Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Issue ya Muhammad kuchukia watu weusi haikuishia kwa binadamu tu , mpaka viumbe wengine
apa anaamuru mbwa weusi wauawe anawachukia

Muhammad said: "If it were not that dogs were part of a nation among the nations, then I would order to that all of them be killed. So kill every one of them that is all black." Jami` at-Tirmidhi 1486
Usiruke ruke tuanze na suala la Bilal, kama nilivyo limaliza lile la mtu mweusi, kisha nakuja kulimaliza hili.
 
Mwarabu hawezi kukupa msaada au mbinu yoyote inayokuwezesha kuendelea yeye siku zote anataka mwafrika awe pagazi wake kama walivyofanya wakati wa biashara yao haramu ya utumwa.

Wanaogopa wakijenga shule watasoma wasio waislamu na wakijenga hospitali watatibiwa wengi wasio waislamu na kupelekea wao kupona wakati nia yao wangependa wote wasio waislamu wafe kama hawawezi kuwa waislam.
 
Cha msingi usipotoshe kumpa jina tofauti Bilal alikuwa mtumwa wa muhammad
Sasa mpotoshaji ni wewe, unasahau alivyokuwa mtuwa kutoka kwa Abuu Sufiyan alikombolewa na kuwa muungwana na Swahaba Abuu Bakri kama sijakosea.

Kijana huu Uislamu huwezi kuuchafua kwa kuandika ya uongo, mpaka unakufa.

Nimekuuliza Swahaba maana yake nini ? Nimekwambia Bilal alikuwa Swahaba weww ulivyo kuwa mjinga unasema alikuwa mtumwa. Nimekuuliza swahaba maana yake nini unaruka ruka.
 
Usiruke ruke tuanze na suala la Bilal, kama nilivyo limaliza lile la mtu mweusi, kisha nakuja kulimaliza hili.
Narukaje la Bilal nimeshamaliza , la mtu mweusi nilimaliza Allah kasema anachukia mtu mweusi na hakuishia hapo tu akasema wataenda motoni
 
Muhammad said: "If it were not that dogs were part of a nation among the nations, then I would order to that all of them be killed. So kill every one of them that is all black." Jami` at-Tirmidhi 1486
Sasa hizi habari za kuuliwa Mbwa weusi zinahusiana na nini katika mada au katika suala la ubaguzi ?

Kijana, nakudai mambo mawili :

1. Weka ushahidi ambao Mtume alimwambai Swahaba Bilal ana kichwa kama Tende, maana hili umelida wewe.

2. Onyesha ubaguzi ambao Mtume ameufanya katika uhai wake.
 
Narukaje la Bilal nimeshamaliza , la mtu mweusi nilimaliza Allah kasema anachukia mtu mweusi na hakuishia hapo tu akasema wataenda motoni
La Bilal hujamaliza sababu hujaweka ushahidi, la Mtu mweusi kadhalika nililimaliza kwa kuonyesha alikuwa anaongelewa mtu fulani mwenye sifa kadhaa, na hadithi ilitaja zaidi ya sifa mbili. Hadithi haijaonyesha ubaguzi wowote.

Ulivyo kuwa kilaza unakuja kuleta hadithi inayo ongelea kuuwa Mbwa, na ipo katika Mlango wa uwindaji. Sasa haoa utanyoosha maelezo.
 
Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.

Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.
Kwanini uyavunje? Nenda Ulaya uone makanisa yalivyogeuzwa marestautant na kwingine waislam wamegeuza misikiti.
Time will tell hata hiyo misikiti itakuja kuwa masoko na makanisa yatakuwa majumba ya disko. Vijana wanaofuata dini ni wale hawana kazi wanakaa nyumbani mwishowe wanafatwa kuhongwa dollar elfu 3 wajiunge boko haram au alshabab. Nani atakataa hizo pesa?

