Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ndio Maana yake.Kwamba kuna watu wanajua Kiarabu fasaha lakini hawawezi kusoma na kuelewa Quran?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Maana yake.Kwamba kuna watu wanajua Kiarabu fasaha lakini hawawezi kusoma na kuelewa Quran?!
Hii ingesaidia sana kama kungekuwa na juhudi za kufundisha kwa lugha za wenyeji na sio kukariri. Asilimia kubwa ya waislam hawajui content ya Quran sababu wamekaririshwa badala ya kusoma nankuelewa.Na hii ndio tofauti ya QURAN NA BIBLIA, Quran imebaki kama ilivyo kwa miaka 1400 na mpaka sasa dunia nzima tuna Quran moja tu. Na ndio maana utaona mashindano ya kusoma Quran yanafanyika Tanzania yanahusisha nchi 40 ambazo hizo nchi zinaongea lugha tofauti. Lakini inapofika kwenye Quran tunayo moja tu dunia nzima.
Lakini kwa wenzetu wakristo wao wana bible zaidi ya 6000 duniani kote, ukiachilia mbali utofauti wa lugha kwa maana kila bible ipo kwenye lugha yake, lakini pia ndani ya lugha moja kuna bible tofauti tofauti kila dhehebu lina bible yao. Hata bible za kiswahili tu zimetofautiana za wasabato zikiwa tofauti na za wakatoliki na walutheri. Na ndio mana kamwe huwezi kuona Wakristo wakifanya mashindano ya kuhifadhi bible kwa sababu kila mtu ana bible yake kwa version yake na kwa lugha yake..
Kwa waislamu hata wakiwa madhehebu tofauti lakini Quran yao ni moja tu popote duniani.
Mbona mnarudia rudia maswali tumeshawajibu mtu anaweza akajua Quran na tafsiri yake ila asielewe kiarabu sio dhambi na haimuondolei chochote kwenye dini ila wale wanaobobea kwenye kiarabu wana X factor kwenye kutafsiri maneno mengi kwenye Quran, Quran imeshushwa kwa kiarabu ila kiarabu si Quran ni lugha pana zaidi.Kwamba anakuwa amekariri tu surat ila haijui tafsiri au maana yake?!
Ila wengi huwa naona wakinukuu aya ya Quran wanatoa na tafsiri yake kwa Kiswahili.
Vijana waswahili wa Kibongo ambao hushiriki katika mashindano ya kuhifadhi Quran wote huwa wanaelewa tafsiri au maana ya surat na aya za Quran walizohifadhi??Na hii ndio tofauti ya QURAN NA BIBLIA, Quran imebaki kama ilivyo kwa miaka 1400 na mpaka sasa dunia nzima tuna Quran moja tu. Na ndio maana utaona mashindano ya kusoma Quran yanafanyika Tanzania yanahusisha nchi 40 ambazo hizo nchi zinaongea lugha tofauti. Lakini inapofika kwenye Quran tunayo moja tu dunia nzima.
Lakini kwa wenzetu wakristo wao wana bible zaidi ya 6000 duniani kote, ukiachilia mbali utofauti wa lugha kwa maana kila bible ipo kwenye lugha yake, lakini pia ndani ya lugha moja kuna bible tofauti tofauti kila dhehebu lina bible yao. Hata bible za kiswahili tu zimetofautiana za wasabato zikiwa tofauti na za wakatoliki na walutheri. Na ndio mana kamwe huwezi kuona Wakristo wakifanya mashindano ya kuhifadhi bible kwa sababu kila mtu ana bible yake kwa version yake na kwa lugha yake..
Kwa waislamu hata wakiwa madhehebu tofauti lakini Quran yao ni moja tu popote duniani.
Ukiukiza inabidi ujibiwe, kwa ueleo wanguHivi ukiwa muislamu uliyesoma dini madrasa automatically unakuwa na uwezo wa kuzungumza Kiarabu kwa ufasaha na weledi? Unaweza kufika uarabuni mkazungumza na mwarabu mkaelewana vizuri au huwa cha kuzungumza nje ya dini ni cha kuombea maji ya kunywa tu?
Huwa naona wengi wanaweza kunukuu Quran kwa kiarabu na pia hata katika kuswali kinatumika kiarabu.
Hapana ndugu yangu Somo la Quruani linajitegemea ni kiarabu kinajitegemea ingawa maneno yanaingiliana tena yanaingiliana na kiswahiliMkuu, huko Madrasa watoto wanafundishwa kwa mfumo wa lugha kama zilivyo lugha nyingine. Kwa maana ya kwamba a b c d & a e i o u.
Wanafundishwa vyema kabisa, ndio maana mwanafunzi bora anayezingatia mafunzo ana uwezo wa kukifahamu Kiarabu kwa ufasaha.
