Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Ni kweli wako vizuri na ndoa zao zipo simpo sana hamna mbwembwe za ukumbini labda utake wewe ila ndo wana ongoza ndoa kuvunjika.
Upande wangu Nina mifano hai mingi tu nimeshuhuduia watu wakiachana wakristo ghalama ya mahari kubwa inasaidia ndoa kudumu ukifikiria huyo ulie mtolea hiyo mahari unajikuta unamvumilia tu kitu ambacho wao hawana ni uvumilivu.
Mkishazinguana talaka sasa embu jiulize swal huyo ulie muacha nani amuoe wakati umeshamtumia vya kutosha.
Msisingizie dini bwana. Hayo ni mapenzi yenu wenyewe. Unaweza kuoa simple tuu ukiwa mkristo bila shida yoyote. Tatizo wengi wetu tunafanya harusi ndio muhimu baadala ya ndoa kiwa muhimu.
Very simple hamna cha mbwembwe nyingi. Nimeipenda hiyo.Mwanangu alichukua chombo yake akaenda kanisani kuomba process akapewa ikapitishwa kama zingine, siku ya siku katuita watu kadhaa kama 15 hivi… kapewa mke tukaingia restaurant fulani Mwenge tukafinya msosi na wazazi wa pande mbili…..imeisha hiyoo
Yes ndoa sio adhabu na Allah anataka sisi wanaume wakiislam tuoe waanwake wanne na akizingua is mwingine huyo acha wanawake wapo kutufurahisha na kutupa watoto. Nyie pambaneni mnakufa kwa misongo na mateso ya kuhangaikia ndoaAsante Kaka,wanabisha wakati Mambo yapo wazi kabisa wanao January, February wanaacha March anaolewa mwingine.
SawaYes ndoa sio adhabu na Allah anataka sisi wanaume wakiislam tuoe waanwake wanne na akizingua is mwingine huyo acha wanawake wapo kutufurahisha na kutupa watoto. Nyie pambaneni mnakufa kwa misongo na mateso ya kuhangaikia ndoa