Waislamu Waafrika waliosoma madrasa wanaweza kuongea lugha ya kiarabu kwa ufasaha na weledi?

Waislamu Waafrika waliosoma madrasa wanaweza kuongea lugha ya kiarabu kwa ufasaha na weledi?

Mbona mnarudia rudia maswali tumeshawajibu mtu anaweza akajua Quran na tafsiri yake ila asielewe kiarabu sio dhambi na haimuondolei chochote kwenye dini ila wale wanaobobea kwenye kiarabu wana X factor kwenye kutafsiri maneno mengi kwenye Quran, Quran imeshushwa kwa kiarabu ila kiarabu si Quran ni lugha pana zaidi.
Imeshushwa
Imeshushwa
Imeshushwa

Hivi mkuu huwa mnapata wapi ujasiri wa kusema hilo neno kwenye majukwaa ambayo yamejaa watu wenye utimamu na wanoishi kwa misingi ya logic.

Avoid that shit
It makes you look dumb bro!
 
Vijana waswahili wa Kibongo ambao hushiriki katika mashindano ya kuhifadhi Quran wote huwa wanaelewa tafsiri au maana ya surat na aya za Quran walizohifadhi??
Wengi hawaijui.
 
Imeshushwa
Imeshushwa
Imeshushwa

Hivi mkuu huwa mnapata wapi ujasiri wa kusema hilo neno kwenye majukwaa ambayo yamejaa watu wenye utimamu na wanoishi kwa misingi ya logic.

Avoid that shit
It makes you look dumb bro!
Nashangaa, kingekuja kitabu au aya zimeandikwa kabisa ndio tungesema imeshushwa.
 
Huu ujinga ni mzigo mzito kwako, mimi najifunza imani ya kiislamu bila kujuwa kiarabu, nasoma aya za Quran kwa kiswahili na nimefaidika na mafundisho mengi mazuri yaliyopo kwenye kitabu ch Qur'an.

Utang'ang'ania vipi kujifunza kitu kwa lugha usiyoijuwa? Ina Mungu hatambui lugha ya kiswahili?

Tunakoenda mtakwenda msikitini na mtaswali kwa kiswahili hapo ndio mtaanza kuwavutia vijana wa kiislamu kwenda kuswali na kuipenda dini yao, lakini mkiendeleza huu utumwa wa lugha ya Waarabu Uislamu hauna nafasi kwa vijana wa kizazi kipya wenye uwezo wa kutumia app zao kupata wanachotaka.

Ni vizuri kama unajifunza dini ya kiislamu, endelea kujifunza ndugu yangu. kuna vitu utavijua kama una nia ya kujifunza kweli.
Ila kama ni maneno tu basi huo msikiti wa kuswalisha kwa kiswahili utakuwa wa kwako tu ndugu... huku kwetu hakuna maagizo ya watu kama huko kwenu. Na hii ndio tofauti kubwa kati ya uislamu na ukristo.
 
Nimejaribu kufatilia huu mjadala toka mwanzo sijaona jibu la mwislamu yeyote kutoa jibu fasaha kuhusu lugha iliyoandikwa kwenye korani inaonekana wengi wenu ni wale fata mkumbo au umezaliwa ktk familia ya kiislamu lakini ukuwai kudadisi masuala ya dini yako uliyoirithi toka kwa wazazi wako.
Nilijaribu kuwauliza marafiki zangu waisalamu kwenye kijiwe cha kahawa .
Kuna ustaadh mmoja hivi anajua sana masuala ya dini anatokea msikiti maarufu kwa jina la ngamia mburahati.
Alinijibu kwamba Korani imeandikwa kwa kutumia lugha ambayo ipo ktk jamii fulani kwenye kijiji na hadi leo hii hiyo jamii hipo na wanazungumza hiyo lugha, tufanye hapa wangechukua mfano lugha ya( kizanaki) ingetumbukizwa kwenye korani ingekosa irabu a,ei,o,u
Nafikiri Saudi Arabia yote wanazungumza Kiarabu, lugha itakuwa ni hiyo hiyo ya Kiarabu labda lahaja/dialects tofauti, ni kama vile Mswahili wa Mombasa au Zanzibar akiongea kuna maneno yanaweza kukupita kushoto ukahitaji ufafanuzi zaidi kuelewa.
 
