Waislamu wako vizuri kwenye suala la ndoa

Waislamu wako vizuri kwenye suala la ndoa

Kwani Kuna mtu anakuzuia kuoa muislam au kuhama dini?acheni hizo we uliona huko Kuna deso oa tu hata Kama utatengwa na ukoo mzima wewe Ni mtu mzima una maamuzi yako pia
 
HOJA niliyokuelewa ni Moja tu kuwa Maisha bila Yesu ni Bure kabisa.

1. Ndoa ni gharama sana ukiwa umependa kweli Mahali hata iwe M 10 huoni kama ni chochote.

2. Ndoa za WAISLAMU ni za muda wa Mwezi mmoja Tu. OGOPA sana vitu VYA Bure Bure. No free lunch in America.

3. Hakuna Binadamu anayeridhia kutoka MOYONI mme wake kuwa na wake wa nne.
Ndoa ni watu wawili kuwa mwili mmoja. Nyama Katika nyama mfupa Katika mfupa.

4. Mohamed alioa katoto ka miaka SITA Alikapiga MITI kakiwa na miaka 9 HUO NDIO UISLAMU.

N:B USILINGANISHE UKRISTU NA MAMBO YA DINI. UKRISTO SIO DINI.
Binti inaonekana Islamophobia inakutesa sana,haya komaa na Mumeo ili usije ukaachika.
 
Kwani Kuna mtu anakuzuia kuoa muislam au kuhama dini?acheni hizo we uliona huko Kuna deso oa tu hata Kama utatengwa na ukoo mzima wewe Ni mtu mzima una maamuzi yako pia
Suala lakuoa dini tofauti nisuala zito sana hasa hili lakutengwa naukoo mzima nikisanga hata mm bado niko dilemma naona kabisa unaweza kutengwa nandugu endapo ukioa jamii ambazo wao hawaziamini.
 
Quran 4:4

"Na wapeni wanawake mahari yao hali ya kuwa ni kipawa. Lakini wakikutunukieni kitu katika mahari, kwa radhi yao, basi kileni kiwashuke kwa raha."

Mungu ametoa agizo kuwa wanawake wapewe mahari zao kabla ya kuolewa na hii haimaanishi kuwa mwanamke ni bidhaa ya kuuzwa bali ni heshima na kutukuzwa na ni ishara ya kuwa mwanaume amekubali kubeba majukumu yanayomkabili katika ndoa yake. Katika uislam Mahari haijawekewa kiwango maalumu ila ni makubaliano ya pande mbili tu na mahari ni ya mwanamke yeye ndie anawajibika kusema anahitaji kiasi/kitu gani ili aolewe. Mtume Muhammad akaelekeza zaidi kwa kusema kuwa

"Wanawake wengi watukufu wenye baraka ni wale wenye mahari yaliyo madogo" (Ahmad, al-Bayhaqiy na al-Haakim).

Hii haimaanishi kuwa endapo mwanamke atahitaji mahati kubwa asipewe la hasha!

Kiwango cha mahari kinapendeza kiwe cha wastani ili kurahisisha suala la ndoa na hii inapelekea kuondosha uzinifu katika jamii.
 
HOJA niliyokuelewa ni Moja tu kuwa Maisha bila Yesu ni Bure kabisa.

1. Ndoa ni gharama sana ukiwa umependa kweli Mahali hata iwe M 10 huoni kama ni chochote.

2. Ndoa za WAISLAMU ni za muda wa Mwezi mmoja Tu. OGOPA sana vitu VYA Bure Bure. No free lunch in America.

3. Hakuna Binadamu anayeridhia kutoka MOYONI mme wake kuwa na wake wa nne.
Ndoa ni watu wawili kuwa mwili mmoja. Nyama Katika nyama mfupa Katika mfupa.

4. Mohamed alioa katoto ka miaka SITA Alikapiga MITI kakiwa na miaka 9 HUO NDIO UISLAMU.

N:B USILINGANISHE UKRISTU NA MAMBO YA DINI. UKRISTO SIO DINI.
Unaongea mambo usiyokuwa na ujuzo wala elimu nayo infact ni Muongo!!

1: Uislam umeamrisha mwanauke atoe mahari kumpa mwanamke kwa kiwango walichokubaliana! Mwanamke akihitaji 100M ndio aolewe ni sawa na pia akihitaji pair mbili za viatu pia sawa ili mradi ameridhia mwenyewe.

2: NDOA za kiislam si za muda mfupi, Lengo la ndoa ni watu waishi muda mrefu, watengeneze vizazi na waishi katika misingi na maadili ya kiislam. Kuna mifano mingi ya ndoa za kiislam ambao wanandoa wameishi mpaka kuzikana pasi na kutalakiana.

