Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hao ni akina raheli wa zamaniYakobo kwenye bible alisotea mke mmoja miaka 7 kwa kuwa mjakazi kwenye nyumba ya mjomba wake...
Mwanzo 29
18 Yakobo akampenda Raheli akasema, Nitakutumikia miaka saba kwa kumpata Raheli, binti yako mdogo.
19 Labani akasema, Afadhali nikupe wewe kuliko mtu mwingine; kaa kwangu.
20 Yakobo akatumika miaka saba kwa kumpata Raheli. Ikawa machoni pake kama siku chache tu kwa vile alivyompenda.
We Dr loverlover nitakuwezea wapi?Aya nakuletea mie mwenyewe ila sasa mpinzani wako kasema eti nikuoe wewe
Basi hamna shida wifi ulishasema ni mie kutekeleza tuu.Atakubali hakuna Mwanamke anaye kataa ndoa si ndio wifi yangu Joannah
Hivi ndoa Ni kuingia mbinguni?badala uniambie nipambanie uzima wa milele wa unaniambia nipambanie ndoa za kifurushi Cha mwezi kweli Nuzulati?
[/QUOTE
Utapambania vipi uzima wa milele bila kuwa kwenye ndoa kipenzi harafu usiwe unawaza vitu vibaya kwani wote wanao olewa wanaachika.
Nuzulati unaona wifi yako anaanza kuongelea ya nyuma wakati wote tunakutana hatuna bikra sasa tugange ya jayo mrembo.😂😂😂😂😂😂Mi wifi yako kwa mzabzab au sio?si niataachika siku ya nne ya ndoa?maana hizo harakati zake Kama Dr pimbi mi nitaziweza wapi?
Punguza ujinga kama unaweza hilo ili usiendelee kua kituko humu JF kwa kuropoka hovyo.Punguza jazba,Kwani mkinikumbuka humu umnanipa hela ya ugali hebu relax na dini za waarabu zisikuumize kichwa kijana
Utaweza tuu tena mie wala sina mengi wee cha msingi nikitoka job unipokee ukiwa na khanga moko tukilala uwe uchi kabisa kula unilishe nishibe sihitaji mengi toka kwako.We Dr loverlover nitakuwezea wapi?
AsPunguza ujinga kama unaweza hilo ili usiendelee kua kituko humu JF kwa kuropoka hovyo.
Sawa sheikh ubwabwa.......Punguza ujinga kama unaweza hilo ili usiendelee kua kituko humu JF kwa kuropoka hovyo.
Hata umalaya wanaume wa kiislamu wana unafuu. Wakristo tumejirahisishia sana dhambi.Sio wewe tu, hili ni janga
ikifika kwenye ndoa kila mtu anatamani angekua muislam
Wifi mstaarabu wenyewe nampendaga,anataka nisitirike na Mzabzab😂😂😂Utaweza tuu tena mie wala sina mengi wee cha msingi nikitoka job unipokee ukiwa na khanga moko tukilala uwe uchi kabisa kula unilishe nishibe sihitaji mengi toka kwako.
Wee umechaguliwa na wifi mstaarabu kuliko wote hapa jf alafu unarunga shauri yako
😂😂😂😂😂😂Kwa hiyo lini maana Shabani inaisha siku mbili hizi nitapaka Hina saa ngapi Sasa?Kaka usijali huwa sishindwi jambo andaa kanzu na mshenga😁
Umeanza kutetemeka vidole mpaka unashindwa kutype!As
Sawa sheikh ubwabwa.......
Hawa jamaa vilaza achana naoMsisingizie dini bwana. Hayo ni mapenzi yenu wenyewe. Unaweza kuoa simple tuu ukiwa mkristo bila shida yoyote. Tatizo wengi wetu tunafanya harusi ndio muhimu baadala ya ndoa kiwa muhimu.
Wifi anakutamia mema huyo. Tumpe raha wifi yetu apate kupiga vigelegele bwana. Wee huoni kuwa ni jambo jema wote tunakuwa tumeachana na uzinziWifi mstaarabu wenyewe nampendaga,anataka nisitirike na Mzabzab😂😂😂
Haya ndio maneno. Wee niambie kanzu za harusi zinapatikana wapi nikanunueKaka usijali huwa sishindwi jambo andaa kanzu na mshenga😁