Waislamu wako vizuri kwenye suala la ndoa

Waislamu wako vizuri kwenye suala la ndoa

Ni kweli wako vizuri na ndoa zao zipo simpo sana hamna mbwembwe za ukumbini labda utake wewe ila ndo wana ongoza ndoa kuvunjika.

Upande wangu Nina mifano hai mingi tu nimeshuhuduia watu wakiachana wakristo ghalama ya mahari kubwa inasaidia ndoa kudumu ukifikiria huyo ulie mtolea hiyo mahari unajikuta unamvumilia tu kitu ambacho wao hawana ni uvumilivu.

Mkishazinguana talaka sasa embu jiulize swal huyo ulie muacha nani amuoe wakati umeshamtumia vya kutosha.


Gharama ya mahari sio gharama ya mateso unayovumilia kwenye ndoa.
Ndio maana Wakristo wengi tunatembea na ndoa sheria ila mioyoni hatuna hizo ndoa….
 
Msisingizie dini bwana. Hayo ni mapenzi yenu wenyewe. Unaweza kuoa simple tuu ukiwa mkristo bila shida yoyote. Tatizo wengi wetu tunafanya harusi ndio muhimu baadala ya ndoa kiwa muhimu.


Mwanangu alichukua chombo yake akaenda kanisani kuomba process akapewa ikapitishwa kama zingine, siku ya siku katuita watu kadhaa kama 15 hivi… kapewa mke tukaingia restaurant fulani Mwenge tukafinya msosi na wazazi wa pande mbili…..imeisha hiyoo
 
Mwanangu alichukua chombo yake akaenda kanisani kuomba process akapewa ikapitishwa kama zingine, siku ya siku katuita watu kadhaa kama 15 hivi… kapewa mke tukaingia restaurant fulani Mwenge tukafinya msosi na wazazi wa pande mbili…..imeisha hiyoo
Very simple hamna cha mbwembwe nyingi. Nimeipenda hiyo.
 
Asante Kaka,wanabisha wakati Mambo yapo wazi kabisa wanao January, February wanaacha March anaolewa mwingine.
Yes ndoa sio adhabu na Allah anataka sisi wanaume wakiislam tuoe waanwake wanne na akizingua is mwingine huyo acha wanawake wapo kutufurahisha na kutupa watoto. Nyie pambaneni mnakufa kwa misongo na mateso ya kuhangaikia ndoa
 
Yes ndoa sio adhabu na Allah anataka sisi wanaume wakiislam tuoe waanwake wanne na akizingua is mwingine huyo acha wanawake wapo kutufurahisha na kutupa watoto. Nyie pambaneni mnakufa kwa misongo na mateso ya kuhangaikia ndoa
Sawa
 
Back
Top Bottom