Waislamu Waafrika waliosoma madrasa wanaweza kuongea lugha ya kiarabu kwa ufasaha na weledi?

Waislamu Waafrika waliosoma madrasa wanaweza kuongea lugha ya kiarabu kwa ufasaha na weledi?

Usianze kuleta hizo pigo za kuita wengine makafiri, kuwa muungwana na mstaarabu kidogo.
Katika muktadha wa Kiislamu, neno "kafiri" linatumiwa kumaanisha mtu ambaye anakataa au anapinga imani ya Uislamu. Kifasili, "kafiri" ni mtu ambaye amekataa ukweli wa dini ya Kiislamu, ikiwa ni pamoja na kutokubali kuwa Mungu ni mmoja, na kwamba Muhammad (S.A.W.) ni mtume wake wa mwisho. Hii ni hali ya kuwa na ukafiri, ambayo ni kinyume cha imani ya Kiislamu.
 
“Jifunzeni Kiarabu na wafundisheni watu kwa sababu ni sehemu ya dini yenu.”
Nijuavyo vitabu vya dini na lugha haina uhusiano. Kuna wakristo wanaongea kiarabu sana na kuna waarabu wanaongea kiingereza sana. Kama nchi litawaliwa na waingereza waarabu wa nchi hiyo walijua kiingereza pia. Na kama mkristo aliishi Uarabuni alijua kiarabu pia.
 
Kweli, unaweza kujua Kiarabu ussijue Quran
Nijuavyo vitabu vya dini na lugha haina uhusiano. Kuna wakristo wanaongea kiarabu sana na kuna waarabu wanaongea kiingereza sana. Kama nchi litawaliwa na waingereza waarabu wa nchi hiyo walijua kiingereza pia. Na kama mkristo aliishi Uarabuni alijua kiarabu pia.
 
Wakristo hata wanapo mwomba Mungu wao, kila mtu atamuomba Mungu wake kwa lugha ambayo yeye yupo comfortable, uwe pekee yako au kwenye jumuia; makanisa kama AIC kwa kule kanda ya Ziwa, wahubiri wa kule wanahubiri hadi Kisukuma, Waha kule Kigoma as well. Kwenye Ukristo lugha sio shida, Mungu wao anawasikia watu wake kwa lugha yoyote tofauti na Uislam ambao unalazimisha watoto wajifunze kwanza Kiarabu ambacho kimsingi hata huaga hawaelewi, wanakariri tu.
Hii comment yako ina hoja lakini pia inaupotoshi. Hakhna sehemu au mtu sliyewahi kusema waislamu wasipoomba kwa kiarabu maombi yao hayaendi, hii ni misinformation mkuu. Suala la lugha ya kiarabu katika uislamu wataalamu wanaweza lizungumzia vizuri.

Kwenye comparison ya ukristo na uislamu mimi huko sitaingia mada ya mtoa mada imejikita kwenye uisalamu na kiarabu mimi ntajikita huko.

Mahubiri au mafundisho au maombi hata waislamu wanapiga kwa local languages zao vizuri tu

Hoja hapa kubwa ni kiarabu na waisalamu wasiotoka kwenye arab speaking countries solution ni kusoma kiarabu ili kuleta ulewa mkubwa katika imani. Ambayo itapelekea kuondoa mambo ya kukariri uliyoyasema, kwa sababu hii changamoto ya kukariri ni fact
 
Je kuna umuhimu wa kufahamu kiarabu?

Kama unalengo la kuujua Uislam vizuri, itakuwa vyema ukijifunza Kiarabu
Uislam uliletwa kwa lugha ya kiarabu hivyo ukiijua Kiarabu inamaana utasoma original version ya Quran.

Naamini unafaham kuwa tafsiri huweza kubadilisha baadhi ya maana kwasabu Lugha nyingi duniani zina msamiti mdogo hivyo haziwezi kutafsiri kila kitu....
 
