Waislamu wanatubeba sana!!

Mh....masuala ya dini, makabila wala hayana afya...
Pili mbona wanalalamika wanaonewa??
 
Maliza mwenyewe wa madhehebu ulioanzisha kwakuwa unaweza kuamulia ugomvi huo
 
Mwambie Mohamed Said labda atakuelewa. Ona nyuzi zake:

 
Fact zipi? Majina yana uhusiano na dini? Nenda Hong Kong mfano mzuri pia nenda Uarabuni majina ya kiarabu hayana uhusiano na dini, yanatumiwa na dini zote.

Hapa ndio utagunduwa ujinga wa mtu mweusi ulipojikita.
Povu linakutoka kishenzi...

Hutaki kukubali ukweli 😅😅
 

Kuna shida na jinsi mtu mweusi anavyofikiri??
Wakati sisi tunaona mtu we unaona Dini[emoji3][emoji3]sasa hyo dini yake ndyo ina cheza mpira, ina imba mziki au inatafuta pesa!…

Yaan miafrica inawaza udini ukabila na ngono full stop
 
Kwa sasa hv unaona hivyo,
Edibily lunyamila,Filbert bsyi,nteze John,Hawa walikuwa wanamichezo hatari sana kabla hujazaliwa,nyie mliozaliwa 1994+hamuwezi kuyajua haya,mmezaliwa mmewwkuta zuchu na Mond tu,
Hizi timu za yanga na Simba,hwzikuanza jana,ziliishawahi kuwa na waxhezaji wengine wasio "Islam""katafute history ya George Masatu,
 
Hata mawaziri wakuu wote Bado wapo,Salim ahmed,Malecela,Msuya,Sumaye,warioba,Lowasa,
Hakuna coincidence yoyote kwamba maraisi wa "Islam"Bado wapo!!
Kwani leo ndio mwisho wa Dunia,in ten years time,all will be dead,nothing special about it,
 
They dominate and represent Tanzania in many aspects of life:


5. Wealth:
Top ten billionaire list in Tanzania is dominated by them. I don't want to mention them. Wanafahamika.

View attachment 2049961
5. [/ATTACH]


Hao matajiri ni Muslims tu au ni asili ya Asia?

Maana hiyo top 10 mostly imetawaliwa na asians traits.
 
Hv mapumbavu km wewe yanazaliwa kwa faida gani. Umekaa mwanaume mzima unachambua upumbavu km huu. Wametubeba ktk nini, km riziki kila mtu inamsaidia mwenyewe na familia yake. Unachambua utajiri au mafanikio ya wanaume wenzako badala utumie huo muda kujipambania km siye mwehu ni nini. Halafu unaleta ubaguzi wa kidini, we ni shetwani ibilisi
 
Tambua mambo haya hapo chini

Kuna muumini

Pia kuna muisilamu

Muisilamu hana tofaoti na kimatendo na watu wengine

Kwenye miziki yumo kwenye pombe yumo kwenye vilabu via mipila yumo kwenye mabanda ya kuchoma nyama ya nguruwe yumo kwenye riba yumo kwenye siasa yumo ushoga ubasha ukahaba uchawi

Muumini wa au mfuasi alisi wa mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake uwezi mkuta kwenye mambo hayo

TOFAOTISHA WAISILAMU NA WAUMINI
 
Kakusudia kutubeba kwenye kulipa kodi hata hizo nyimbo zao za kishenzi serikali inachukua kodi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…