Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Kwani bible ilikuja na kiswahili au english?Kwanini Quran ishushwe imeandikwa kiarabu?
Basi, hata huko mbinguni watakuwa wanazungumza kiarabu pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani bible ilikuja na kiswahili au english?Kwanini Quran ishushwe imeandikwa kiarabu?
Basi, hata huko mbinguni watakuwa wanazungumza kiarabu pia
Yani wewe mmatumbi huoni aibu kusema kiarabu ni lugha yako? Huu ni utumwa wa kiakili wa viwango vya juu sana.Kweli mku, nakuunga mkono tena aibu kubwa kwa waislam wa sasa, hatusomi Kiarabu wengine tunasoma lugha za makafiri badala ya kujifunza lugha yetu. Ijapokuwa kujifunza lugha ya makafiri sio dhambi lkn vijana wengi wa kiislamu wamejikita huko
Sidhani kama kuna mtu anaweza kusoma na kuielewa biblia ya Kingereza halafu hawezi kuzungumza Kingereza. Lakini pia Watanzania wengi wanaweza kusoma, kusikiliza na kuelewa vizuri sana Kingereza ila kuongea wanaongea broken.Nageuza swali.Hivi kuna mkristu anayejua kusoma biblia ya kiingereza na kuielewa halafu hawezi kuzungumza kiingereza?🤔
Basi,nataka hata sisi waislamu wa Tanzania tuongee kiarabu broken ili tuwafunge midomo mahasidi.Sidhani kama kuna mtu anaweza kusoma na kuielewa biblia ya Kingereza halafu hawezi kuzungumza Kingereza. Lakini pia Watanzania wengi wanaweza kusoma, kusikiliza na kuelewa vizuri sana Kingereza ila kuongea wanaongea broken.
MKuu taja mfano mmoja wa lugha ya makafiri?Kweli mku, nakuunga mkono tena aibu kubwa kwa waislam wa sasa, hatusomi Kiarabu wengine tunasoma lugha za makafiri badala ya kujifunza lugha yetu. Ijapokuwa kujifunza lugha ya makafiri sio dhambi lkn vijana wengi wa kiislamu wamejikita huko
Yani wewe mmatumbi huoni aibu kusema kiarabu ni lugha yako? Huu ni utumwa wa kiakili wa viwango vya juu sana.
ni kichina bwanaKiarabu ni lugha pana sana kuliko lugha zote duniani. Wanaweza na pia hawawezi.
Mfano mzuri ni Kiswahili, cha Zanzibar na cha Tanganyika kuna tofauti zake za matamdshi na hata maneno. Kiarabu ni vivyo hivyo kwa kila kinapotumika.
Ukitoa kiarabu,nyingine zote ni za makafir.MKuu taja mfano mooja wa lugha ya makafiri?
Aliyesoma Physics na Chemistry wanaweza kwenda nchi yeyote inayo ongea Kingereza na wakawasiliana though hawawezi kua fluently but again, wale hawasomei lugha, tofauti na madrasa, madrasa wanafundisha Kiarabu while wale wa Physics na Chemistry wanajifunza hayo masomo; bahati nzuri mimi ni miongoni mwa watu tulio bahatika kusoma Physics, hilo somo limejaa alama/symbols nyingi sana, sawa tu na pure mathematics na hi ndio inasababisha Wana sayansi wengi Tanzania wasiweze kuongea vizuri lugha hiyo thoughstill wanaweza kuwasiliana. Je na madrasa mnafundishwaga symbols?Wapo wanaoweza na wapo hawawezi. Sawa na mkiristo aliesoma phy na Chem kwa kiengerza lkn hakijui kiengereza
Surat Maryam 19,Kafiri yule aleikuna uislam.
Kila kitu kinachohusu kiarabu/waarabu ni kikubwa sana.Kalaga baho!ni kichina bwana
MKuu taja mfano mmoja wa lugha ya makafiri?
Naam, nitajie mbili tu, kuna swali nataka kuuliza baada ya kuzifahamu, alafu ntapima jibu lako mkuuHuzijui?
Nasubiri jibu lakeUkitoa kiarabu,nyingine zote ni za makafir.
NB;Usipotumia akili kuitaita watu makafir utajikuta na wewe upo kundi hilohilo.
Tupo upenuni mwa nyumba tunajadili tukujibu nini uridhike!Nasubiri jibu lake
"Na hapana yeyote miongoni mwenu ila ataifikia (Moto wa Jahannam); hilo ni jambo lililokadiriwa na Bwana wako, ni lazima."Surat Maryam 19,
Ayah: 71 ... Na hakuna katika nyinyi, enyi watu, yoyote isipokuwa ataufikia huo Moto kwa kupita juu Ṣirāṭ (Njia) iliyotandikwa juu ya daraja la moto wa Jahanamu, ..
SKiswahili na lugha zetu za asili kama Kisukuma, Kizaramo,Kichaga n.k nazo ni lugha mojawapo za makafiri??
Swali, Biblia ya Wakristo wa Uarabuni imeandikwa kwa kiarabu, sasa kwa nini Wakristo wa Uarabuni hawajui kusoma Qur'an na imeandikwa Kiarabu?Hii comment yako ina hoja lakini pia inaupotoshi. Hakhna sehemu au mtu sliyewahi kusema waislamu wasipoomba kwa kiarabu maombi yao hayaendi, hii ni misinformation mkuu. Suala la lugha ya kiarabu katika uislamu wataalamu wanaweza lizungumzia vizuri.
Kwenye comparison ya ukristo na uislamu mimi huko sitaingia mada ya mtoa mada imejikita kwenye uisalamu na kiarabu mimi ntajikita huko.
Mahubiri au mafundisho au maombi hata waislamu wanapiga kwa local languages zao vizuri tu
Hoja hapa kubwa ni kiarabu na waisalamu wasiotoka kwenye arab speaking countries solution ni kusoma kiarabu ili kuleta ulewa mkubwa katika imani. Ambayo itapelekea kuondoa mambo ya kukariri uliyoyasema, kwa sababu hii changamoto ya kukariri ni fact