Hiyo ya kukaririshwa unasema wewe umahiri wa kufasiri na kukariri Quran hauwezi kuwa sawa kwa wote ila Quran za tafsiri za kiswahili zipo vp useme mtu anakaririshwa haelewiHii ingesaidia sana kama kungekuwa na juhudi za kufundisha kwa lugha za wenyeji na sio kukariri. Asilimia kubwa ya waislam hawajui content ya Quran sababu wamekaririshwa badala ya kusoma nankuelewa.
Hii inatoa Elimu ya Kikristo kwa Kiingereza? Maana hapa sijaona logic (if you know the meaning of Logic)Wakiristo waliosoma Magomeni Mwakinya St Joseph secondary school wakienda ulaya wanaongea kidhungu? Au ndio hello hello
Sifahamu sana lakini nadhani kutakua na utofauti lugha zina badilika kidogo lakini Qursn imebaki vilivile lakini hatokua sawa na asiyefahamu kabisa kiarabuSwali, Biblia ya Wakristo wa Uarabuni imeandikwa kwa kiarabu, sasa kwa nini Wakristo wa Uarabuni hawajui kusoma Qur'an na imeandikwa Kiarabu?
Swali, Biblia ya Wakristo wa Uarabuni imeandikwa kwa kiarabu, sasa kwa nini Wakristo wa Uarabuni hawajui kusoma Qur'an na imeandikwa Kiarabu?
Ukwali lazima usemwe. Hata mimi nilikaririshwa nikiwa mdogo na mpaka leo mengi niliyokarurishwa siyajui. Waulize waislamu wengi hata maana ya ile aya ya kwanza wanaijua?Hiyo ya kukaririshwa unasema wewe umahiri wa kufasiri na kukariri Quran hauwezi kuwa sawa kwa wote ila Quran za tafsiri za kiswahili zipo vp useme mtu anakaririshwa haelewi
Mkuu hoja ya kukariri, inahitaji busara kuijadili ni tatizo ambalo lipo, nikupe challenge ya kulibaini?Hiyo ya kukaririshwa unasema wewe umahiri wa kufasiri na kukariri Quran hauwezi kuwa sawa kwa wote ila Quran za tafsiri za kiswahili zipo vp useme mtu anakaririshwa haelewi
Quran iko waziwazi, sidhani kama mtu anaweza kujui kuisoma kwa kiarabu na asielewe maana. Wengi wamekariri tu maana hawajui lugha.Wanajuwa kuisoma, kuielewa ndio wanaweza wasielewe.
. Hilo ni hata kwa Waarabu wasio wakristo.
Qur'an imeshushwa ili iwe mwongozo kwa watu wote.
Hii ingesaidia sana kama kungekuwa na juhudi za kufundisha kwa lugha za wenyeji na sio kukariri. Asilimia kubwa ya waislam hawajui content ya Quran sababu wamekaririshwa badala ya kusoma nankuelewa.
Mfia dini hawezi kukuelewa, mimi secondary school niliachana na science kwa sababu ya kukariri shule haina hata maabara, unasoma kitu unakalili hujui hata kinafananaje.Mkuu hoja ya kukariri, inahitaji busara kuijadili ni tatizo ambalo lipo, nikupe challenge ya kulibaini?
Mimi nikiona muislamu anapinga hoja ya kukariri au hata kufanyq kama ilo tatizo hakuna kabisa hua nashangaa sana ,najiuliza anaishi ulimwengu ganiMfia dini hawezi kukuelewa, mimi secondary school niliachana na science kwa sababu ya kukariri shule haina hata maabara, unasoma kitu unakalili hujui hata kinafananaje.
The same na madrasa wengi wanakaririshwa tu.
Huu ujinga ni mzigo mzito kwako, mimi najifunza imani ya kiislamu bila kujuwa kiarabu, nasoma aya za Quran kwa kiswahili na nimefaidika na mafundisho mengi mazuri yaliyopo kwenye kitabu ch Qur'an.asilimia kubwa ya waislamu wa wapi ndugu sio unazungumza kwa unavyohisi wewe, vema uwe na facts..
Kijana akianza kujifunza kiingereza akiwa darasa la tatu akifika form two au form four akisoma kitabu cha kingereza anaelewa isipokuwa kuna maneno yatamshinda kuelewa hadi uchukue kamusi..
Ndio hivyo hivyo kwenye kiarabu. Mimi sijakariri (kuhifadhi kwa kichwa) Quran lakini nikiisoma naelewa ninachosoma isipokuwa sehemu chache ndio sielewi mpaka nisome tafsiri ya kiswahili.
Hebu acheni mambo ya kuhisihisi kuhusu dini yetu, sisi wenyewe tunajua tunachofanya.,..