Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislamu wanamtambuwa Masiah na wanatambua ndiye atakayehukumu wazima na wafu.Habari za humu!
Naukubali sana utaratibu wa wenzetu wa dini tofauti. Kwao unaweza kuoa na kuingiza mke kwa 200k au hata 100k. Niliwahi kuwa mshenga, kuna dogo alitoa 50k akachukua mke mapema sana maana ilikuwa kipindi cha Ramadhani mwendo wa maandazi tu harusi imeisha.
Nimeishi Kusini yaani kipindi hiki cha Ramadhani ndoa kama zote. Kwetu sisi wa Christ hali ni tete, maana budget ya mali tu kama 2.5mil ukianza maandalizi yaani budget ya chini mil 15, unasumbuka na michango hadi shida bado mwanamke naye anaweza kukusumbua, ukizingatia gharama ulizoingia hata Mahakama haisemi urudishiwe pesa yako.
Kuna wakati natamani nibadili dini nihamie upande wa pili, shida tu itikadi na malezi niliyokulia naamini life is useless without Christ.
Hapo ndio tunatofautiana Imani. Kama wenzangu wengekuwa wanamuamini Christ ndio everything ningehama. Otherwise nikae pale niangalie team kataa ndoa.
Amen [emoji1545][emoji1545][emoji1545]life without jesus christ is useless.
Cha kuliwa k riverside?Wala hautaji japo elimu ya form four kujua hili......au hamziitagi ndoa za uji nyie
Mbona Waisilamu wanamuamini Yesu kuliko wakristo,mtafute kiongozi wa Waisilamu Shehe,halafu muulize Yesu ni nani? Utapewa majibu ya kukuridhisha nafsi yakoHabari za humu!
Naukubali sana utaratibu wa wenzetu wa dini tofauti. Kwao unaweza kuoa na kuingiza mke kwa 200k au hata 100k. Niliwahi kuwa mshenga, kuna dogo alitoa 50k akachukua mke mapema sana maana ilikuwa kipindi cha Ramadhani mwendo wa maandazi tu harusi imeisha.
Nimeishi Kusini yaani kipindi hiki cha Ramadhani ndoa kama zote. Kwetu sisi wa Christ hali ni tete, maana budget ya mali tu kama 2.5mil ukianza maandalizi yaani budget ya chini mil 15, unasumbuka na michango hadi shida bado mwanamke naye anaweza kukusumbua, ukizingatia gharama ulizoingia hata Mahakama haisemi urudishiwe pesa yako.
Kuna wakati natamani nibadili dini nihamie upande wa pili, shida tu itikadi na malezi niliyokulia naamini life is useless without Christ.
Hapo ndio tunatofautiana Imani. Kama wenzangu wengekuwa wanamuamini Christ ndio everything ningehama. Otherwise nikae pale niangalie team kataa ndoa.
Siku moja moja unakuaga na akili.Msisingizie dini bwana. Hayo ni mapenzi yenu wenyewe. Unaweza kuoa simple tuu ukiwa mkristo bila shida yoyote. Tatizo wengi wetu tunafanya harusi ndio muhimu baadala ya ndoa kiwa muhimu.
Dr. Mwaka ni mfano mzuri zaidi wa kuigwaHabari za humu!
Naukubali sana utaratibu wa wenzetu wa dini tofauti. Kwao unaweza kuoa na kuingiza mke kwa 200k au hata 100k. Niliwahi kuwa mshenga, kuna dogo alitoa 50k akachukua mke mapema sana maana ilikuwa kipindi cha Ramadhani mwendo wa maandazi tu harusi imeisha.
Nimeishi Kusini yaani kipindi hiki cha Ramadhani ndoa kama zote. Kwetu sisi wa Christ hali ni tete, maana budget ya mali tu kama 2.5mil ukianza maandalizi yaani budget ya chini mil 15, unasumbuka na michango hadi shida bado mwanamke naye anaweza kukusumbua, ukizingatia gharama ulizoingia hata Mahakama haisemi urudishiwe pesa yako.
Kuna wakati natamani nibadili dini nihamie upande wa pili, shida tu itikadi na malezi niliyokulia naamini life is useless without Christ.
Hapo ndio tunatofautiana Imani. Kama wenzangu wengekuwa wanamuamini Christ ndio everything ningehama. Otherwise nikae pale niangalie team kataa ndoa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ghafla Kama chafya
Yeye amesema wako vizuri,heshimu maoni yakeAcha na dini hyo kuolewa na kuachwa Ni sekunde tu
ndoA Gabi hzo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sasa kama hakuna maelewano mlazimishane? Ndoa ni mkataba wahiyari,sio wa lazimaGhafla Kama chafya
Kwani lazima mbona mnakuwa wapumbavu?na kuachana ndo kuzuri, mnakua mnaishi kwa adabu kama kweli ndoa unaitaka unaishi kwa adabu..
Halafu kuachika mwanamke wa kiislamu sio kesi huwa wanaolewaga tena sister angu kaolewa mara3 ya tatu ndo anayo mpaka leo.. kuna best angu aliolewa akaachika na mtoto na ameolewa tena mwezi wa2 ndoa za maana tu kwenye maukumbi huko.. Njoo huku kwa mimi mgalatia kama kuna mtu mwenye hali kama yangu anathubutu kunioa akifikiria mahari na sherehe anagairi
Hilo sio lengo la ndoa. Ukiona wameachana maana ake hawajafikia lengo la ndoa. Punguza hatred dada.
Bora wewe umesema ukweliSasa kama hakuna maelewano mlazimishane? Ndoa ni mkataba wahiyari,sio wa lazima