Nimejaribu kufatilia huu mjadala toka mwanzo sijaona jibu la mwislamu yeyote kutoa jibu fasaha kuhusu lugha iliyoandikwa kwenye korani inaonekana wengi wenu ni wale fata mkumbo au umezaliwa ktk familia ya kiislamu lakini ukuwai kudadisi masuala ya dini yako uliyoirithi toka kwa wazazi wako.
Nilijaribu kuwauliza marafiki zangu waisalamu kwenye kijiwe cha kahawa .
Kuna ustaadh mmoja hivi anajua sana masuala ya dini anatokea msikiti maarufu kwa jina la ngamia mburahati.
Alinijibu kwamba Korani imeandikwa kwa kutumia lugha ambayo ipo ktk jamii fulani kwenye kijiji na hadi leo hii hiyo jamii hipo na wanazungumza hiyo lugha, tufanye hapa wangechukua mfano lugha ya( kizanaki) ingetumbukizwa kwenye korani ingekosa irabu a,ei,o,u
endelea kunywa kahawa hapo kijiweni kwenu mambo ya waislamu tuachieni wenyewe hayawahusu
 
Nashangaa sana wakristo wa JF, wengi wenu mnajidai kuuliza mambo ya waislamu sio kwa nia ya kujifunza bali ni kwa nia ya kukebehi tu..
ingelikuwa unauliza kwa nia ya kujifunza ungesikiliza unayoambiwa na waislamu uliowauliza. Lakini unauliza jambo ili ufahamishwe na kisha wewe mweyewe unaanza kubisha na kukebehi basi hapo inaonyesha wala mtu hakuuliza kwa nia ya kujifunza.

TUNAWAOMBA WAKRISTO ANGALIENI MAMBO YA DINI YENU, ACHANENI NA WAISLAMU NA DINI YAO HAIWAHUSU
 
Imeshushwa
Imeshushwa
Imeshushwa

Hivi mkuu huwa mnapata wapi ujasiri wa kusema hilo neno kwenye majukwaa ambayo yamejaa watu wenye utimamu na wanoishi kwa misingi ya logic.

Avoid that shit
It makes you look dumb bro!
Ok Leonardo Da Vinci you are the smartest guy alive,any relief ?
 
Nashangaa, kingekuja kitabu au aya zimeandikwa kabisa ndio tungesema imeshushwa.
Hahaha
Kuna mda nashindwa kuvumilia nasema hebu ngoja niangalie na avatar ya huyu mtu je inafanania na huu upumbavu anao andika?

Kinacholeta utata ni mtu huyo huyo kushutumu wezie kuita wapumbavu hawana hoja?

Upande wa pili anatuletea hoja za kitabu kilishushwa.
 
Hivi ukiwa muislamu uliyesoma dini madrasa automatically unakuwa na uwezo wa kuzungumza Kiarabu kwa ufasaha na weledi? Unaweza kufika uarabuni mkazungumza na mwarabu mkaelewana vizuri au huwa cha kuzungumza nje ya dini ni cha kuombea maji ya kunywa tu?
Huwa naona wengi wanaweza kunukuu Quran kwa kiarabu na pia hata katika kuswali kinatumika kiarabu.
Waafrika wanaofuata uislamu hawawezi kuzungumza kiarabu kwa ufasaha. Wamekariri tu aya za kurani na maana za baadhi ya hayo waliyokariri.. hawajui mengi.

Hata wanaposwali na imamu kufanya reference kwa aya fulani kwa kiarabu, unakuta wengi hawajui hata huyo imamu anaongelea nini, mpaka atakapotafsiri kwa Kiswahili (ndiyo maana maimamu hawaishi kutafsiri, wanajua majitu yamekaa hapo mbele yao hayajui hicho kiarabu ingawa walisoma madrasa).

Hata maimamu wengi wanajua maneno na phrases za kiarabu walizokariri tu, mpeleke kwenye mazungumzo ya kawaida kwa kiarabu uone atakavyokodoa mimacho tu.

