Waislamu wako vizuri kwenye suala la ndoa

Waislamu wako vizuri kwenye suala la ndoa

Uislam ni mwema kwenye kila kinachohusu maisha yetu ya kila siku, si ndoa tu.

Kuhusu hilo la Yesu, alayhi salaam, elewa kwamba huwezi kuwa Muislam bila kumuamini Yesu, alayhi salaam. Hakuna Muislam asiyemuamini Yesu.
Umeokoka?
 
Wanawake wa kiislamu asilimia kubwa ni wategemezi wa kila kitu. Wengi Kwao hawajafanyiwa uwekezaji wa kielimu. Ndio maana hata kuchaji mahari bei kubwa haiwezekani.

Elimu dunia wengi hawana. Asilimia kubwa ya wake wa kiislamu kazi yao ni kushinda nyumbani kusikiliza taarabu tu, na kuzaa na kulea watoto.

Baba ukiumwa tu ama ukapata ukilema familia inafeli
 
Ni kweli wako vizuri na ndoa zao zipo simpo sana hamna mbwembwe za ukumbini labda utake wewe ila ndo wana ongoza ndoa kuvunjika.

Upande wangu Nina mifano hai mingi tu nimeshuhuduia watu wakiachana wakristo ghalama ya mahari kubwa inasaidia ndoa kudumu ukifikiria huyo ulie mtolea hiyo mahari unajikuta unamvumilia tu kitu ambacho wao hawana ni uvumilivu.

Mkishazinguana talaka sasa embu jiulize swal huyo ulie muacha nani amuoe wakati umeshamtumia vya kutosha.
na kuachana ndo kuzuri, mnakua mnaishi kwa adabu kama kweli ndoa unaitaka unaishi kwa adabu..
Halafu kuachika mwanamke wa kiislamu sio kesi huwa wanaolewaga tena sister angu kaolewa mara3 ya tatu ndo anayo mpaka leo.. kuna best angu aliolewa akaachika na mtoto na ameolewa tena mwezi wa2 ndoa za maana tu kwenye maukumbi huko.. Njoo huku kwa mimi mgalatia kama kuna mtu mwenye hali kama yangu anathubutu kunioa akifikiria mahari na sherehe anagairi
 
Kuna kaka yangu ni mkatoliki kufa mtu. Alioa muimba kwaya, gharama jumla ilikuwa almost 8.5M kuanzia mahali mpaka sherrhe. Baada ya miezi 6 ndoa ikavunjika. Nikasema hiiiii bagoshaaaaa.

Nb:Ndoa kuvunjika Haina dini
Kuna wale ndugu zetu watanzania wazee wa kukaza mishipa ya shingo kisa ndoa iliyo vunjika ya Kikristo.. ungesikia Takbiiiiiiiiiiirrrrriii!!!!! Ila KWa kuwa umesema kuvunjika ndoa hakuna dini wametulia wanna tafuta sababu......

Msimaindi.... Utani tu
 
Tatizo watalebani mnapaniki mapema Sana... wacha nikalike mawigi yangu usije ukanichinja bureeee maana hapo ukisema takbiriiii Sina kichwa
Nakuhusia usiishi ivi mambo ya imani yana mlango mpana sana ingekua ni kweli ayo mambo yapo basi kila siku watu wangekuwa wanakufa uko mtaani, propaganda zimewaharibu na uislam upo against mauaji ya ivo na kaa ukijua wanaofanya ivo wapo nje ya uislam, uislam unaamlisha amani na upendo ukiujua vizuri utabadilika tu na kuufuata

Yani wanaofanya mauaji kama kujilipua au kulipua makanisa hawapo sahihi hata kidogo uislam haujafundisha ivo

Ivo ni vikundi tu vyakiharifu kama vile
-Mafia
-Narcos
- lile kundi la congo na makundi mengine yakiharifu

Baadhi ya mambo yaliyokatazwa kwenye vita za jihad:-
-wasiiliwe watoto, wanawake, wazee na viongozi wa dini
-yasibolewe majengo ya ibada
  • wasiuliwe wanajeshi walio retreat
  • usijiue nafsi yako (kujitoa muhanga)
  • usiue kwa moto

Izo ni baadhi ya sheria zilitumiwa kwenye jihadi

Na zamani vita ilikua ni njia yakawaida sana kusimamisha dola
Fanya research kuhusu mafundisho ya kweli ya uislam utoe ujinga uliojazwa

Kuhusu ndoa ni dini imeruhusu watu kuachana kwasababu binadamu kwa binadam mapenzi huisha usilazimishe kuishi na mtu amba huna mapenzi nae kabisa kwa sababu ya uvumilivu mtu kafanya uasherati, au mapenzi yameisha achaneni kwa wema hata kama ni mmekaa mwezi mmoja tu kwenye ndoa fateni sheria za dini imeamrisha nini kuhusu taraka sio mnaachana tu kama kuku apo mnakua nje ya uislam

Kwaiyo wanaokosea ni wengi ila usiihukum dini kwa upumbavu wa watu ndo maana msingi mkuu wa dini ni elimu kwanza
 
Nakuhusia usiishi ivi mambo ya imani yana mlango mpana sana ingekua ni kweli ayo mambo yapo basi kila siku watu wangekuwa wanakufa uko mtaani, propaganda zimewaharibu na uislam upo against mauaji ya ivo na kaa ukijua wanaofanya ivo wapo nje ya uislam, uislam unaamlisha amani na upendo ukiujua vizuri utabadilika tu na kuufuata

