msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,192
Sindabhonye!Haa
Wabhonye Se Mwamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sindabhonye!Haa
Wabhonye Se Mwamba
Mashirika mengi ya umma yaliuzwa kijanja wakati wa mkapa. Wakati wa Mkapa pia ndio mikataba mingi ya madini ilifanyika.Umesahau kitu kimoja. Awamu zilizoongozwa na muslims ndio ziliongoza kwa corruption na scandals za uhujumu uchumi.
kijana njoo nikuelimishe utaweza kujua hatma ykoMada nzuri sana but at the same time italeta shida endapo itafika mbali.
Endapo watu wataleta hard feelings kwenye hii mada italeta tabu sana, ukabila, udini, Racism ni vitu hatari..
Kilichoongeleka hapa ni ukweli kwa kiasi kikubwa.
Hapa nilipo sio kwamba nafurahia kuzaliwa mkristo wala muislam, sio kwamba napenda kuzaliwa msambaa, wala mchaga wala mmakonde.
sio kama nafurahia kuzaliwa mweupe wala mweusi, but nimezaliwa nikiwa hivi na nashindwa kutafuta ukweli wa mambo sababu sijui hatima yangu baada ya kuzaliwa na kufa ni nini, Aliyenipa uhai huu anajua nini hatma yangu hapa duniani.
Sidhani kama nitaeleweka kwa urahisi ila nikieleweka kwa baadhi nitashkuru sana.
katika Uislamu hauruhusu kujenga masanamu mna siku ya kiyama utaambiwa ulitie roho hilo sanamu na hutowezaSanamu la waislamu wa nchi hii tulijenge wapi vile?
Nime change baada ya kusoma hii comment.Mleta Mada, angalia sana usije ukamkasirisha MUNGU. Natumaini kuwa MUNGU ameyapuuza makufuru yako hayo. Usilete udini ndugu.
Nitakuuliza neno moja kuhusu hao watawala unaosema hawako hai. Je, Maalim Self Mungu amrehemu, alikuwa Mkristo?. Je unafahamu kuwa Maalim Seif alikuwa Icon halisi ya vyama vya upinzani?. Tena alikubalika kwa watanzania wote dini zote.
Maisha ya mtu yanaamuliwa na Muumba sio wewe wala Ibilisi . Acha kujikinai ndugu omba toba.
Haya, wanamuziki wakubebaje?. Ivi, nyimbo zinazoimbwa leo na hao uliowaorodhesha, ni mstaarabu gani atakayeangalia au kusikiliza nyimbo zilizojaa maneno machafu . Mfano, "mke wa mtu, sumu, mume wa mtu maziwa ".
Ule wimbo Nyegezi. Haya ule wimbo Sukari, unaelewa maana yake?. Hao wanakubeba wewe mwenye mtazamo huo na sio wastaarabu.
Tulio wastaarabu tunapoona michezo ya ajabu ajabu Kama Mapooka tunahamisha channel.
"Wanatubeba", watubeba kutuelekeza Shimoni.
Kalaga bahho.
chuki zitakuuaHata magerezani wamejaa haohao. Vibaka, walawiti, magaidi , wahuni wa Humphrey Polepole ni hao. Wanaoongoza kufeli shule ni haohao. Wenye kubeba mimba za utotoni ni haohao..
Wachawi na wafuga majini ni haohao
Soma Qur'an na Suna utaelewa.Kumbe Mziki,Boxing,Football vinaruhusiwa kweny dini ya kiisilamu ??
Nilikua sijui
Mkuu ficha ujinga japo kidogo. Utawala wa muslims huwa madudu yanaonekana wazi na angalau hatua kuchukuliwa kwasababu ya uwazi maana viongozi huachia vyombo vya habari kutafuta habari za kiuchunguzi nakuziweka hadharani umma ujue.Umesahau kitu kimoja. Awamu zilizoongozwa na muslims ndio ziliongoza kwa corruption na scandals za uhujumu uchumi.
Mimi ni mwuslamu lakini maneno ya kutugawa hivi siyapendi kabisaThey dominate and represent Tanzania in many aspects of life:
1. Football
70% of Simba, Yanga and Azam first eleven teams are dominated by Muslim players.
[UPDATE from DeepPond]:
Not to mention the likes of Mbwana Samatta who shines our name internationally!
- Azam FC inadhaminiwa na Bakhresa.
