Waislamu Waafrika waliosoma madrasa wanaweza kuongea lugha ya kiarabu kwa ufasaha na weledi?

Waislamu Waafrika waliosoma madrasa wanaweza kuongea lugha ya kiarabu kwa ufasaha na weledi?

Ukiona hivyo ujue ya kuwa hawana vocabularies zingine zaidi ya zile za swala 5.
Ni kama shule za kayumba, Kiingereza kinaishia mlangoni wanapotoka darasani. Nje ya pale ni kiswahili na vilugha vingine kwa kwenda mbele.
Thus, linguistic environment is not supporting the development of English. Hata kwa waislam ni vivyo hivyo, wataishia kujua kiarabu cha ndani ya madrasa. Nje ya hapo hakuna kitu.
Lugha yoyote kuijua ni ku practice , mbali na hapo hakuna kitu.
 
Mungu anasema kwenye hiyo Quran , kuwa anasikia maombi ya mtu yoyote yule . Hata ukiswali kwa lugha yoyote anasikia.

Sasa kwa nini wana lazimisha waumini nje ya ulimwengu wa kiarabu kuongea kiarabu ambayo siyo lugha mama kwao. Matokeo yake wanaishia kukalili maneno yale yale. Kama alivyosema Yoda watasalimiana kiarabu, lakini baada ya salam, wanaendeleza kwa lugha zao.
 
Jee hamuoni haja ya kubadili mfumo mzima wa dini ya kiislamu uwape watu uhuru wa kuabudu kwa lugha yao? Badala ya kung'ang'ania ibada lazima ifanyike kwa lugha ya kiarabu.

Sababu hakuna kinachoshindikana.

Hata wewe hukuzaliwa unajua kuandika Wala kusoma, ila kwa kujifunza na kufanya bidii ukajua kusoma na kuandika.

Ibada lazima ifanyike kama alivyo tufundisha Mtume, na huku ndio kutunza mafundisho.
 
Nimecheka kwa sauti
😛 😛😛
Yaani wewe mmatengo wa mbinga ujivunie kiarabu. Je waarabu watasemajee?

Kweli kabisa waarabu wamefanikiwa kuwateka watu na kuwafanya watumwa wao.
Sasa nimeamini kabisa ya kwamba uislam ni chombo au mjango malidhawa kabisa wa kueneza tamaduni, mila na desturi za kiarabu.

Nao pia watajua cha kusema. Ila sisi tunajivunia Kiarabu.

Hapo hakuna utumwa labda hujui nini maana ya utumwa. Tunajifunza Kiarabu kwa ajili ya kujifunza dini yetu ya Uislamu.

Hujui Uislamu kadhalika Wala Uarabu, tamaduni ngapi za Kiarabu, Uislamu umekuja kuzikemea na kuzikataza ?

Kitu ambacho kinakera humu jf, ni watu kujadili mambo ambayo hawana elimu nayo.
 
Hivi ukiwa muislamu uliyesoma dini madrasa automatically unakuwa na uwezo wa kuzungumza Kiarabu kwa ufasaha na weledi? Unaweza kufika uarabuni mkazungumza na mwarabu mkaelewana vizuri au huwa cha kuzungumza nje ya dini ni cha kuombea maji ya kunywa tu?
Huwa naona wengi wanaweza kunukuu Quran kwa kiarabu na pia hata katika kuswali kinatumika kiarabu.
Tofautisha kiarabu cha Kusomesha Quran na mambo ya kusadikika kwa vitu halisia.

Ukitaka kujua kuwa hawawezi lugha halisi ya kiarabu watakiambia yesu ni issa kwa lugha ya kiarabu.
 
Sijajua aliyeleta haya mambo ya kukariri Quran aliyatoa wapi. Quran yenyewe inasema Quran ni muongozo , mzisome aya na kuzielewe maana yake. Lakini watu hiyo aya hawaifuati.
Aya kama ile iliosema Muhammad akapige mbupu Kila muumini , unaifuta ya nini na inakusaidia nini?
 
Hata kwenye oral maneno yanayosomwa kwenye quran yana utofauti na wanayoongea waarabu japo baadhi ya maneno huingiliana kotekote yapo.
Mfano wa maneno ambayo kote kwenye Quran na kiarabu yapo
1.Kullu-Kila
2.Qul-Sema
3.Mai-maji
4.Twaama-Chakula
5.Fukara-fukara
Sasa apa mbona hujaandika kiarabu , umeandika matamshi ya kiarabu?
 
Hapana hii inategemea. Madrasa zetu nyingi hazitilii mkazo katika kujifunza lugha ya Kiarabu. Zile ambazo zinafundisha Kiarabu hazifundishi kwa undani sana.

Ila ukitaka uijue Dini ya Kiislamu vizuri lazima usome Kiarabu na ukijue. Hii inataka muda na juhudi kubwa.

Qur'an ni muujiza ndio maana mtu yoyote ambaye hakijui Kiarabu anaweza kuihifadhi Qur'an na akaisoma kwa ufasaha, hata akiwa hajui maana yake. Kwa vitabu vingine hili ni muhali.
Mnafundishwa matamshi kwa kiswahili na wala sio kiarabu
 
Hivi ukiwa muislamu uliyesoma dini madrasa automatically unakuwa na uwezo wa kuzungumza Kiarabu kwa ufasaha na weledi? Unaweza kufika uarabuni mkazungumza na mwarabu mkaelewana vizuri au huwa cha kuzungumza nje ya dini ni cha kuombea maji ya kunywa tu?
Huwa naona wengi wanaweza kunukuu Quran kwa kiarabu na pia hata katika kuswali kinatumika kiarabu.
Lugha iliyoandikwa kwenye Quraan inautwa Bul bul,
Hata muarabu hukaa madrasa kujifunza Quraan.
 
Surat Maryam 19,
Ayah: 71 ... Na hakuna katika nyinyi, enyi watu, yoyote isipokuwa ataufikia huo Moto kwa kupita juu Ṣirāṭ (Njia) iliyotandikwa juu ya daraja la moto wa Jahanamu, ..

1733336364827.gif


72. Kisha tutawaokoa wale walio mchamngu; na tutawaacha madhaalimu humo wamepiga magoti.
 
Back
Top Bottom