Hiki kizazi kilichozaliwa kwenye 40s mpaka60s kikiondoka au kuishiwa nguvu basi tutayasikia wale watakaokuwa hai.
 
Sasa mpotoshaji ni wewe, unasahau alivyokuwa mtuwa kutoka kwa Abuu Sufiyan alikombolewa na kuwa muungwana na Swahaba Abuu Bakri kama sijakosea.

Kijana huu Uislamu huwezi kuuchafua kwa kuandika ya uongo, mpaka unakufa.

Nimekuuliza Swahaba maana yake nini ? Nimekwambia Bilal alikuwa Swahaba weww ulivyo kuwa mjinga unasema alikuwa mtumwa. Nimekuuliza swahaba maana yake nini unaruka ruka.
Usipambe majina , sema kweli, Bilal alinunuliwa na Abu bakr tajiri wa enzi hizo huyu Abu bakr akamtoa Bilal zawadi kwa Muhammad awe mtumwa wake, bilal akawa anafuta muhammad kumtumikia popote anaenda , Muhammad kilivyo nuka akapewa sumu akafa , Bilal akarudi kwa Abu kumuomba amuachie awe huru , abu ndio akamuachia huru

nenda kasome ukianza kuweka kama sijakosea inamaana unabaatisha na una unga unga uongo
 
Fugo...
Nitasemea Uislam kwa kuwa ndiyo dini yangu.

Mimi babu zangu hawakulazimishwa kunga Uslam na kumuamini Mungu Mmoja.
Walingia Uislam kwa khiyari zao wenyewe na si kwa kuwa ni wajinga.


Sisi Waislam hatuna lugha hiyo yako ya kupiga vita dini.
Uzoefu unaonyesha kuwa wenye fikra hizi ukiwachunguza utawakuta ni Wakristo.

Hawa hujitoa katika Ukristo kwa sababu zao na kuanza kupiga vita dini na wakautia Uislam katika hizo chuki zao.

Kwa kawaida hawa watautukana Ukristo lakini sharti na lazima pia waubughudhi Uislam.

Huyu ndugu yetu atambue kuwa katiba ya Tanzani iko wazi kabisa kuhusu dini.

Ikiwa yeye hakuridhika na Ukristo ambayo ndiyo dini yake hana sababu ya kushambulia dini nyingine.
Kuabudu dini za watu weupe ni utumwa wa kiakili. Usisingizie kila kitu ni kupiga vita uislamu. Kwanza uislamu ni dini ya juzi tu hapa, copy and paste kutoka kwenye uyahudi na ukristo. Point ni kwamba waafrika tuna ujinga mwingi sana kudharau dini za mababu zetu. Kila race ina dini yake kasoro mtu mweusi
 
Wameshajenga shule ngapi za kusoma Watanzania wote?

Kwa karne ya sasa mgeni kutujengea nyumba ya ibada ni aibu, hakuna kitu kirahisi kama kujenga nyumba za ibada ni nguzo na kuta tuu, wenzetu walishaachana na hilo la kujengewa nyumba za ibada na wageni wanachanga wenyewe na wanafanikiwa.

Nchi yetu sio maskini mpaka kupewa msaada wa nyumba ya ibada, kwanza haina thawabu ni sawa sawa na mtu mwenye mikono miwili kuomba hela ya sadaka.

Tutumie sadaka zetu kujenga nyumba za ibada ni sio kujengewa na wageni,
Umenikumbusha mwaka 1991 walikuja wamisionari kutoka Ujeremani huko kwetu KLM,kijijini kabisa,wakakuta kuna bonge moja la nyumba ya ibada (Kanisa).
Wakauliza ni nani wametujengea,walipojibiwa ni nguvu ya waumini wenye bila ya mkono wa taasisi yoyote, walishangaa sana.
Halafu jirani kuna shule ya sekondari ya maana tu ya kanisa kwa hisani ya waumini hao hao.
 
