Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Lugha yoyote kuijua ni ku practice , mbali na hapo hakuna kitu.Ukiona hivyo ujue ya kuwa hawana vocabularies zingine zaidi ya zile za swala 5.
Ni kama shule za kayumba, Kiingereza kinaishia mlangoni wanapotoka darasani. Nje ya pale ni kiswahili na vilugha vingine kwa kwenda mbele.
Thus, linguistic environment is not supporting the development of English. Hata kwa waislam ni vivyo hivyo, wataishia kujua kiarabu cha ndani ya madrasa. Nje ya hapo hakuna kitu.
Sawa mkuuMarekani na Ulaya yote. Kimsingi ukijua maana ya makafiri utanielewa
Ikiwemo Kiarab😅😅Lugha nyingi duniani zina msamiti mdogo hivyo haziwezi kutafsiri kila kitu....
Mungu anasema kwenye hiyo Quran , kuwa anasikia maombi ya mtu yoyote yule . Hata ukiswali kwa lugha yoyote anasikia.
Suala zuri sana. Wanasoma na kwa ufasaha. Lakini je wanasoma na kuelewa?
Jee hamuoni haja ya kubadili mfumo mzima wa dini ya kiislamu uwape watu uhuru wa kuabudu kwa lugha yao? Badala ya kung'ang'ania ibada lazima ifanyike kwa lugha ya kiarabu.
Nimecheka kwa sauti
😛 😛😛
Yaani wewe mmatengo wa mbinga ujivunie kiarabu. Je waarabu watasemajee?
Kweli kabisa waarabu wamefanikiwa kuwateka watu na kuwafanya watumwa wao.
Sasa nimeamini kabisa ya kwamba uislam ni chombo au mjango malidhawa kabisa wa kueneza tamaduni, mila na desturi za kiarabu.
Tofautisha kiarabu cha Kusomesha Quran na mambo ya kusadikika kwa vitu halisia.Hivi ukiwa muislamu uliyesoma dini madrasa automatically unakuwa na uwezo wa kuzungumza Kiarabu kwa ufasaha na weledi? Unaweza kufika uarabuni mkazungumza na mwarabu mkaelewana vizuri au huwa cha kuzungumza nje ya dini ni cha kuombea maji ya kunywa tu?
Huwa naona wengi wanaweza kunukuu Quran kwa kiarabu na pia hata katika kuswali kinatumika kiarabu.
Ni tabia inayokera sana sanaKitu ambacho kinakera humu jf, ni watu kujadili mambo ambayo hawana elimu nayo
Aya kama ile iliosema Muhammad akapige mbupu Kila muumini , unaifuta ya nini na inakusaidia nini?Sijajua aliyeleta haya mambo ya kukariri Quran aliyatoa wapi. Quran yenyewe inasema Quran ni muongozo , mzisome aya na kuzielewe maana yake. Lakini watu hiyo aya hawaifuati.
Sasa apa mbona hujaandika kiarabu , umeandika matamshi ya kiarabu?Hata kwenye oral maneno yanayosomwa kwenye quran yana utofauti na wanayoongea waarabu japo baadhi ya maneno huingiliana kotekote yapo.
Mfano wa maneno ambayo kote kwenye Quran na kiarabu yapo
1.Kullu-Kila
2.Qul-Sema
3.Mai-maji
4.Twaama-Chakula
5.Fukara-fukara
Mnafundishwa matamshi kwa kiswahili na wala sio kiarabuHapana hii inategemea. Madrasa zetu nyingi hazitilii mkazo katika kujifunza lugha ya Kiarabu. Zile ambazo zinafundisha Kiarabu hazifundishi kwa undani sana.
Ila ukitaka uijue Dini ya Kiislamu vizuri lazima usome Kiarabu na ukijue. Hii inataka muda na juhudi kubwa.
Qur'an ni muujiza ndio maana mtu yoyote ambaye hakijui Kiarabu anaweza kuihifadhi Qur'an na akaisoma kwa ufasaha, hata akiwa hajui maana yake. Kwa vitabu vingine hili ni muhali.
Ningwandika maandishi ya kiarabu usingeelewa chochote hapo nimewarahisishia wasomajiSasa apa mbona hujaandika kiarabu , umeandika matamshi ya kiarabu?
Mnachofundishwa ni matamshi ya kiarabu kwa kiswahili na wala hamjuhi kiarabuNingwandika maandishi ya kiarabu usingeelewa chochote hapo nimewarahisishia wasomaji
Lugha iliyoandikwa kwenye Quraan inautwa Bul bul,Hivi ukiwa muislamu uliyesoma dini madrasa automatically unakuwa na uwezo wa kuzungumza Kiarabu kwa ufasaha na weledi? Unaweza kufika uarabuni mkazungumza na mwarabu mkaelewana vizuri au huwa cha kuzungumza nje ya dini ni cha kuombea maji ya kunywa tu?
Huwa naona wengi wanaweza kunukuu Quran kwa kiarabu na pia hata katika kuswali kinatumika kiarabu.
"Doctor" Dr Matola PhD kwake yeye ameelewa kila anayepita/atakayepita juu ya daraja la Kigamboni basi lazima katumbukia /atatumbukia baharini.Kwa logic hii kila anayepita daraja la Kigamboni kadumbukia Baharini?
Biblia Haijashushwa imeandikwa na wanadamu Wasomi.Kwani bible ilikuja na kiswahili au english?
HaswaaKama ni hivyo hizi dini haziwahusu waafrika maana zilikuja kwa lugha zao?
Surat Maryam 19,
Ayah: 71 ... Na hakuna katika nyinyi, enyi watu, yoyote isipokuwa ataufikia huo Moto kwa kupita juu Ṣirāṭ (Njia) iliyotandikwa juu ya daraja la moto wa Jahanamu, ..