eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Kutafsiri Quran kwenye lugha nyingine haina shida,,,sala ya kiislam sio kusoma Quran peke yake kuna dua zingine ambazo zinatakiwa zitamkwe kiarabu katika sala na uzijue maana yake katika lugha yako.....Hilo lisikusumbue sana kwa sababu ndio uislam ulivyoelekeza na we we amini katika dini yako ilivyoelekeza.
Siku zote mkiulizwa maswali ya msingi, mnashindwa kujibu hoja.
Nauliza swali la iwapo kama swala zisizo fanywa katika lugha ya kiarabu zinakubaliwa. Jibuni swali, badala ya kung'ang'ania kutuambia ya kuwa wewe uamini dini yako. Dini haina mmiliki, kila mtu yuko huru kuingia ama kutoka katika dini yoyote ile.