Mwisho, dini za kuja ni utumwa tu wa kitamaduni.
 
Wakiristo waliosoma Magomeni Mwakinya St Joseph secondary school wakienda ulaya wanaongea kidhungu? Au ndio hello hello
Mkuu unadhihaki basi tu ila deep inside unajua wazi kabisa Mkristo aliyesoma Kingereza Biblia anasoma vizuri tu na hata lugha anaongea na kuelewa japo sio kwa asilimia mia ila mawasiliamo yanafanyika vizuri.

Fanya homework mtafute Muislamu aliyesoma Kingereza mpe Bible uone kama atashindwa kusoma na kuelewa. Akimaliza mpe gazeti la kiarabu halafu leta mrejesho.
 
Nashangaa sana wakristo wa JF, wengi wenu mnajidai kuuliza mambo ya waislamu sio kwa nia ya kujifunza bali ni kwa nia ya kukebehi tu..
ingelikuwa unauliza kwa nia ya kujifunza ungesikiliza unayoambiwa na waislamu uliowauliza. Lakini unauliza jambo ili ufahamishwe na kisha wewe mweyewe unaanza kubisha na kukebehi basi hapo inaonyesha wala mtu hakuuliza kwa nia ya kujifunza.

TUNAWAOMBA WAKRISTO ANGALIENI MAMBO YA DINI YENU, ACHANENI NA WAISLAMU NA DINI YAO HAIWAHUSU
Kejeli zipo hata kwenye buddhism huko, kikubwa majibu sahihi,
 
Hapa ndio hua wananichanganya kwamba kuran imeandikwa kwakiarabu ila kiarabu ni lugha tofaut na kuran, yan unaweza kuijua koran nzima kuisoma nakuitafsiri ila ukashindwa kukijua kiarabu
Ndio maana kuna shindano la Kuhifadhi Quruan sio kuelewa Quruan.

Wajuzi wataniprove wrong.
 
Nashangaa sana wakristo wa JF, wengi wenu mnajidai kuuliza mambo ya waislamu sio kwa nia ya kujifunza bali ni kwa nia ya kukebehi tu..
ingelikuwa unauliza kwa nia ya kujifunza ungesikiliza unayoambiwa na waislamu uliowauliza. Lakini unauliza jambo ili ufahamishwe na kisha wewe mweyewe unaanza kubisha na kukebehi basi hapo inaonyesha wala mtu hakuuliza kwa nia ya kujifunza.

TUNAWAOMBA WAKRISTO ANGALIENI MAMBO YA DINI YENU, ACHANENI NA WAISLAMU NA DINI YAO HAIWAHUSU
Huna hatimiliki na dini na pia hapa sio msikitini au kanisani kwamba kila kinachosemwa na muumini wa dini husika ndivyo kilivyo hakiwezi kuhojiwa zaidi au kuonekana hakina mashiko.
 
Mkuu unadhihaki basi tu ila deep inside unajua wazi kabisa Mkristo aliyesoma Kingereza Biblia anasoma vizuri tu na hata lugha anaongea na kuelewa japo sio kwa asilimia mia ila mawasiliamo yanafanyika vizuri.

Fanya homework mtafute Muislamu aliyesoma Kingereza mpe Bible uone kama atashindwa kusoma na kuelewa. Akimaliza mpe gazeti la kiarabu halafu leta mrejesho.
Sijajua aliyeleta haya mambo ya kukariri Quran aliyatoa wapi. Quran yenyewe inasema Quran ni muongozo , mzisome aya na kuzielewe maana yake. Lakini watu hiyo aya hawaifuati.
 
Ndio maana kuna shindano la Kuhifadhi Quruan sio kuelewa Quruan.

Wajuzi wataniprove wrong.
Hayo mashindano hayana maana yoyote ikiwa wanaoshindana na wanaoandaa , na wanaohudhiria mashindano hawaelewi maana. Nguvu nyingi ingetumika kuwafundisha waislam waielewe Quran na waitumie kama muongozo wa dini
 
Back
Top Bottom