OK, achana na kujichanganya kwangu, jibu swali; kijana aliyesoma madrasa na akaiva, anaweza kwenda Uarabuni na akaongea Kiarabu vizuri? Or, wewe kama bwana Malaria, unaweza kutumia simu yako hiyo ikiwa kwenye lugha ya Kiarabu?
Wapo wanaoweza na wapo hawawezi. Sawa na mkiristo aliesoma phy na Chem kwa kiengerza lkn hakijui kiengereza
 
Kama unalengo la kuujua Uislam vizuri, itakuwa vyema ukijifunza Kiarabu
Uislam uliletwa kwa lugha ya kiarabu hivyo ukiijua Kiarabu inamaana utasoma original version ya Quran.

Naamini unafaham kuwa tafsiri huweza kubadilisha baadhi ya maana kwasabu Lugha nyingi duniani zina msamiti mdogo hivyo haziwezi kutafsiri kila kitu....
Nageuza swali.Hivi kuna mkristu anayejua kusoma biblia ya kiingereza na kuielewa halafu hawezi kuzungumza kiingereza?🤔
 
Kama unalengo la kuujua Uislam vizuri, itakuwa vyema ukijifunza Kiarabu
Uislam uliletwa kwa lugha ya kiarabu hivyo ukiijua Kiarabu inamaana utasoma original version ya Quran.

Naamini unafaham kuwa tafsiri huweza kubadilisha baadhi ya maana kwasabu Lugha nyingi duniani zina msamiti mdogo hivyo haziwezi kutafsiri kila kitu....
Naam, naunga mkono hoja mkuu
Mimi ningekua mufti ningepitisha azimio la watu waanze soma lugha kwanza
 
Kiarabu ni lugha pana sana kuliko lugha zote duniani. Wanaweza na pia hawawezi.

Mfano mzuri ni Kiswahili, cha Zanzibar na cha Tanganyika kuna tofauti zake za matamdshi na hata maneno. Kiarabu ni vivyo hivyo kwa kila kinapotumika.
Sister unachanganya mambo mama; kwani Mzanzabari na Mbara hawawezi kuwasiliana kwa Kiswahili hadi waende darasani tena? Halafu sio kweli kwamba Kiarabu ni lugha pana, Kiarabu kinakizidi Kiyunani/Kigiriki? Kiarabu kinakizidi Kiebrania/Kiaram/Kiyahudi? Sio kweli? Kumbuka hata Quran yenyewe inawashauri Waislam kwamba endapo mnataka kujua sana kuhusu Yesu (Nabii Isa ) imesema muwaulize Mayahudi ma Malnaswala, why wao? "Quran inatoa jibu kwamba, hao watu NDIO walikua wakwanza kuvijua VITABU vitakatifu" now if Kiarabu kingekua better than other languages then hivyo vitabu vingeandikwa kwa lugha hiyo
 
Kwanza Kiarabu ni lugha kama zilivyo Kiswahili, Kiingereza n.k
Kiarabu sio Kiislam bali ni lugha iliyotumika kushushiwa Quran.

Hivyo basi, wapo wanaokielewa Kiarabu vyema kabisa na binafsi nina ndugu wenye uwezo wa kuzungumza Kiarabu kwa ufasaha na ni kweli walijifunza hukohuko Madrasa na wengine walipata nafasi ya kuongeza maarifa huko Arabuni.
Kwanini Quran ishushwe imeandikwa kiarabu?
Basi, hata huko mbinguni watakuwa wanazungumza kiarabu pia
 
Kwanini Quran ishushwe imeandikwa kiarabu?
Basi, hata huko mbinguni watakuwa wanazungumza kiarabu pia
Biblia
Kiebrania (Hebrew): Lugha hii ni lugha kuu ya Agano la Kale (Testamenti la Kale) la Biblia. Sehemu kubwa ya Agano la Kale, ikiwa ni pamoja na vitabu vingi vya Torati (Vitabu vya Musa), Nabii, na baadhi ya vitabu vya hekima, viliandikwa kwa Kiebrania. Kiebrania kilikuwa lugha ya watu wa Israeli na Wayahudi katika kipindi cha uandishi wa maandiko haya.
 
Sana. Ukifa unafikiri utaongea luga gani?
HUko kwenye kufa kila mtu na imani yake, hoja hapa waumini wa dini fulani wasome lugha fulani kwasababu inamsingi mkubwa kwenye imani yao (katika kipindi wanapractise)
 
Back
Top Bottom