Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa sasa ndio unachanganya mambo; Kikristo hakuna lugha maalumu ya dini hiyo, zipo Biblia za Kisukuma, Kihehe nk so kwa Mkristo Kingereza sio lugha mama ya dini, Waingereza nao walitafsiri Biblia kuja kwenye lugha yao kutoka Kigiriki na Kiebrania/Kiisrael/KiyahudiWakiristo waliosoma Magomeni Mwakinya St Joseph secondary school wakienda ulaya wanaongea kidhungu? Au ndio hello hello
Nilimwambia malaria hoja yake sio mlinganisho mzuri maana kuna mtego ndani yake. Na mtego wenyewe ndo huu unaosema weweHapa sasa ndio unachanganya mambo; Kikristo hakuna lugha maalumu ya dini hiyo, zipo Biblia za Kisukuma, Kihehe nk so kwa Mkristo Kingereza sio lugha mama ya dini, Waingereza nao walitafsiri Bilblia kuja kwenye lugha yao kutoka Kigiriki na Kiebrania/Kiisrael/Kiyahudi
Mimi ningekua mufti ningepitisha azimio la watu waanze soma lugha kwanzaUkiwa madrasa kuna somo maalum la lugha ya kiarabu, ukikaa vizuri hapo unatoka unaizungumza vizuri tu na ukiwa mzembe utaishia kujua quran tu lakini lugha itakupiga chenga.
Bado sijaelewa unatofautisha vipi Kiarabu na lugha iliyoandikwa quran,Ukiwa madrasa kuna somo maalum la lugha ya kiarabu, ukikaa vizuri hapo unatoka unaizungumza vizuri tu na ukiwa mzembe utaishia kujua quran tu lakini lugha itakupiga chenga.
Mkuu, huko Madrasa watoto wanafundishwa kwa mfumo wa lugha kama zilivyo lugha nyingine. Kwa maana ya kwamba a b c d & a e i o u.Naam, sasa challenge iliyopo ni kwenye education system ya hizi madrasa, mabaraza na wadau mbali mbali wakae waangalie nini kifanyike kubali mode ya ufundishaji kue na uniformity ya wanafunzi ikiwezekana kuanza na lugha kwanza kwa maoni yangu
Wakristo hata wanapo mwomba Mungu wao, kila mtu atamuomba Mungu wake kwa lugha ambayo yeye yupo comfortable, uwe pekee yako au kwenye jumuia; makanisa kama AIC kwa kule kanda ya Ziwa, wahubiri wa kule wanahubiri hadi Kisukuma, Waha kule Kigoma as well. Kwenye Ukristo lugha sio shida, Mungu wao anawasikia watu wake kwa lugha yoyote tofauti na Uislam ambao unalazimisha watoto wajifunze kwanza Kiarabu ambacho kimsingi hata huaga hawaelewi, wanakariri tu.Nilimwambia malaria hoja yake sio mlinganisho mzuri maana kuna mtego ndani yake. Na mtego wenyewe ndo huu unaosema wewe
Vizuri kabisa.Kwani kuna tatizo mkuu?Hivi ukiwa muislamu uliyesoma dini madrasa automatically unakuwa na uwezo wa kuzungumza Kiarabu kwa ufasaha na weledi? Unaweza kufika uarabuni mkazungumza na mwarabu mkaelewana vizuri au huwa cha kuzungumza nje ya dini ni cha kuombea maji ya kunywa tu?
Huwa naona wengi wanaweza kunukuu Quran kwa kiarabu na pia hata katika kuswali kinatumika kiarabu.
Hapa sasa ndio unachanganya mambo; Kikristo hakuna lugha maalumu ya dini hiyo, zipo Biblia za Kisukuma, Kihehe nk so kwa Mkristo Kingereza sio lugha mama ya dini, Waingereza nao walitafsiri Biblia kuja kwenye lugha yao kutoka Kigiriki na Kiebrania/Kiisrael/Kiyahudi
Hoja yako siipingi, labda ngoja nikupe hoja yangu nadhani itakua rahisi kuona nachokilenga. Mi nakaa uswahili ukichukua sampo hata ya watoto 10 ukiwauliza wewe upo sura gani wanataja vizuri tu na kurecite but wakimaliza kila mmoja ukimuuliza ina maana gani wengi huwa wanachemka. Kuchemka kwa watu wengi maana yake haijapewa msisitizo.Mkuu, huko Madrasa watoto wanafundishwa kwa mfumo wa lugha kama zilivyo lugha nyingine. Kwa maana ya kwamba a b c d & a e i o u.
Wanafundishwa vyema kabisa, ndio maana mwanafunzi bora anayezingatia mafunzo ana uwezo wa kukifahamu Kiarabu kwa ufasaha.
Wewe huwa hutuoni/hutusikii kwa sababu na wewe haujui kiarabu mkuu.Ukiingia anga zetu tutakutaarifu utusikie.Hakuna tatizo mkuu, kinachonishangaza ni kwamba huwa siwaoni mkizungumza kiarabu kati yenu zaidi ya salamaleko na kunukuu aya za quran tu.
Kiarabu cha quran sio kimoja/uniform kote duniani??Kiarabu ni lugha pana sana kuliko lugha zote duniani. Wanaweza na pia hawawezi.
Mfano mzuri ni Kiswahili, cha Zanzibar na cha Tanganyika kuna tofauti zake za matamdshi na hata maneno. Kiarabu ni vivyo hivyo kwa kila kinapotumika.
Kweli mku, nakuunga mkono tena aibu kubwa kwa waislam wa sasa, hatusomi Kiarabu wengine tunasoma lugha za makafiri badala ya kujifunza lugha yetu. Ijapokuwa kujifunza lugha ya makafiri sio dhambi lkn vijana wengi wa kiislamu wamejikita hukoHakuna tatizo mkuu, kinachonishangaza ni kwamba huwa siwaoni mkizungumza kiarabu kati yenu zaidi ya salamaleko na kunukuu aya za quran tu.
Usianze kuleta hizo pigo za kuita wengine makafiri, kuwa muungwana na mstaarabu kidogo.Kweli mku, nakuunga mkono tena aibu kubwa kwa waislam wa sasa, hatusomi Kiarabu wengine tunasoma lugha za makafiri badala ya kujifunza lugha yetu. Ijapokuwa kujifunza lugha ya makafiri sio dhambi lkn vijana wengi wa kiislamu wamejikita huko
Nimeshaingia anga zenu sana mkuu ila sijawahi kusikia raia waswahili wakitiririka hiyo lugha,
Kafiri yule aleikuna uislam.Usianze kuleta hizo pigo za kuita wengine makafiri, kuwa muungwana na mstaarabu kidogo.