- Yanga inadhaminiwa na GSM.
- Simba inadhaminiwa na Mo.
View attachment 2049955
2. Boxing
Nothing to say here. Check these names:
Hassan Mwakinyo
Dullah Mbabe
Twaha Kiduku
View attachment 2049956
3. Basketball
Kuna anaemjua successful basketball player other than Hashim Thabit?
View attachment 2049957
4. Muziki
[emoji3][emoji3] Tuseme nini hapa.
Muziki genres karibu zote hapa kuanzia Taarab, Dansi, Urban, Singeli zote ziko dominated nao.
Chibu Dangote, Alikiba, Konde, Raymond Shaaban, Lovebyte, Zuchu, Mbosso, Aslay, Marioo.
View attachment 2049959
Tuendelee?? Alichoki, Late Banza Stone, Mwinjuma, Nasma Kidogo, Malkia Khadija Kopa, Mzee Yusuph, Isha Mashauzi, Late TX Moshi, Late Marijani jabali la muziki, Komandoo Hamza Kalala.
5. Wealth:
Top ten billionaire list in Tanzania is dominated by them. I don't want to mention them. Wanafahamika.
View attachment 2049961
5. Leadership/Governance
Historians (and political experts) agree that awamu zilizotawaliwa na Muslim presidents ndizo zilikua na economic reforms, political stability, hata diplomatic relations na nchi za nje ziliimarika.
Don't mention Ugandan war ilitokea awamu gani, don't mention mauaji ya Mwembechai yalitokea awamu gani.
View attachment 2049963
Food for Thought: Is it a coincidence that all Muslim Presidents are still alive up to date!!!
========≠======
UPDATE: 6. Struggle for Independence:
Ni vigum mno, sana tena sana kutenganisha juhudi za kupigania uhuru wa Tanzania (both mainland and Zanzibar) na uislamu.
Kwenye baraza la wazee TANU mwaka 1961, liliundwa na watu 15, waislamu walikua 13 (JKN yule paleeeee)
View attachment 2051407
Kufuga mbwa muislam unaruhusiwa hata kumtumia kuwindia unaruhusiwa, ila hayo mengine ni kweli huruhusiwi.Ukweli Ni kwamba Kuna watu wengi sana Wana majina yanayoendana na ya waislamu lkn watu hao sio waislamu.
Hivi unaweza kusema Naseeb nimuislamu ?
Uislam unaruhusu kufuga mbwa?
Uislam unaruhusu kuchukua mke wa mtu?
Uislam unaruhusu wizi au kutembea na kina delicious?
Si huwa nasikia kuwa KUSOMA SANA NI UOGA WA MAISHA.Ndugu zangu waislamu wao na shule ni vitu viwili tofauti ndio maana wanajazana kwenye ushenzi huko....kozi zote nilizozisoma waislamu tulikuwa tunahesabika...
Siufanye wewe peke yako tuone!Ndio maana hakuna eneo tunafanya vzr kama nchi sababu yao hao uliowataja
James ni nani!Pia fatillia majina ya vibaka, mashoga, mabar maids, machangudoa nk wengi pia ndiohao hao
Duh kaning'iniza na kitu shingoniShoga maarufu aliyekua anajulikana Tanzania nzima ni "James Delicious"
Unataka kujua alikua dini gani?
View attachment 2050760
Record za Papa zinasemaje kuhusu mapadri kuwalawiti.watoto tena ple Roma?pia waislam ndo wanaongoza kulawiti watoto
m.f madrasa
Weka hizo Suna hapa tuzioneSoma Qur'an na Suna utaelewa.
Usifate mkumbo.
Yule ni mchumia tumbo tuuMbn yule shehe wenu alimkubali jiwe na kumlinganisha na mitume una maanisha huyu atamfananisha na allah?
Wakristo ndio wanalalamika kuwa na UDINI pindi nchi ikiongozwa na Muislamu.Ila waislamu ni wanafiki sn,wao ndy wanaongoza kulalamika wananynyaswa na mfumo Kristo kila siku
Unafiki mwingine ni huu;Kusema muziki,Mpira ni ushetani lkn wao ndy wapo on top,wameshikilia crown [emoji146]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Huoni haya kusema uongo?Ndugu zangu waislamu wao na shule ni vitu viwili tofauti ndio maana wanajazana kwenye ushenzi huko....kozi zote nilizozisoma waislamu tulikuwa tunahesabika...