kiarabu.Bilal kanunuliwa akawa mtumwa wa muhammad mpaka muhammad kafa
Poor Bilal akarudi kwa Alie mnunua akamuomba na kumlilia amuachie huru apo Bilal ni Mzee tayari
Huyu hapa Bilal karudi kwa Abu bakr baada ya Muhammad kufariki anamlilia Abu bakr amuachie huru
Bilal said to Abu Bakr, "If you have bought me for yourself then keep me (for yourself), but if you have bought me for Allah's Sake, then leave me for Allah's Work." -Sahih Bukhari 5:57:99
Si huwa mnasema hamna matabaka wala madhehebu kwa sababu kitabu kilishushwa kama kilivyo hakijatiwa mkono na mtu na kinahifadhiwa mioyoni mwa watu na tafsiri ni moja namna ya kusali ni moja sasa hayo matabaka ni ya wapi?Ndugu zangu,
Mtu anapotaka kujadili jambo lolote nI vyema akafanya utafiti kwanza.
Hao ni viongozi wa Ibadh na asili yao ni Oman.
Mfano mzuri ni huu wa Greek Othodox Church (Hellenic).
Kanisa lao lipo Ali Hassan Mwinyi Road.
Itashangaza kuuliza kwa nini katika kanisa lao hakuna Waingereza.
Kunywa maji ndugu umeongea kwa hisia sana 😂.kulikuwa na mfumo gani wa elimu kabla ya wakoloni? watu waliishi vipi? kulikuwa na mfumo wa maji safi, nyumba bora, usafiri wa haraka? umeme? mifumo ya sheria na utoaji haki?
kama haya maisha tunayaoishi unaona ni mabaya kuliko ya zamani, kwani wewe nani kakunyima kusihi maisha ya zamani? umelazimishwa kuwa na smartphone? umelazimishwa kuishi nyumba ya umeme? umelazimishwa kutumia usafiri wa gari? nenda porini huko ukaishi kama mababu zako walivyoishi wala hakuna mtu atakuzuia mzee
Atachukiaje asili yake?Muhammad alisema Kati ya watu Allah anawachukia ni watu weusi, bisha nilete ushahidi
Hakuna MTU yeyote hapa Tanganyika au Tanzania ambaye aliteremshwa moja kwa moja toka mbinguni !! Wote ni wahamiaji tu !! Kwanza tujiulize kwani binaadamu wa kwanza alianza anzaje hapa duniani ??!! Walikuwa wanazuka tu katika kila nchi au ilikuwaje hasa ??!!Halafu Wazungu wakimbagua Obama unalalamika
Wazee wote wa Tanzania wana asili ya nje ya Tanzania kasoro Mzee Ally Hassan Mwinyi
hata bin Mrisho ana asili ya Umanyema na ndio hilo jina limetokea
Kambarage kwa kina Kagame
Mkapa kwa kina Bakili Muluzi
JPM kwa kina Ntibantunganya
Usijifiche kwenye lugha , Bilal alinunuliwa na Abu ,tajiri ambae ndie alimpa zawadi muhammad Bilal , Yani binadamu mweusi Bilal alitolewa zawadi muhammad akamtumikisha mpaka kafa ndio Bilal akarudi kwa Abu kumuomba amuachie huruHujui English,soma vizuri,na kama hujui,tafuta msomi wa kiislamu,akueleweshwe,kupitia kwa lugha ya kiarabu.
Waarabu wa Shia, suni, bohara Ismail? Je hao Waarabu wanampenda Aisha mke mdogo wa mudi, au wanampenda imam au mudi mwenyewe ama dada yake mudi Fatima?Lutemi,
Huwezi kuwafurahia Waarabu kwa kuwa ni Waislam.
Haishangazi.
Umetosheka na Wazungu.
Aya si Maneno yangu ni Maneno ya allahLete maandiko,acha uongo.
Sidhani kama wanafundishia kwenye nyumba za ibada huko ulikokutaja. Kuna mambo ya kijamii na ya kiimani. Sa karate na imani ya Mungu wapi na wapi?Kwahiyo unataka kusema huko China Japan na Korea hakuna
amani kwa sababu ya karate na kung fu?