Kitu ambacho wakristo wengi hawaelewi.
Busara ya kuacha Qur-an katika lugha yake ya asili ni kuepuka maandiko kupotea, huwezi kufasiri exactly kitu kutoka kwenye lugha moja kwenda kwenye lugha nyingine lazima kuna maana itapotea. Na ndio mana hata Qur-an imebaki kwenye classical Arabic ambayo hakuna anayezungumza kwa sasaivi! Kama ilivyokuwa old English au latin. Ingekuwa rahisi basi ungeona Qur-an imeshafasiriwa kwenda kwenye Modern Standard Arabic lakini la hasha, huwezi kukuta hiko kitu. Eti Qur-an ya kiswahili, au kihaya NEVER. Mwenyezimungu aliapa kukilinda hiki kitabu kitakatifu na kitabaki kama kilivyoshushwa haijalishi itapita miaka mingapi
saivi ukijaribu kuifasiri Qur-an kutoka kwenye classical arabic (lugha iliyokomaa kimsamiati) ukaleta kwenye kiswahili bila kupoteza maana! Haiwezekani
Na hii ndiyo inayofanya bible kupoteza muundo wake kadiri miaka inavyoenda (No hard feelings) hata sisi waislamu tunaamini katika Zaburi, Injili na torati lakini sio hii iliyopinduliwa pinduliwa!