Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Nipate tabu kwani mie ndio nimeachika baada ya mwezi,aku!Naona unapata tabu sana. Islamophobia ina wana chama wengi sana kumbe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipate tabu kwani mie ndio nimeachika baada ya mwezi,aku!Naona unapata tabu sana. Islamophobia ina wana chama wengi sana kumbe.
Hayo hayahusiani Na dini,dini imekataza kuzini Kwa mwanaume na mwanamke Hadi kuoana huo ni udhaifu wa wazazi na watoto wenyew kuhus kujifunza dini na udhaifu wetu binadmau na kuhusu kuachika watu wanaachika Kwa tabia zao sio kwasabbu ya kuolewa Kwa gharama nafuu walio na tabia njema wanadumu kwenye ndoaMalezi gani ya kuwafunza watoto wadogo mambo ya kikubwaa?? Nimeishi na waislamu sanaa, sijaona hayo malezi.
Mtoto wa darasa la 3 anafundishwa mambo ya kitandani inahuu, ndo wanaongoza kuzaa wakiwa wadogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unyago na msondo, akuuuuuh
😂😂😂😂Basi kijana pumzika sasaMange ndio nani wewe kapuku?
Unaogopa nini mtu mzima unajitafutia riziki labda kama wewe ni tegemezi kwa hao ndugu ndio utapata uzitoSuala lakuoa dini tofauti nisuala zito sana hasa hili lakutengwa naukoo mzima nikisanga hata mm bado niko dilemma naona kabisa unaweza kutengwa nandugu endapo ukioa jamii ambazo wao hawaziamini.
🥰🥰🥰🥰🥰Mimi ni mkristo ila naikubali dini ya uislam sanaaa, ni dini imezingatia watu wa madaraja yote
Nichek nikuchap moja ya pongeziSasa kifurushi Cha mwezi Unataka kiwe sh ngapi?maana baada ya ramadhani hizo ndoa huwa zinavunjika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anipopoeq tyuuh, aaaaahUnamjua huyo wewe jibu jibu tu
Kila mtu na namna anavyolichukulia, lakini hili n swala zito mm sishauri mtu ajaribu kabisa.Suala lakuoa dini tofauti nisuala zito sana hasa hili lakutengwa naukoo mzima nikisanga hata mm bado niko dilemma naona kabisa unaweza kutengwa nandugu endapo ukioa jamii ambazo wao hawaziamini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwenzio kifurushi chake kimeisha we unacheka?
Hilo sio lengo la ndoa. Ukiona wameachana maana ake hawajafikia lengo la ndoa. Punguza hatred dada.Nipate tabu kwani mie ndio nimeachika baada ya mwezi,aku!
Oooh hapo sawa shangaziii, umeelewekaaa.Hayo hayahusiani Na dini,dini imekataza kuzini Kwa mwanaume na mwanamke Hadi kuoana huo ni udhaifu wa wazazi na watoto wenyew kuhus kujifunza dini na udhaifu wetu binadmau na kuhusu kuachika watu wanaachika Kwa tabia zao sio kwasabbu ya kuolewa Kwa gharama nafuu walio na tabia njema wanadumu kwenye ndoa
Swali langu ukimuacha unataka nani mwingine amuoe? Komaaa nae hivohivoKwamba uendelee kuteseka maisha yako yote mpaka unaingia kaburini....
Kisa ulitoa mahari kubwa!!
Ukikuta mwanaume amekuoa kwa mara ya tatu na ulimchana ukweli huyo amekupenda kweli sasa je hiyo dada alimwambia ukweli kuwa anae olewa nae ni mara tatu????na kuachana ndo kuzuri, mnakua mnaishi kwa adabu kama kweli ndoa unaitaka unaishi kwa adabu..
Halafu kuachika mwanamke wa kiislamu sio kesi huwa wanaolewaga tena sister angu kaolewa mara3 ya tatu ndo anayo mpaka leo.. kuna best angu aliolewa akaachika na mtoto na ameolewa tena mwezi wa2 ndoa za maana tu kwenye maukumbi huko.. Njoo huku kwa mimi mgalatia kama kuna mtu mwenye hali kama yangu anathubutu kunioa akifikiria mahari na sherehe anagairi
Ghafla Kama chafya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie najiuliza mbns hawana uzito ktk kuachana?? Yaan utashangaa vuupuu washa achana.
wanaume tofautiUkikuta mwanaume amekuoa kwa mara ya tatu na ulimchana ukweli huyo amekupenda kweli sasa je hiyo dada alimwambia ukweli kuwa anae olewa nae ni mara tatu????
Kama alimwambia na alikubali basi huyo jamaa alimpenda kwa Hali yoyote na moyo wote.
Anaitwa naniUmenikumbusha yule Tajiri mfanyabiashara wa kimataifa Mmarekani aliyetaka kumuoa Ke Muislam Sudani 2019 afu Ke alitengwa na familia ya kwao na kumfungia kabisa asitoke nchini wala asiolewe na Mmarekani sababu tu ya Ukristo wa Me.
International Relations laws kupitia UN ndiyo ilisuluhisha ule mgogoro ndipo Binti akaolewa na kwenda kuishi na Me USA mazima.
Binti alikuwa PISI KALI hatareee....[emoji16]