Waislamu wagombea Msikiti wa Wilaya ya Nyamagana, Ngumi zaibuka Waumini wadai BAKWATA imeundwa huu Msikiti wa Masjid Noor wameukuta!


Sera za ujamaa,mali zilirudi kwa serikali kunufaisha wananchi wote.
 
BAKWATA ndio chombo au taasisi madhubuti ya kutetea kulinda mali za Waislam wote Tanzania.

Hizi taasisi nyingine kama Shura ya Maimamu......... zinawakisha fujo na kutuondolea amani watanganyika.

Hao wote ni waganga njaa tu. Wanapambania chance ya kuwanyonyonya waislamu.
 
Wafuate namna RC wanavyoandika hati za viwanja kulikojengwa makanisa..!! Hati inaandikwa body of trustees..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…