Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Utajijuuu na kuloweka loweka kwako😂😂Options hamna wengi tulishawakula sie wenyewe🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajijuuu na kuloweka loweka kwako😂😂Options hamna wengi tulishawakula sie wenyewe🤣🤣🤣🤣
Nishakuelezea hapo kuwa Nina mifano kibaoHuo utafiti wako uliufanyia wapi? weka details hapa tuone.
Aisee! Kumbe wee ni kakorofi hivi.Of course, tofauti Ni kubwa darling....yeye ana uhakika wa kupigwa mashine asubuhi mchana na jioni kwa gharama ya uji tu na baadae kuachwa kurudi kudanga.
Punguza jazba,Kwani mkinikumbuka humu umnanipa hela ya ugali hebu relax na dini za waarabu zisikuumize kichwa kijanaHuna ujualo ila punguza kuropoka ili mradi tu eti usisahaulike kama na wewe upo humu JF.
Acha basi nawe mmbo yako ebu kwanza kagombane na mwanamke mwenzio huko naona kimeumana leo hapa jf. Wanawake wanakwarupiana 🤣🤣🤣🤣🤣Utajijuuu na kuloweka loweka kwako😂😂
We endelea kukitembesha mwisho uwe Single mamaz sugu na Wanaume wenu wa dini yenu wana kampeni ya kataa ndoa yaaani best Joannah ndoa utaishia kuiona kwenye TV🤨Of course, tofauti Ni kubwa darling....yeye ana uhakika wa kupigwa mashine asubuhi mchana na jioni kwa gharama ya uji tu na baadae kuachwa kurudi kudanga.
Kwenye Biblia hawaja andikwa swala la mahali sijui mil 2 au badget ya sherehe si chini ya mil 15.. huo ni utashi wa watu.. kuiga uzungu tu.. natoa ushuhuda.... Ndoa ya Babu yangu ali nihadhia kuwa, baada kufungishwa kanisani alirudi Nyumbani....Habari za humu!
Naukubali sana utaratibu wa wenzetu wa dini tofauti. Kwao unaweza kuoa na kuingiza mke kwa 200k au hata 100k. Niliwahi kuwa mshenga, kuna dogo alitoa 50k akachukua mke mapema sana maana ilikuwa kipindi cha Ramadhani mwendo wa maandazi tu harusi imeisha.
Nimeishi Kusini yaani kipindi hiki cha Ramadhani ndoa kama zote. Kwetu sisi wa Christ hali ni tete, maana budget ya mali tu kama 2.5mil ukianza maandalizi yaani budget ya chini mil 15, unasumbuka na michango hadi shida bado mwanamke naye anaweza kukusumbua, ukizingatia gharama ulizoingia hata Mahakama haisemi urudishiwe pesa yako.
Kuna wakati natamani nibadili dini nihamie upande wa pili, shida tu itikadi na malezi niliyokulia naamini life is useless without Christ.
Hapo ndio tunatofautiana Imani. Kama wenzangu wengekuwa wanamuamini Christ ndio everything ningehama. Otherwise nikae pale niangalie team kataa ndoa.
Una penda bifu😁😁Aisee! Kumbe wee ni kakorofi hivi.
Eeh hapa patamu leo wacha msimangane warembo kwa warembo 🤣🤣🤣🤣🤣
Atakae shinda aje nimnunulie pizza. Nipo nimekaa pale pizzahut mkuki mall
Napenda bifu lenu nyie wanawake maana naona mmoja ana support kuolewa mwengine kudanga sasa sijui hoja ya nani itakuwa na mashiko.Una penda bifu😁😁
Kuna kaka yangu ni mkatoliki kufa mtu. Alioa muimba kwaya, gharama jumla ilikuwa almost 8.5M kuanzia mahali mpaka sherrhe. Baada ya miezi 6 ndoa ikavunjika. Nikasema hiiiii bagoshaaaaa.Sasa kifurushi Cha mwezi Unataka kiwe sh ngapi?maana baada ya ramadhani hizo ndoa huwa zinavunjika
Kam kweli upo upande wangu naomba umuoe Joannah kwa msahafu ujue kudanga si vyema😬Napenda bifu lenu nyie wanawake maana naona mmoja ana support kuolewa mwengine kudanga sasa sijui hoja ya nani itakuwa na mashiko.
Nipo nasoma mtanange.
Ila mie niseme ukweli nipo upande wako sasa usiniangushe mrembo ebu mbomonde huyo kwa point zilishoe da skonga
Niko ofisi opposite hapa kwenye matrekta mwambie ami aniletee kabisa niandelee nayo😂Aisee! Kumbe wee ni kakorofi hivi.
Eeh hapa patamu leo wacha msimangane warembo kwa warembo 🤣🤣🤣🤣🤣
Atakae shinda aje nimnunulie pizza. Nipo nimekaa pale pizzahut mkuki mall
Kwamba uendelee kuteseka maisha yako yote mpaka unaingia kaburini....wakristo ghalama ya mahari kubwa inasaidia ndoa kudumu ukifikiria huyo ulie mtolea hiyo mahari unajikuta unamvumilia tu kitu ambacho wao hawana ni uvumilivu.
Dada habari.Punguza jazba,Kwani mkinikumbuka humu umnanipa hela ya ugali hebu relax na dini za waarabu zisikuumize kichwa kijana
Faida ya kudanga ni ipi best?Acha uoga we Nuzulati kudanga sio vyema kwa Nini?
Hivi ndoa Ni kuingia mbinguni?badala uniambie nipambanie uzima wa milele wa unaniambia nipambanie ndoa za kifurushi Cha mwezi kweli Nuzulati?We endelea kukitembesha mwisho uwe Single mamaz sugu na Wanaume wenu wa dini yenu wana kampeni ya kataa ndoa yaaani best Joannah ndoa utaishia kuiona kwenye TV🤨
Aya nakuletea mie mwenyewe ila sasa mpinzani wako kasema eti nikuoe weweNiko ofisi opposite hapa kwenye matrekta mwambie ami aniletee kabisa niandelee nayo😂