Waislamu wako vizuri kwenye suala la ndoa

Waislamu wako vizuri kwenye suala la ndoa

Habari za humu!

Naukubali sana utaratibu wa wenzetu wa dini tofauti. Kwao unaweza kuoa na kuingiza mke kwa 200k au hata 100k. Niliwahi kuwa mshenga, kuna dogo alitoa 50k akachukua mke mapema sana maana ilikuwa kipindi cha Ramadhani mwendo wa maandazi tu harusi imeisha.

Nimeishi Kusini yaani kipindi hiki cha Ramadhani ndoa kama zote. Kwetu sisi wa Christ hali ni tete, maana budget ya mali tu kama 2.5mil ukianza maandalizi yaani budget ya chini mil 15, unasumbuka na michango hadi shida bado mwanamke naye anaweza kukusumbua, ukizingatia gharama ulizoingia hata Mahakama haisemi urudishiwe pesa yako.

Kuna wakati natamani nibadili dini nihamie upande wa pili, shida tu itikadi na malezi niliyokulia naamini life is useless without Christ.

Hapo ndio tunatofautiana Imani. Kama wenzangu wengekuwa wanamuamini Christ ndio everything ningehama. Otherwise nikae pale niangalie team kataa ndoa.
Waislamu wanamtambuwa Masiah na wanatambua ndiye atakayehukumu wazima na wafu.

Achana na hawa waislamu maamuma wanaoshinda kwenye vibaraza vya misikiti kutwa mzima hawajui hata Masiah ni nani.
 
Ndoa za kiislam mahari waweza kutoa hata laki 1 unaondoka na binti, kwa wakristo hizi mahari za milioni 1 ni kawaida sana yapasa ujipange.

Sherehe latika ndoa za wakristo ni tukio muhimu na inaweza gharimu mpaka milioni 2 lakini kwa waislam ukishalipia mahari, sherehe itakuwa hapo hapo unaweza gharamika laki 1 tu na mambo yanamalizika.

Katika uislam Mwanaume anaweza kuongeza mke kama ilivyokuwa kwa manabii wengi tu katika biblia, ni hadi pale dini ilibyoanza kufata utamaduni wa wazungu wa kuoa mke moja nasi tukarithi,

Katika ndoa za kikristo hata mke akiwa mchawi, anachukia ndugu zako, hataki kukupa tendo, hataki kuzaa, n.k. hapo hamuachani inabidi mvumiliane.
 
Hamna pahali kweny bible pameandikwa mfanye sherehe ila ni watu binafsi ndo wameanzisha utaratibu. Unaweza kuepuka. Ndoa ni pale kanisani baada ya kufungishwa na kiongozi zinazobaki ni mbwembwe.
 
Habari za humu!

Naukubali sana utaratibu wa wenzetu wa dini tofauti. Kwao unaweza kuoa na kuingiza mke kwa 200k au hata 100k. Niliwahi kuwa mshenga, kuna dogo alitoa 50k akachukua mke mapema sana maana ilikuwa kipindi cha Ramadhani mwendo wa maandazi tu harusi imeisha.

Nimeishi Kusini yaani kipindi hiki cha Ramadhani ndoa kama zote. Kwetu sisi wa Christ hali ni tete, maana budget ya mali tu kama 2.5mil ukianza maandalizi yaani budget ya chini mil 15, unasumbuka na michango hadi shida bado mwanamke naye anaweza kukusumbua, ukizingatia gharama ulizoingia hata Mahakama haisemi urudishiwe pesa yako.

Kuna wakati natamani nibadili dini nihamie upande wa pili, shida tu itikadi na malezi niliyokulia naamini life is useless without Christ.

Hapo ndio tunatofautiana Imani. Kama wenzangu wengekuwa wanamuamini Christ ndio everything ningehama. Otherwise nikae pale niangalie team kataa ndoa.
Mbona Waisilamu wanamuamini Yesu kuliko wakristo,mtafute kiongozi wa Waisilamu Shehe,halafu muulize Yesu ni nani? Utapewa majibu ya kukuridhisha nafsi yako
 
Mafarisayo asa mnachekesha jmni ni watu wa kuonewa huruma mnoo

Nyie kuachana kwenu mpk mahakamani aya sasa twendeni na statistics za mahakamani ni ndoa zipi zinaongoza kwa Talaka?

Mm sijibu jibu mnalo wenyewe nyie mafarisayo
 
Habari za humu!

Naukubali sana utaratibu wa wenzetu wa dini tofauti. Kwao unaweza kuoa na kuingiza mke kwa 200k au hata 100k. Niliwahi kuwa mshenga, kuna dogo alitoa 50k akachukua mke mapema sana maana ilikuwa kipindi cha Ramadhani mwendo wa maandazi tu harusi imeisha.

Nimeishi Kusini yaani kipindi hiki cha Ramadhani ndoa kama zote. Kwetu sisi wa Christ hali ni tete, maana budget ya mali tu kama 2.5mil ukianza maandalizi yaani budget ya chini mil 15, unasumbuka na michango hadi shida bado mwanamke naye anaweza kukusumbua, ukizingatia gharama ulizoingia hata Mahakama haisemi urudishiwe pesa yako.

Kuna wakati natamani nibadili dini nihamie upande wa pili, shida tu itikadi na malezi niliyokulia naamini life is useless without Christ.

Hapo ndio tunatofautiana Imani. Kama wenzangu wengekuwa wanamuamini Christ ndio everything ningehama. Otherwise nikae pale niangalie team kataa ndoa.
Dr. Mwaka ni mfano mzuri zaidi wa kuigwa
 
Kila kitu ni gharama na gharama yeyote ina malipo yake

Wanaume tutafute pesa, ukiona mwanaume anazungumzia uislam kwenye ndoa ujue huyo yuko radhi aowe kiislamu alafu aishi kiiskrito kama mleta mada, yote ni kumpunguzia gharama lakini hana point ya msingi....

Ukiona mtu anatamani cha mwenzie huyo yuko radhi kufanya lolote juu ya kitu chake alimradi apate cha mwenzake... Hawana tofauti na alshababu wanaoamini kujilipua ndio kuipigania dini yao..
 
na kuachana ndo kuzuri, mnakua mnaishi kwa adabu kama kweli ndoa unaitaka unaishi kwa adabu..
Halafu kuachika mwanamke wa kiislamu sio kesi huwa wanaolewaga tena sister angu kaolewa mara3 ya tatu ndo anayo mpaka leo.. kuna best angu aliolewa akaachika na mtoto na ameolewa tena mwezi wa2 ndoa za maana tu kwenye maukumbi huko.. Njoo huku kwa mimi mgalatia kama kuna mtu mwenye hali kama yangu anathubutu kunioa akifikiria mahari na sherehe anagairi
Kwani lazima mbona mnakuwa wapumbavu?
 
Back
Top Bottom