Ulivyo kuwa kilaza unakuja kuleta hadithi inayo ongelea kuuwa Mbwa, na ipo katika Mlango wa uwindaji. Sasa haoa utanyoosha maelezo.
Ungekuwa unasoma maandiko yako ukilaza kwenye maandiko ungekutoka, mbwa mweusi muhammad alisema ni mashetani

“I asked the Muhammad (ﷺ) about the all-black dog and he said: ‘(It is) a devil.’”
 
Picha ni msisitizo ya kuwa wao ndiyo wameujenga huo msikiti
Sasa we naniii unataka uwepo kwenye picha wakati hata mchanga na cement hujachangia,
Jengeni wenu alafu mpige picha mjazaneee ma Black

Ova

Ali Mufuruki alijenga Msikiti mkubwa na mzuri Kunduchi hakuna Kiongozi aliyeenda kuufungua!
 
adriz JIBU hoja achana na ma dislike
Embu soma hapa UJIONE Unaenda Hell au Paradise utaenda wapi
Muhammad said: Allah created Adam when He had to create him and He struck his right shoulder and there emitted from it white offspring as if they were white ants. He struck his left shoulder and there emitted from it the black offspring as if they were charcoal. He then said (to those who had been emitted) from the right (shoulder): For Paradise and I do not mind. Then He said to those (who had been emitted) from his left shoulder: They are for Hell and I do not mind. Al-Tirmidhi Hadith - 38
 
Mzee Said, wewe unajitambulisha ni msomi, mimi ni Mkristo,natambua wazi kihistoria ambapo Ukristo katika baadhi ya sehemu ulienezwa kwa nguvu, na kwa mtu anaye fahamu historia ya uislamu tunajua wazi toka ndani ya Quran na historia jinsi dining hiyo ya Mtume ilivyoenezwa kwa nguvu.Hukatazwi kuitetea dini yako,but be objective Mzee wangu.
Hakuna dini imeenezwa kwa lazima na mapanga kama uislamu mpaka sasa bado wanaota ipo siku watapata nafasi ya kuieneza "sharia" kwa nguvu na damu..IS, Al Qaida, Al Shabaab nk
 
Uchokozi mwingine hauna mantiki yoyote, mufti wa waislamu yupo hapo, Rais wa nchi yupo hapo, tatizo liko wapi?

Hao Waarabu ndio waliotowa mpunga wao ndio wenye umuhimu na hiyo picha kutunza kwenye kumbukumbu za events zao ili tajiri anayefadhiri hizo movement aendelee kutowa mpunga zaidi.
Ni kweli kama wamechangia peke yao kwa 100% wanastahili kuwa wengi kwenye picha hiyo,japo siyo busara na waislam wa hapo weusi waone ni sawa tu kujengewa kila kitu wao wasishiriki hata kidogo.
Kwamba hata kuchangia nguvu kazi mshindwe. Sasa ownership iko wapi? Watautunza kweli? Inatakiwa mtu unashiriki kwa namna yeyote hata kwa kidogo ulichonacho na siyo kuwaachia waarabu peke yao.
Wakristo unaweza kupata mfadhili wa kukusaidia kujenga kanisa lakini lazima na wewe ushiriki kwa namna yoyote na kwa miaka hii hata hatuna mfadhili wa kukujengea kanisa hiyo itawahusu nyie wenyewe,wao labda kwenye shule au hospitali.
 
Kuabudu dini za watu weupe ni utumwa wa kiakili. Usisingizie kila kitu ni kupiga vita uislamu. Kwanza uislamu ni dini ya juzi tu hapa, copy and paste kutoka kwenye uyahudi na ukristo. Point ni kwamba waafrika tuna ujinga mwingi sana kudharau dini za mababu zetu. Kila race ina dini yake kasoro mtu mweusi
Last...
Hakuna tatizo una uhuru wa kuamini upendacho.
Hakuna haja ya sisi kubishana kwa ajili ya dini.
 
Back
Top Bottom