Yani wanaofanya mauaji kama kujilipua au kulipua makanisa hawapo sahihi hata kidogo uislam haujafundisha ivo

Ivo ni vikundi tu vyakiharifu kama vile
-Mafia
-Narcos
- lile kundi la congo na makundi mengine yakiharifu

Baadhi ya mambo yaliyokatazwa kwenye vita za jihad:-
-wasiiliwe watoto, wanawake, wazee na viongozi wa dini
-yasibolewe majengo ya ibada
  • wasiuliwe wanajeshi walio retreat
  • usijiue nafsi yako (kujitoa muhanga)
  • usiue kwa moto

Izo ni baadhi ya sheria zilitumiwa kwenye jihadi

Na zamani vita ilikua ni njia yakawaida sana kusimamisha dola
Fanya research kuhusu mafundisho ya kweli ya uislam utoe ujinga uliojazwa

Kuhusu ndoa ni dini imeruhusu watu kuachana kwasababu binadamu kwa binadam mapenzi huisha usilazimishe kuishi na mtu amba huna mapenzi nae kabisa kwa sababu ya uvumilivu mtu kafanya uasherati, au mapenzi yameisha achaneni kwa wema hata kama ni mmekaa mwezi mmoja tu kwenye ndoa fateni sheria za dini imeamrisha nini kuhusu taraka sio mnaachana tu kama kuku apo mnakua nje ya uislam

Kwaiyo wanaokosea ni wengi ila usiihukum dini kwa upumbavu wa watu ndo maana msingi mkuu wa dini ni elimu kwanza
Asante kwa maelezo mazuri Kaka, barikiwa.
 
Wifi anakutamia mema huyo. Tumpe raha wifi yetu apate kupiga vigelegele bwana. Wee huoni kuwa ni jambo jema wote tunakuwa tumeachana na uzinzi
😂😂😂😂 Mbona uzinzi!
 
HOJA niliyokuelewa ni Moja tu kuwa Maisha bila Yesu ni Bure kabisa.

1. Ndoa ni gharama sana ukiwa umependa kweli Mahali hata iwe M 10 huoni kama ni chochote.

2. Ndoa za WAISLAMU ni za muda wa Mwezi mmoja Tu. OGOPA sana vitu VYA Bure Bure. No free lunch in America.

3. Hakuna Binadamu anayeridhia kutoka MOYONI mme wake kuwa na wake wa nne.
Ndoa ni watu wawili kuwa mwili mmoja. Nyama Katika nyama mfupa Katika mfupa.

4. Mohamed alioa katoto ka miaka SITA Alikapiga MITI kakiwa na miaka 9 HUO NDIO UISLAMU.

N:B USILINGANISHE UKRISTU NA MAMBO YA DINI. UKRISTO SIO DINI.
Huko mwisho ndo umeongea kweli tupu.
 
Of course, tofauti Ni kubwa darling....yeye ana uhakika wa kupigwa mashine asubuhi mchana na jioni kwa gharama ya uji tu na baadae kuachwa kurudi kudanga.
Naona unapata tabu sana. Islamophobia ina wana chama wengi sana kumbe.
 
Sasa kifurushi Cha mwezi Unataka kiwe sh ngapi?maana baada ya ramadhani hizo ndoa huwa zinavunjika
Bora umemaliza kabisaaaaa.
Sina hamu na ndoa za kiislamu kabisaa, yaan nachokaa mno.

Binamu angu, mtoto wa shangazi alijichanganyaa kwa muislamu, miezi 6 mtu anarudi homeeee. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaga hadi bas.
 
kuna kipindi nilikua naangalia kwenye tv mwanamke analilia ndoa kwa mahari ya juzuu na msaafu aisee hapo ndonilipotambua vyarahisi havina thamani....chunga imani yako kijana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukweli kabisaaaa.
 
Uislam ni mwema kwenye kila kinachohusu maisha yetu ya kila siku, si ndoa tu.

Kuhusu hilo la Yesu, alayhi salaam, elewa kwamba huwezi kuwa Muislam bila kumuamini Yesu, alayhi salaam. Hakuna Muislam asiyemuamini Yesu.
Bibi wee kwa uongo hakuna anayekufikia wallah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila hawa wenzetu hata kwenye malezi kuna namna wametupiga gepu.
Malezi gani ya kuwafunza watoto wadogo mambo ya kikubwaa?? Nimeishi na waislamu sanaa, sijaona hayo malezi.

Mtoto wa darasa la 3 anafundishwa mambo ya kitandani inahuu, ndo wanaongoza kuzaa wakiwa wadogo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unyago na msondo, akuuuuuh
 
Sio wewe tu, hili ni janga
ikifika kwenye ndoa kila mtu anatamani angekua muislam
Hata waislam wanakerwa sana na ndoa za christ. Maana kinamaa wanahusika katika mchakato wa michango yaani kero, mtu ndoa ya 10Min na kuku wamechina. Yaani nilipata gharama kubwa sana bila sababu hasa hizi ndoa za kumtaka mwanaume akuoe
 
Bora umemaliza kabisaaaaa.
Sina hamu na ndoa za kiislamu kabisaa, yaan nachokaa mno.

Binamu angu, mtoto wa shangazi alijichanganyaa kwa muislamu, miezi 6 mtu anarudi homeeee. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaga hadi bas.
Mwenzio kifurushi chake kimeisha we unacheka?
 
Back
Top Bottom