Waislamu wanatubeba sana!!

kijana njoo nikuelimishe utaweza kujua hatma yko
 
Sanamu la waislamu wa nchi hii tulijenge wapi vile?
katika Uislamu hauruhusu kujenga masanamu mna siku ya kiyama utaambiwa ulitie roho hilo sanamu na hutoweza
 
Nime change baada ya kusoma hii comment.
Mtoa maada baki peke yako.
 
Umesahau kitu kimoja. Awamu zilizoongozwa na muslims ndio ziliongoza kwa corruption na scandals za uhujumu uchumi.
Mkuu ficha ujinga japo kidogo. Utawala wa muslims huwa madudu yanaonekana wazi na angalau hatua kuchukuliwa kwasababu ya uwazi maana viongozi huachia vyombo vya habari kutafuta habari za kiuchunguzi nakuziweka hadharani umma ujue.

Sasa tawala za upande wa pili hutumia nguvu kubwa mno kuzuia uhuru wa vyombo vya habari ili kuficha madudu na ufisadi mkubwa. Refer utawala wa Jiwe CAG aliibua ufisadi mkubwa ATCL na upotevu wa trilion 1.5 hazionekani zilipo kilichofuata aliwekwa pembeni kinyume na katiba.

Kwahiyo waislamu wanawapa sana raia uhuru wakujiachia nakuikosoa serikali yao pasipo kupotezwa na wasiojulikana. Naamini unajua vema wasiojulikana walishamiri utawala upi.
 
Mimi ni mwuslamu lakini maneno ya kutugawa hivi siyapendi kabisa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kufuga mbwa muislam unaruhusiwa hata kumtumia kuwindia unaruhusiwa, ila hayo mengine ni kweli huruhusiwi.
 
Ndugu zangu waislamu wao na shule ni vitu viwili tofauti ndio maana wanajazana kwenye ushenzi huko....kozi zote nilizozisoma waislamu tulikuwa tunahesabika...
Si huwa nasikia kuwa KUSOMA SANA NI UOGA WA MAISHA.
ndiyo maana wakristu wengi hung'ang'ana nashule huku muda unaenda halafu wenzao wanapiga kazi kitaa mwisho wasiku wakristu wakimaliza vyuo wanakuja kuajiriwa na waislamu.
 
Wakristo ndio wanalalamika kuwa na UDINI pindi nchi ikiongozwa na Muislamu.
Unajua waislamu huwa hawahangaiki na mambo ya Dunia, wanajua wanapita tu ila Wakristo wanashughulishwa na mambo ya Kidunia.
 
Ndugu zangu waislamu wao na shule ni vitu viwili tofauti ndio maana wanajazana kwenye ushenzi huko....kozi zote nilizozisoma waislamu tulikuwa tunahesabika...
Huoni haya kusema uongo?
'Ndugu zangu waislam wao na Shule'

'Course zote nilizosoma waislam tulikuwa'
.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…