Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
UNaleta siasa mkuuKwa kuwa allahu hajui lugha nyingine zaidi ya kiarabu, basi hilo ni shurti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UNaleta siasa mkuuKwa kuwa allahu hajui lugha nyingine zaidi ya kiarabu, basi hilo ni shurti
“Jifunzeni Kiarabu na wafundisheni watu kwa sababu ni sehemu ya dini yenu.”
UNaleta siasa mkuu
Naam wapo wengi sana. Na wapo ambao hawajui Kiarabu lakini wanasioma Qur'an vizuri mno.
kuruani sio lugha,isipokuwa ukisoma vizuri kuruani kuelewa lugha ya kiarabu ni rahisi sana
Hapana hii inategemea. Madrasa zetu nyingi hazitilii mkazo katika kujifunza lugha ya Kiarabu. Zile ambazo zinafundisha Kiarabu hazifundishi kwa undani sana.
Ila ukitaka uijue Dini ya Kiislamu vizuri lazima usome Kiarabu na ukijue. Hii inataka muda na juhudi kubwa.
Qur'an ni muujiza ndio maana mtu yoyote ambaye hakijui Kiarabu anaweza kuihifadhi Qur'an na akaisoma kwa ufasaha, hata akiwa hajui maana yake. Kwa vitabu vingine hili ni muhali.
Yoda,Bado sijaelewa unatofautisha vipi Kiarabu na lugha iliyoandikwa quran,
si ndo siasa zenyewe hizo mkuu, kwa msingi huu unaosema wewe mtu yeyote akitukana kwa lugha tofauti na kiarabu hakuna tatizo maana haeleweki kama katukanaBro kama naleta siasa. Jifanye jeuri au jitoe ufahamu kwa kuswali swala 5 kwa lugha yako ya kiswahili au ya kabila lako.
Kwa hiyo kwenye kirani kuna mixer ya lugha?!Quran imeandikwa kiarabu ila kiarabu si Quran maandishi ya kiarabu yanatofautiana na ya kwenye Quran kwa kuwa huwa hayana irabu(aeiou) kwa hyo anaesoma Quran tupu hawez kusoma kiarabu unless amesoma kiarabu ama kwa lugha nyingine kiarabu kinasomwa kwa kujua maana na muundo wa maneno.
Hajaufunga mjadala, hapa tena inasemwa kuna waumini wengi tu wanajua surat au aya za quran lakini ukiwambiaa wakuelezee maana yake hawajui! Mimi siku zote nimekuwa nafikiri wale wanaohifadhi Quran wanaelewa kila wanachonukuu kumbe sivyo.Rudien kusoma post za Abdulrahman Said nadhan mjadala kaufunga.
Kiarabu ni lugha yetu sisi Waislamu na tunajivunia sana.
Sababu kama unataka kuijua dini ya Kiislamu vizuri ni lazima ujifunze lugha ya Kiarabu.
Lakini, kingine hakuna lugha ambayo imehudumiwa na kuhifadhiwa vizuri sana kuzidi lugha ya Kiarabu. Hapa tuweke mapenzi pembeni.
Kwa maana nyingine kiarabu cha kwenye Quran sio kiarabu cha mawasiliano kama lugha rasmi katika enzi hizi? Yani mfano watu wawili wakisoma Quran tu vizuri wakailewa bila kujifunza kiarabu cha nje ya Quran hawawezi kuzungumza kiarabu katika mazungumzo ya kawaida hata broken??Majibu yashatolewa kote unless tu hujasoma, Mkuu mngoni ametoa Majibu mazuri tu.
Quran inatokana na Fus'ha classical Arabic ya wakati huo, kama huyo sheikh alivyokwambia ila kuifanya iwe rahisi kusomeka na hata wasio kuwa waarabu yakatumika maandishi rahisi kuyasoma yakawekwa irabu na viashiria vingine kMa hapa uvute, hapa ukaze etc.
So ni rahisi kusoma Quran hata kama sio mwarabu, binafsi naweza kusoma Quran ila Kiarabu mpaka nikaze sana na maneno mengi yatanishinda.
Hili ni shairi la kiswahili ambalo lime tumia Lugha ya kiarabu cha kwenye Quran kuandika
View attachment 3168671
Unaona hivyo mistari vimepita juu na chini? Hizo ni irabu na alama nyengine kukusaidia kusoma,
Ila kiarabu chenyewe kinakua kama hivi
View attachment 3168673
So kiarabu cha Quran hata wewe ukipigwa msasa wiki tu unaweza kuanza kusoma, ila kiarabu chenyewe inabidi ukae darasani kujifunza.
Kiarabu ni lugha pana sana kuliko lugha zote duniani. Wanaweza na pia hawawezi.
Mfano mzuri ni Kiswahili, cha Zanzibar na cha Tanganyika kuna tofauti zake za matamdshi na hata maneno. Kiarabu ni vivyo hivyo kwa kila kinapotumika.
Mkuu unaona ni sawa kukariri tu bila kuelewa kilichoandikiwa ni nini??Hakuna tatizo kukariri Qur'an bila kuielewa
Ila ni mbora ambaye ameikariri Qur'an na kuielewa na kuifanyia kazi na kuifundisha
Kiarabu kama mtu anapojifunza lugha nyingine yoyote uelewa wa watu uko tofauti wengine wanazungumza kiufasaha zaidi wengine wanajitahidi
Ndio, japo kama wengine walivyo sema ukitaka kujua Quran/uisilamu in deep ni lazima kujua Kiarabu.Kwa maana nyingine kiarabu cha kwenye Quran sio kiarabu cha mawasiliano kama lugha rasmi katika enzi hizi? Yani mfano watu wawili wakisoma Quran tu vizuri wakailewa bila kujifunza kiarabu cha nje ya Quran hawawezi kuzungumza kiarabu katika mazungumzo ya kawaida hata broken??
Ninachofahamu mtu anayefahamu lugha classical inakuwa rahisi zaidi kuelewa version ya lugha ya kisasa/modern, kwa hiyo kama Quran inafundishwa katika classical Arabic ilipaswa kujua Modern Standard Arabic(MSA) iwe jambo rahisi zaidi kwa walioilewa quran.Unachotakiwa kufahamu! Lugha ya kiarabu ina lahaja nyingi kama Maghreb, hasaniyya, egyptian, syrian, na kadha wa kadha. MSA ni standardized version ya kiarabu hata natives wengi (isipokuwa wasomi) pia hawaongei ijapokuwa kwa kiasi flani mnaweza kuelewana, na ukienda nchi zinazozungumza kiarabu only wale educated ndo unakuta wanazungumza MSA.
Kuna classical arabic, msa na colloquial (hii sasa ndo inayozungumzwa na iko tofauti kulingana na eneo hapa ndo unakutana na hizo hassaniyya, maghrebi, egyptian etc).
Pale madrasa wengi hufundisha MSA (Modern Standard Arabic) ijapokuwa kwa namna flani ni rahisi kuelewa classical Arabic baada ya kusoma MSA and vice versa. Kusoma MSA haimaanishi kwamba wewe utakuwa rahisi kwako kuwasiliana na native Arabic speaker, kwasababu utkuwa na misamiati anatumia huijuwi na halikadhalika kuna misamiati unatumia yeye haijuwi