3: Kuhusu kuoa wake wanne hilo jambo ni sheria na maamrisho kutoka kwa Mungu.Yeye ndie amehalalisha kuwa Muislam anaruhusiwa kuoa wanawake kuanzia mmoja mpaka wanne ili mradi awe muadilifu. Kuna mifano mingi ya kihistoria kuonesha kuwa Mitume na manabii walikuwa na wake zaidi ya mmoja.

Mfalme Suleimani na Daudi walikuwa na wake wengi, Mtume Ibrahim/Abraham (Baba wa Imani) alikuwa na mke zaidi ya mmoja.

Je hawa hawakumjua Mungu zaidi yako au tuseme wewe una imani kubwa kumzidi Ibrahim??
 
Ni kweli wako vizuri na ndoa zao zipo simpo sana hamna mbwembwe za ukumbini labda utake wewe ila ndo wana ongoza ndoa kuvunjika.

Upande wangu Nina mifano hai mingi tu nimeshuhuduia watu wakiachana wakristo ghalama ya mahari kubwa inasaidia ndoa kudumu ukifikiria huyo ulie mtolea hiyo mahari unajikuta unamvumilia tu kitu ambacho wao hawana ni uvumilivu.

Mkishazinguana talaka sasa embu jiulize swal huyo ulie muacha nani amuoe wakati umeshamtumia vya kutosha.
Ninyi kwa sababu mmekula kiapo hadi kifo... Kwenye uislamu ikifika mhali hamuezi tena kuishi pamoja kama mke na mume ni bora muachane kwa wema.. maana pia mlioana kwa wem
 
Habari za humu!

Naukubali sana utaratibu wa wenzetu wa dini tofauti. Kwao unaweza kuoa na kuingiza mke kwa 200k au hata 100k. Niliwahi kuwa mshenga, kuna dogo alitoa 50k akachukua mke mapema sana maana ilikuwa kipindi cha Ramadhani mwendo wa maandazi tu harusi imeisha...
Karibuni kwenye uislamu
 
BIBLIA PIA IMERUHUSU TALAKA

Mathayo 5:32

"Lakini mimi nawaambia, yeyote amwachaye mkewe isipokuwa kwa kosa la uasherati, amfanya mkewe kuwa mzinzi. Na yeyote amwoaye yule mwanamke aliyeachwa, anazini."

Matthew 5:32 — King James Version (KJV 1900)


" But I say unto you, That whosoever shall put away his wife, saving for the cause of fornication, causeth her to commit adultery: and whosoever shall marry her that is divorced committeth adultery."
 
HOJA niliyokuelewa ni Moja tu kuwa Maisha bila Yesu ni Bure kabisa.

1. Ndoa ni gharama sana ukiwa umependa kweli Mahali hata iwe M 10 huoni kama ni chochote.

2. Ndoa za WAISLAMU ni za muda wa Mwezi mmoja Tu. OGOPA sana vitu VYA Bure Bure. No free lunch in America.

3. Hakuna Binadamu anayeridhia kutoka MOYONI mme wake kuwa na wake wa nne.
Ndoa ni watu wawili kuwa mwili mmoja. Nyama Katika nyama mfupa Katika mfupa.

4. Mohamed alioa katoto ka miaka SITA Alikapiga MITI kakiwa na miaka 9 HUO NDIO UISLAMU.
Duuh Mudi na totoz dam dam yaani
N:B USILINGANISHE UKRISTU NA MAMBO YA DINI. UKRISTO SIO DINI.
 
Na ndiyo wanaongoza kujaza single mothers mtaani
 
HOJA niliyokuelewa ni Moja tu kuwa Maisha bila Yesu ni Bure kabisa.

1. Ndoa ni gharama sana ukiwa umependa kweli Mahali hata iwe M 10 huoni kama ni chochote.

2. Ndoa za WAISLAMU ni za muda wa Mwezi mmoja Tu. OGOPA sana vitu VYA Bure Bure. No free lunch in America.

3. Hakuna Binadamu anayeridhia kutoka MOYONI mme wake kuwa na wake wa nne.
Ndoa ni watu wawili kuwa mwili mmoja. Nyama Katika nyama mfupa Katika mfupa.

4. Mohamed alioa katoto ka miaka SITA Alikapiga MITI kakiwa na miaka 9 HUO NDIO UISLAMU.

N:B USILINGANISHE UKRISTU NA MAMBO YA DINI. UKRISTO SIO DINI.
Asante Kaka,wanabisha wakati Mambo yapo wazi kabisa wanao January, February wanaacha March anaolewa mwingine.
 
kuna kipindi nilikua naangalia kwenye tv mwanamke analilia ndoa kwa mahari ya juzuu na msaafu aisee hapo ndonilipotambua vyarahisi havina thamani....chunga imani yako kijana
Laiti ungejua hiyo mahari ya Msahafu usingeandika haya

Mtu anapokuambia nipe msahafu kama mahari maana yake ni kubwa sana yaani lazima umfundishe na akariri na kuielewa Quran yote mkuu

Na sio kupewa kitabu na kukiweka kabatini
 
Back
Top Bottom